Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Inawezekana ikawa sio kwn nakumbuka kuna kipindi alidai pia kuwa amemkamata na kesi iko polisi, kipindi hicho alidai ni Safina, lkn bado kp aliendelea.

Lkn pia kama kesi ipo polisi huko Finland kwnn kila mara anataka watu wajue kuhusiana na hy kesi as if yy ndo hakimu?

Ngoja tuone but ni mapema sana kuhitimisha kuwa yule Emma ndiye kp
Hata mie sitamani akamatwe
 
Mange ameshasema say anything about her using your true identity,anything else she will pursue you to the ends of earth-fair game you attack her and she answers back-ukificha identity unamnyima haki yake ya kujitetea
Kwanini asiwe anajibu kwa facts kwa anayosemwa?
Kutukanana haoni kama ni kujishushia heshima? (Kwa heshima gani kwanza [emoji20][emoji20])
Hata hivyo kumjibu adui ni kukoleza moto wa mashambulizi hili halijui na limemshinda.
 
Hiyo chat wala sio ya anil trust me,angalia muda uliotumika ktk hayo majibizano ya msg,unawezaje kuchat na mtu tena kwa sms halafu muda utofautiane kwa seconds instead of min.halafu hii sio mala ya kwanza kufanya mchezo huo.mange akisha ku attack lazima ataweka kitu kama hicho kuonyesha anapewa infos na watu wakati si kweli,huo mchwzo ni simple sana ila kwa wasio fahamu ndio hivyo tena wanamshangilia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mange huwa nacheka tu kumsoma,ila kumuamini ni 50/50.
 
Mange ameshasema say anything about her using your true identity,anything else she will pursue you to the ends of earth-fair game you attack her and she answers back-ukificha identity unamnyima haki yake ya kujitetea
Ananyimwaje haki yake ya kujitetea hapo? Kama ni uongo si akanushe tu? Kaona ameguswa pahala pake huyo, this time kapatikana mjanja mwenzake yy si hakubali kushindwa?
 
wewe,le mutuz ana radio na tv ukiondoa kwa sasa yeye ndio promoter wa events zilizoshiba bongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akija lazima atakupa le super kiss you know
[emoji23][emoji23][emoji23]
Personality ya Le mutuz ndio itazifanya hizi station zichanganye na sio huyo Mosha-hapo nadhani umenielewa-hiyo asilimia moja inaweza geuka 50 overnight
 
Hiyo chat wala sio ya anil trust me,angalia muda uliotumika ktk hayo majibizano ya msg,unawezaje kuchat na mtu tena kwa sms halafu muda utofautiane kwa seconds instead of min.halafu hii sio mala ya kwanza kufanya mchezo huo.mange akisha ku attack lazima ataweka kitu kama hicho kuonyesha anapewa infos na watu wakati si kweli,huo mchwzo ni simple sana ila kwa wasio fahamu ndio hivyo tena wanamshangilia.
Hata mm nimenote hicho kitu mkuu
 
Inawezekana ikawa sio kwn nakumbuka kuna kipindi alidai pia kuwa amemkamata na kesi iko polisi, kipindi hicho alidai ni Safina, lkn bado kp aliendelea.

Lkn pia kama kesi ipo polisi huko Finland kwnn kila mara anataka watu wajue kuhusiana na hy kesi as if yy ndo hakimu?

Ngoja tuone but ni mapema sana kuhitimisha kuwa yule Emma ndiye kp
Jamani hata mimi naombea sana asiwe KP.
Mange ni bingwa wa kukurupuka,tusubiri na tuone.
Period
 
Unamyima haki yake ya kujitetea au kukuchamba. Sidhani kama huyo mama unaweza kumwambia ukweli pale apokosea akakuacha bila kukutukana au kukuchamba. Nadhani ndio sababu ya watu kumchamba huku wamejificha. She is never open for either critisism or competition, ye lazima awe mshindi. So she is always in self defense mode.
Kwenye post zake tu mkosoe kidogo hata kwa jambo muhimu anakupa solex na kichambo juu anaweka kwenye post yake kwa kuedit. Hapo ndo nashangaa anataka democrasia wakati yy hatoi nafasi hy kwenye Page yake. Mrs Perfect
 
Kwenye post zake tu mkosoe kidogo hata kwa jambo muhimu anakupa solex na kichambo juu anaweka kwenye post yake kwa kuedit. Hapo ndo nashangaa anataka democrasia wakati yy hatoi nafasi hy kwenye Page yake. Mrs Perfect

Solex ni nini, if I may ask.
 
Anadai sheria za Marekani zinamlinda.
Kwao kumtukana Rais sio big issue yani.

Basi atukane viongozi wa huko Marekani, si anaishi huko lazima awe na interest na nchi ya wanae. Atukane viongozi huko aone moto.

Demokrasia unatetea freedom of speech, but every freedom has limits. Huwezi kutukana tena mtu ambae hajakutukana eti kwa vile ni haki yako kikatiba kuongea!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akija lazima atakupa le super kiss you know
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]si kwa kumtetea uko na matamasha uwa anaandaa sijui matamasha gani ayo ngoja wit aje labda nasra uyu
 
Back
Top Bottom