Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa! hiyo shuka analalia Mange? Hicho kitanda nacho chake? Mwanamke asietoka bila kupaka make up?! kweli sasa ndio nimeamini zile chupi zenye ukoko ni asili yake ya uchafu?! mama watatu period mpaka kwenye shuka?! mhhhhhh! Frank amfunde Bhoke mwenyewe bila hivyo binti kwishnei.Haya jamani picha ya Mange hii hapa japo nimeipata ikiwa imeunganishwa.
Mange akiwa uwani kwake LA kulia,na kushoto kitanda chake alichokichafua kwa P.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
cc Khantwe Evelyn Salt Charity Diva Beyonce Ayanda85 Heloo Sky Eclat mwasu brenda18 nsalu Dinazarde n.k View attachment 339482
wanawake wa bongo nimewavulia kofia... mko na data na interest za mambo haya balaa
Inaelekea una ukame wa kukutana au kufahamiana na watu ambao wako fine upstairs kama SI unit yako ni huyu dadaMange yuko fine sana upstairs. Ndio maana anauwezo wa kuifanya nchi nzima ikamuongelea yeye, refer sakata la January.
Huyo mama aliwahi olewa kwa ndoa na rubani mmojaKwa tabia hii ya kukubali kuwa mchepo, elimu yake haijamkomboa kifikra kwa kweli.
Hawa watoto wa Malecela nao wana balaa gani jamani?Huyo mama aliwahi olewa kwa ndoa na rubani mmoja
Ndoa iliisha nadhani maana huyo baba yupo hapohapo bongo ila waliachana
No Nifan usiseme hivo, kwenye ndoa kunachangamoto nyingi sana, kuna watu wana degree za uvumilivu na wapo amabao mioyo yao unaumia kupita kiwango. Tusimuhukum Dr. Mwele kwa personal life yake...my cousin sister anafanya kazi NIMRI anamsifia sana kwa kazi na utendaji wake, Yaani namwonea huruma anavoingizwa kwenye mambo yasiomuhusu.Hawa watoto wa Malecela nao wana balaa gani jamani?
Mbona huwa tunamkandia Le Mutuz na kumsifia dada yake?
Kumbe ndio walewale?
Mhhhhhhhhh!
Hahahahahaaaa hii picha ni vile tu hawezi angeshasema ni Photoshop!Pampers ya Keanu hiyo hapo chini. Viatu mjomba na shangazi ha ha ha ha ha muke ya mzungu utadhani anaishi dampo, hicho kitanda vepe anatupiaga picha kajiachia kwenye vitanda vya hotels chake mbona hajiachii ha ha ha hilo shuka kama pazia
Mange anamtukanaga sana Sintah lakini nadhani kwa sasa kamshinda huyo Mange.Jamii forum ifungwe na na nani? pole yake bibi bomba kamtukana Lowasa kasahau ni mwenye hisa vodacom, vodacom wamechomoa ufadhili wa blog yake kashindwa kuiendesha kafunga. haaa chezea watu na pesa zao.. mwanzo kukwepa aibu kasema anafanya diete atarudi, sasa mwezi wa saba huu hata kama angekuwa nguruwe diete ingesha isha. Pole mwana mtoka majunguni.
Mange bwege kweli eti anamtukana Lowasa huku anaisifia CCM akiamini atapata nafasi katika serikali wakati huo huo wenye chama (January na Ridhiwani) anawatukana. Akili ziro hajui hata ashike wapi, kajileta mbioo kuja kutaka ubunge viti maalum kaishia kulala mahabusu. chuki mbaya sana.Mange anamtukanaga sana Sintah lakini nadhani kwa sasa kamshinda huyo Mange.
Kwanza blog yake ina wadhamini kibao japo haiko hot kivile.
Mange naamini sasa ni kichaa.
Kwa kumtukana kule January na bado Lowassa alidhani watamuacha?
Hivi unaanzaje kumtukana boss wako?
Sio siri kipindi kile alichokuwa anamdhalilisha Mzee wa watu machozi yalikuwa yananitoka.
I HATE YOU MANGE!
My dear,sijahoji career yake,ni vile tumekuwa tukimsema Le Mutuz kuhusu maisha yake ya kimahusiano na kumsifia dada yake kumbe ndio walewale.No Nifan usiseme hivo, kwenye ndoa kunachangamoto nyingi sana, kuna watu wana degree za uvumilivu na wapo amabao mioyo yao unaumia kupita kiwango. Tusimuhukum dr Mwele kwa personal live yake...my cousin sister anafanya kazi NIMRI anamsifia sana kwa kazi na utendaji wake, Yaani namwonea huruma anavoingizwa kwenye mambo yasiomuhusu.
Huyo Frank nasikia hata alikuwa hampendi Mange kihivyo,ilikuwa one night stand ndio bibie kubeba mimba hapohapo.Kama Bhoke alifikia kufunzwa usafi wa binti na walimu?! Nampongeza Frank kwa kumuacha Mange, kweli mwanamke wa kitanzania maadili ziro?! Hawa wazungu kwa nini wanapenda kuoa wanawake walioshindikana?! Hata zeenat alivumilia sana aisee, kwa utoko ule! utafikiri ana ukoma hana kdiole cha kusafisha huko?! kazi kweli bora angekuwa anajistiri na pant liner kuficha aibu yake.
Mange anatamani sana kurudi bongo, ila ndio hawezi anaogopa kuchekwa maana alivyowananga waliokuwa mashoga zake, ataishi kwa shida sana, nakumbuka kuna siku alifungua uzi kwenye blog yake kumtukana Naky mtoto wa mama kilango kuwa mwaname kamuacha ila bi dada kang'ang'ania nyumba eti kwa kuwa iko uzungungu, mwanaume kaondoka na sanduku siku dada nae kasafiri kurudi kakuta mwanaume kaweka kufuli nyingine getini ila daa asiingie ndani, Mange aliirusha kwa mbwembwe vibaya sana, leo yamemkuta yeye?! Kweli Mungu si mzungu.Huyo Frank nasikia hata alikuwa hampendi Mange kihivyo,ilikuwa one night stand ndio bibie kubeba mimba hapohapo.
Tena ilikuwa chooni.....uwiiiiiii!
Yule mama ana moyo sana,inaonekana alikuwa anafanya kazi kama punda.
Halafu bado mzungu hajampangia chips 8 dinner!
Mimi ningesharudi Bongo aisee.
waswahili wanasema mchimba kisima kaingia mwenye... Mange kazoea kuingilia ya wenzake, ila hii thread balaaYaani ni Balaa hawa watu.Yaani kuna wanaoshambulia kwa Kombination ya MSN .Mess,Suarez na Neymar.
Naona mhusika mkuu kajitokeza kapewa makombora kama yale ya Benghazi
Sijui huko alipo yupo kwenye hali gani muda huu anaweza akawa anautazama huu uzi kwa hasira na kuuma meno tu.Halafu hawataki kumuacha .
Yaani afadhali wangemchapa vibao tu yaishe maana haya maneno yao maumivu hudumu labda aombe JF wauondoe huu Uzi.
Sema wanaume nasi tuna roho ngumu kuvumilia maana sipati picha ukute ni patna au Mke wako anapewa za uso hivi halafu bado haachi tu.
Wanawake hawa kwa mipasho ni balaa tupu kweli.
Siku zote asilimia 99 ya wazungu wanaoa vikaragosi au hawkers,ulitaraji vibaya kuwa mke wa mzungu atakuwa ni mrembo wa asili,ni sawa na kutaraji kumpata malaya asiye bandia kwenye urembo wake.Porojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.
Miguu kaa fito zisizo na ubora.
Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.
Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
Mhhhhhh chaumbea ushafika?
Last time napima nilikuwa na 55 na ilikuwa miezi minne iliyopita.
Kwa sasa nimeongezeka,nitakuwa na 57/8.
Nadhani nimekujibu vyema.
Haya jamani picha ya Mange hii hapa japo nimeipata ikiwa imeunganishwa.
Mange akiwa uwani kwake LA kulia,na kushoto kitanda chake alichokichafua kwa P.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
cc Khantwe Evelyn Salt Charity Diva Beyonce Ayanda85 Heloo Sky Eclat mwasu brenda18 nsalu Dinazarde n.k View attachment 339482
wanawake wa bongo nimewavulia kofia... mko na data na interest za mambo haya balaa