Takwimu za Prince Dube striker mpya wa Yanga

Takwimu za Prince Dube striker mpya wa Yanga

Muhasibu uzi wako umeuandika kwa staha sana.

Sio kawaida yako.

Au unaogopa mambo yata back fire?
Amejotahidi kuchukua tahadhari ya hali ya juu. Ila lengo lake bado ni kumponda tu Dube kwa kuwa na magoli 34 ndani ya misimu minne!

Kumbe hapo ni wastani wa magoli 8-9 kwa kila msimu, jambo ambalo si haba kwa mshambuliaji aliyekumbwa na majeraha ya mara kwa mara.
 
Babu mbona hilo nilishaliongelea sehemu tena zamani sana kuna watu wakanipinga sikumbuki ni kwenye thread ipi, ila Mayele Simba wanamuhitaji.

Watamsajili au lah tusubiri tuone, nakuongezea na Feisal usishangae akimwaga wino msimbazi.
Kwa Mayele kule hawawezi mwachia kwa sasa labda msimu mwinge ujao.

Sababu ligi yao bado inaendelea na hadi sasa yeye ndiye kinara wa mabao akikabana na mchezaji mmoja hivi 12 kwa 12.

Pia mshahara anaolipwa ni mrefu ambo akihitaji huku kwetu kutaibuka makundi kwa wachezaji.

Kuhusu Fei nae thamani yake ya bil 1.3 ni pesa ndefu sana amboyo Azamu wanasema akonayo hivyo kwa sasa kuna ugumu wa kupata wachezaji hao.
 
Amejotahidi kuchukua tahadhari ya hali ya juu. Ila lengo lake bado ni kumponda tu Dube kwa kuwa na magoli 34 ndani ya misimu minne!

Kumbe hapo ni wastani wa magoli 8-9 kwa kila msimu, jambo ambalo si haba kwa mshambuliaji aliyekumbwa na majeraha ya mara kwa mara.
Muhasibu wa mchongo anaponda kijanja sana japo tumemstukia.

Tunautunza huu uzi.
 
View attachment 3035762
Prince Dube, muuaji anayetabasamu katika misimu minne aliyokuwa akiitumikia Azam FC alifanikiwa kufunga magoli 34 ndani ya Ligi Kuu 🇹
🗓️ 04 Misimu
⚽️ 34 Mabao

Mwana Mfalme ni mali ya Wananchi

My Take
Dube kapendeza sana jezi ya Yanga
Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa tunasubiria tena uje na hesabu mpya aka income statement ya Dube.
 
huku kwa wakata mkaa kuna wachezaji wazuri thimba inipe oda niwaletee
 
View attachment 3035762
Prince Dube, muuaji anayetabasamu katika misimu minne aliyokuwa akiitumikia Azam FC alifanikiwa kufunga magoli 34 ndani ya Ligi Kuu
04 Misimu
34 Mabao

Mwana Mfalme ni mali ya Wananchi

My Take
Dube kapendeza sana jezi ya Yanga
Sawa mkuu ila kesho naomba uje new version ya hii post ambayo ipo kihasibu.
 
Back
Top Bottom