Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Hahahahaaa kule Instagram page yake huwa napita kama upepo,namchora tu.
Halafu hata kwa kina kichwapanzi sicomment wala kulike maana najua ataniblock nisijekosa kujionea mabalaa yake.
Huku kajileta tutamchaaaamba na hana cha kutufanya.
Huwa anajidai mjuaji sama,eti hii ndio GT....
Hahahahahaaaaa
Ukimwambia ukweli tu anakublock, ana mazuzu ambao wanasifia kila kitu ndio anaowapenda, mimi since day one nimemuangalia i know upstairs kwake hakuna kitu kabisa na nilishasema kwa kina Mwamvita na wote mnachofurahia anachokifanya huyu kwa blog yake will come back to you now is extactly what happening
 
Nifah umemkomalia mtu tangu juzi. Nacheka sana comments za watu humu .Mi nasoma comments tu hapa.Nimecheka sana Mhusika alivyokurupuka huko na matusi juu.

Yaani wadada wengine wanajitafutia majanga wenyewe tu.

Yaani majukwaa mengine yakinichosha nimekua nikifika kwenye huu uzi kwa ajili ya kusoma comments na kuishia kuvunjwa mbavu kwa comments za wadau

Ni miezi michache lakini nilionya hii tabia ya mtu kushupalia maisha ya wengine na kuwachafua kwa ulimbukeni wa kutumia mitandao tu haitamfikisha mtu sehemu salama.

Kwa mtu aliyetulia akitukanwa na huyu bidada anapaswa kumpuuza na kumuacha alivyo maana uswahiliswahili wake haoni aibu na kama ni kujibiwa atajibiwa na wengine

Sasa mtu una exposure halafu kazi kubwa ni kutukana watu na kuzushia watu uongo kwenye mitandao ya kijamii.

Kuna kesi zimeshafunguliwa .Ukiwa ignorant wa sheria siku zote utafanya mambo ambayo ni ya kishamba na utakuwa unaswekwa rumande kila siku na kuwapigia magoti watu.
 
Hahahahahaaa
Excuse me cougar, huna ubavu wa kuniibia bwana mama.
Mimi nawe ni ardhi na mbingu,huingii kwangu hata robo!
Pamoja na mimake up yako,surgery na hizo diet unazohangaika kufanya mimi mwenzio ni English figure orijino...heheheee

Usichanganye madesa,sio kila jukwaa humu ni GT.
Huku ni kwenye gossip, udaku na yote yahusuyo celebrities.
Lipo jukwaa la Great Thinkers....upo bibi?
Sasa wewe umelazimisha weeee hadi tumekujua.
Kwanini tusikujadili?
Halafu ujue wewe ni celebrity wa mabaya tu,huna jema mama watatu!
Kwanini wewe tu Mange?

Halafu kumbe nimekukuna namna hii hadi umeshindwa kuvumilia ukaamua kuja huku?
Si wewe ulikuwa unajitapa unapenda ukiongelewa na hawakupunguzii chochote?
Kwa mara ya kwanza umeamua kuingia JF!
Means vichambo vimekukuna hadi kumoyo.
Punguza kujisikia,huna lolote wanakucheka watu.
Hasidi mwenye damu ya kunguni!
You are nothing but a loser!
You are welcome........Old bitc*.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shkamoo
 
Huyu cougar nilikuwa namtetea juzi kuwa pamoja na mabaya yake lakini kichwani yuko njema.
Ajabu leo anasema eti namchukia.
Mange achukiwe kwa kipi jamani?
Angekuwa mzuri angesema tunamuonea wivu.
Mali hana sawa na mimi tu hapa.
Achukiwe kwa lipi?
She is nothing.... Indeed
Mungu nae anaangaliaga kwakweli, mange angekua mzuri tusingepupu
 
Huyu cougar nilikuwa namtetea juzi kuwa pamoja na mabaya yake lakini kichwani yuko njema.
Ajabu leo anasema eti namchukia.
Mange achukiwe kwa kipi jamani?
Angekuwa mzuri angesema tunamuonea wivu.
Mali hana sawa na mimi tu hapa.
Achukiwe kwa lipi?
She is nothing.... Indeed
Si unajua wabongo tunaishi maisha ya kusadikika so labda kupata mzungu ndio aliona all is well na ndio katoka na kusahau kuna wabongo wako njema balaa now Bongo anatamani kurudi ila akifikiria anabaki kulia tu na majuto ni mjukuu
 
Hahahahahaaa
Excuse me cougar, huna ubavu wa kuniibia bwana mama.
Mimi nawe ni ardhi na mbingu,huingii kwangu hata robo!
Pamoja na mimake up yako,surgery na hizo diet unazohangaika kufanya mimi mwenzio ni English figure orijino...heheheee

Usichanganye madesa,sio kila jukwaa humu ni GT.
Huku ni kwenye gossip, udaku na yote yahusuyo celebrities.
Lipo jukwaa la Great Thinkers....upo bibi?
Sasa wewe umelazimisha weeee hadi tumekujua.
Kwanini tusikujadili?
Halafu ujue wewe ni celebrity wa mabaya tu,huna jema mama watatu!
Kwanini wewe tu Mange?

Halafu kumbe nimekukuna namna hii hadi umeshindwa kuvumilia ukaamua kuja huku?
Si wewe ulikuwa unajitapa unapenda ukiongelewa na hawakupunguzii chochote?
Kwa mara ya kwanza umeamua kuingia JF!
Means vichambo vimekukuna hadi kumoyo.
Punguza kujisikia,huna lolote wanakucheka watu.
Hasidi mwenye damu ya kunguni!
You are nothing but a loser!
You are welcome........Old bitc*.
Nifaaaaaaaah Kuuuubwa la Adui Mange..wapi Da Jane..Naomba mmchangiee huyo Mange mpaka Ajue kama yeye chiziii nyingi ni Walimu Wa Machozi...Eti kwani ndoa ni kila kitu kwakeeee....Eeee weeee eeee yeiyaaaaa.......Unaloo Mange Rudii Bongoo ujee upambane Na Mdogo Wako BONGE Urithi....Na zamani tulikuwa tuna kuona Wa Maana kumbe Sheitwan mwana Mtoka Pabaya... Unaloo Shoga huna Mume huna. ....Kuna mahali napenda Nifaa Kabanga Da Janw Endelezeni libeneke...anadhani si Akina Kichwa Panzi. . lost Ghost!!!
 
Siku akiweka picha ya nyumbani kwake nitag ha ha ha make mashauzi yake ni restaurant na kwenye nyumba za watu, huko atachangamka kupiga picha fasta fasta tena picha za kutosha, kakonda kweli kabakiza fuvu na nyonyo tu ndo halijakonda
Hahahahaaaaa kwani shoga hukuona picha ya Mange akiwa nyumbani kwake?
Ile aliyovaa dira?
Uwiiiiiiiii sitaki kukumbuka.
Ngoja nitaileta tena kwa faida ya wengi.
Tofauti na ile sahau kuona picha ya Mange akiwa kwake.

Ila mwaka juzi nakumbuka alikuwa anaweka picha....
Kuchafu balaa,nguo kila sehemu utadhani soko la Ilala.
 
Hahahahaaaaa kwani shoga hukuona picha ya Mange akiwa nyumbani kwake?
Ile aliyovaa dira?
Uwiiiiiiiii sitaki kukumbuka.
Ngoja nitaileta tena kwa faida ya wengi.
Tofauti na ile sahau kuona picha ya Mange akiwa kwake.

Ila mwaka juzi nakumbuka alikuwa anaweka picha....
Kuchafu balaa,nguo kila sehemu utadhani soko la Ilala.
Ile picha kakaa na laptop pembeni kuna pampers ya Keanu? Ha ha ha
Yani akiwa restaurant utamkoma naona anakuaga wa mwisho kula make muda wote yupo bize na picha
 
Mangeeeenitaaaa kaishiwaaaaas ama kweli Mwanvita kuubwa la Vita...unashindana Na mwenye Pesa Mange..poleee..Na Badoo Ilo ni Trelaaaa tu
 
Nifah umemkomalia . Mi nasoma comments tu hapa.Nimecheka sana Mhusika alivyokurupuka huko na matusi juu.

Yaani wadada wengine wanajitafutia majanga wenyewe tu.

Yaani majukwaa mengine yakinichosha nimekua nikifika kwenye huu uzi kwa ajili ya kusoma comments na kuishia kuvunjwa mbavu kwa comments za wadau

Ni miezi michache lakini nilionya hii tabia ya mtu kushupalia maisha ya wengine na kuwachafua kwa ulimbukeni wa kutumia mitandao tu haitamfikisha mtu sehemu salama.
Hahahahaaa Mange anasumbuliwa na stress sana.
Juzi aliweka picha akiwa analia,halafu akafuta akaacha moja.
Baadae akajitetea eti ilikuwa kuhusu msiba!
Msiba ndio afute picha?
Na kwani msiba una ajabu gani hadi aseme kuwa ni wakati wake wa kushea nyakati za huzuni?
Huyu mwanamke anayaokota mataahira yake huko IG sio huku.

Yeah,nakumbuka ulionya na sasa kashikwa kwelikweli hadi kaanza kufunguka taratibu.

Karibu Ben.
 
Hahahahaaa Mange anasumbuliwa na stress sana.
Juzi aliweka picha akiwa analia,halafu akafuta akaacha moja.
Baadae akajitetea eti ilikuwa kuhusu msiba!
Msiba ndio afute picha?
Na kwani msiba una ajabu gani hadi aseme kuwa ni wakati wake wa kushea nyakati za huzuni?
Huyu mwanamke anayaokota mataahira yake huko IG sio huku.

Yeah,nakumbuka ulionya na sasa kashikwa kwelikweli hadi kaanza kufunguka taratibu.

Karibu Ben.
Huo msiba alikua peke ake? Au aliingia chooni kupiga selfie eti msiba nyooo MSIBA WA TALAKA HUO
 
Nifah umemkomalia mtu tangu juzi. Nacheka sana comments za watu humu .Mi nasoma comments tu hapa.Nimecheka sana Mhusika alivyokurupuka huko na matusi juu.

Yaani wadada wengine wanajitafutia majanga wenyewe tu.

Yaani majukwaa mengine yakinichosha nimekua nikifika kwenye huu uzi kwa ajili ya kusoma comments na kuishia kuvunjwa mbavu kwa comments za wadau

Ni miezi michache lakini nilionya hii tabia ya mtu kushupalia maisha ya wengine na kuwachafua kwa ulimbukeni wa kutumia mitandao tu haitamfikisha mtu sehemu salama.

Kwa mtu aliyetulia akitukanwa na huyu bidada anapaswa kumpuuza na kumuacha alivyo maana uswahiliswahili wake haoni aibu na kama ni kujibiwa atajibiwa na wengine

Sasa mtu una exposure halafu kazi kubwa ni kutukana watu na kuzushia watu uongo kwenye mitandao ya kijamii.

Kuna kesi zimeshafunguliwa .Ukiwa ignorant wa sheria siku zote utafanya mambo ambayo ni ya kishamba na utakuwa unaswekwa rumande kila siku na kuwapigia magoti watu.
Well said Ben now its time inabackfire tena kwa kiwango cha juu
 
Upstairs yuko F kabisa , she cant urgue kabisa, hawezi kusimamia hoja, ila kama upstairs kunakuwa fine kwa kuchamba yes she is?But ukifollow mijadala yake unaweza kumwona upstairs yuko vipi, hopeless kabisa , she cant compete labda kwa kazi za kubebwa ambazo now naona zinakufa taratibu
Mange yuko fine sana upstairs. Ndio maana anauwezo wa kuifanya nchi nzima ikamuongelea yeye, refer sakata la January.
 
Ile picha kakaa na laptop pembeni kuna pampers ya Keanu? Ha ha ha
Yani akiwa restaurant utamkoma naona anakuaga wa mwisho kula make muda wote yupo bize na picha
Hahahahahaaa ile picha naitafuta yenyewe naikosa.
Sijui nitaipata wapi,au kwa Da Zenat nini?
Mange anapenda picha kama mwendawazimu lakini ajabu hapigi akiwa kwake.
Inaonekana anawakera sana wateja ktk hizo restaurants.
Unakumbuka aliwahi kusema kuwa alifukuzwa na mkamera wake?
 
Huo msiba alikua peke ake? Au aliingia chooni kupiga selfie eti msiba nyooo MSIBA WA TALAKA HUO
Hapo sasa!
Hivi Mange anavyopenda picha angeacha kupiga picha akiwa msibani?
Talaka ina mambo....
Pole bi mkora Mange.
 
Mhhhhhhh Nyumba ya Mange ina swimming pool?
Hivi si tungekoma kwa picha?Maana angejiloweka 24/7 kama kiboko.
Sijawahi kuona shoga,labda lipo tusubiri akina Sky Eclat watuambie.

Wala hatuwezi gombana shoga,hapa umbea tu.
Maugomvi tumuachie MangeKimambi aliyegombana na dunia nzima.

Alijua sana kunyali watu, alisema Sintah masikini hata pale Sinza anapokaa anamuonea huruma, kumbe afadhali Sinza anapokaa Sintah kuliko huko madongo kuinama ya LA anapokaa yeye.
 
Back
Top Bottom