Hata mie sitamani akamatweInawezekana ikawa sio kwn nakumbuka kuna kipindi alidai pia kuwa amemkamata na kesi iko polisi, kipindi hicho alidai ni Safina, lkn bado kp aliendelea.
Lkn pia kama kesi ipo polisi huko Finland kwnn kila mara anataka watu wajue kuhusiana na hy kesi as if yy ndo hakimu?
Ngoja tuone but ni mapema sana kuhitimisha kuwa yule Emma ndiye kp
Kwanini asiwe anajibu kwa facts kwa anayosemwa?Mange ameshasema say anything about her using your true identity,anything else she will pursue you to the ends of earth-fair game you attack her and she answers back-ukificha identity unamnyima haki yake ya kujitetea
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Yeye anavyodhalilisha watu?Kumdhalilisha Mange huko Finland !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mange huwa nacheka tu kumsoma,ila kumuamini ni 50/50.Hiyo chat wala sio ya anil trust me,angalia muda uliotumika ktk hayo majibizano ya msg,unawezaje kuchat na mtu tena kwa sms halafu muda utofautiane kwa seconds instead of min.halafu hii sio mala ya kwanza kufanya mchezo huo.mange akisha ku attack lazima ataweka kitu kama hicho kuonyesha anapewa infos na watu wakati si kweli,huo mchwzo ni simple sana ila kwa wasio fahamu ndio hivyo tena wanamshangilia.
Mpumbavu tu yuleeMkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Yeye anavyodhalilisha watu?
Ananyimwaje haki yake ya kujitetea hapo? Kama ni uongo si akanushe tu? Kaona ameguswa pahala pake huyo, this time kapatikana mjanja mwenzake yy si hakubali kushindwa?Mange ameshasema say anything about her using your true identity,anything else she will pursue you to the ends of earth-fair game you attack her and she answers back-ukificha identity unamnyima haki yake ya kujitetea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akija lazima atakupa le super kiss you knowwewe,le mutuz ana radio na tv ukiondoa kwa sasa yeye ndio promoter wa events zilizoshiba bongo
Personality ya Le mutuz ndio itazifanya hizi station zichanganye na sio huyo Mosha-hapo nadhani umenielewa-hiyo asilimia moja inaweza geuka 50 overnight
Hata mm nimenote hicho kitu mkuuHiyo chat wala sio ya anil trust me,angalia muda uliotumika ktk hayo majibizano ya msg,unawezaje kuchat na mtu tena kwa sms halafu muda utofautiane kwa seconds instead of min.halafu hii sio mala ya kwanza kufanya mchezo huo.mange akisha ku attack lazima ataweka kitu kama hicho kuonyesha anapewa infos na watu wakati si kweli,huo mchwzo ni simple sana ila kwa wasio fahamu ndio hivyo tena wanamshangilia.
Jamani hata mimi naombea sana asiwe KP.Inawezekana ikawa sio kwn nakumbuka kuna kipindi alidai pia kuwa amemkamata na kesi iko polisi, kipindi hicho alidai ni Safina, lkn bado kp aliendelea.
Lkn pia kama kesi ipo polisi huko Finland kwnn kila mara anataka watu wajue kuhusiana na hy kesi as if yy ndo hakimu?
Ngoja tuone but ni mapema sana kuhitimisha kuwa yule Emma ndiye kp
Kwenye post zake tu mkosoe kidogo hata kwa jambo muhimu anakupa solex na kichambo juu anaweka kwenye post yake kwa kuedit. Hapo ndo nashangaa anataka democrasia wakati yy hatoi nafasi hy kwenye Page yake. Mrs PerfectUnamyima haki yake ya kujitetea au kukuchamba. Sidhani kama huyo mama unaweza kumwambia ukweli pale apokosea akakuacha bila kukutukana au kukuchamba. Nadhani ndio sababu ya watu kumchamba huku wamejificha. She is never open for either critisism or competition, ye lazima awe mshindi. So she is always in self defense mode.
Ni kweli usemalo nilimfata dm insta akanambia yuko busy kazini akipata nafasi ndo hupost au Mange akipost ujinga basi huja kwa dharurakixchwapanzi kajaa tele sio lazima apost kila saa
ana kazi zake sio mange wa kushinda insta 24/7 yule
Radio na tv ni za bilionea David Moshawewe,le mutuz ana radio na tv ukiondoa kwa sasa yeye ndio promoter wa events zilizoshiba bongo
Mapya2 ndo yule dada alokuwa akikaa nab Mange huko Marekani kama sikosei anaitwa Zenatkakamatwa kivipi mbona yupo daily?
nenda kwa mapya 2 ukacheke
Rais wao, je kwa rais wa wengine? Hivi huko anaruhusiwa hata kupiga kura kweli?Anadai sheria za Marekani zinamlinda.
Kwao kumtukana Rais sio big issue yani.
Kwenye post zake tu mkosoe kidogo hata kwa jambo muhimu anakupa solex na kichambo juu anaweka kwenye post yake kwa kuedit. Hapo ndo nashangaa anataka democrasia wakati yy hatoi nafasi hy kwenye Page yake. Mrs Perfect
Anadai sheria za Marekani zinamlinda.
Kwao kumtukana Rais sio big issue yani.
[emoji28][emoji28][emoji28]si kwa kumtetea uko na matamasha uwa anaandaa sijui matamasha gani ayo ngoja wit aje labda nasra uyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akija lazima atakupa le super kiss you know
[emoji23][emoji23][emoji23]
Shangaa ww [emoji28][emoji28]et n promoter wa events zilizoshiba zipi alizoandaa lemutuz atutajie ata moja miss natafuta njo ucheke uku sijui ulidanganywa dada kama yule wa mahotpots [emoji28][emoji28]Radio na tv ni za bilionea David Mosha
Uyo uyoMapya2 ndo yule dada alokuwa akikaa nab Mange huko Marekani kama sikosei anaitwa Zenat