Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tegemezi nimewahi kukuomba nini?Tegemez wa kwanza ni wewe nashangaa kazi unayofanya ni kufatilia watu, ukilazwa njaa unalalamika.Tafuta hela ujitegemee wacha kufatilia watu kimbea utakufa maskini
Heeeeeee makubwa!Nasikia mzungu siku akikasirika anavunja vunja vyombo.Sahani za Mange zote zina mapengo. Alikuwa anawaita Mange na mwanaye Bhoke black monkey. sijui kwa nini Gonga hamchukui mwanaye akakaa naye mateso gani haya kwa mtoto.
Jamani Mange ana laana yule?Da Zenat aliacha watoto bongo kwa makubaliano ya kulea watoto wa Mange Marekani mshahara $300 kwa mwezi.
Wemefika kule hali halisi $300 hapati, ananunuliwa magauni ya Ross Dress for Less na kupigwa picha restarants zinarushwa kwenye blog, dada wa watu akawa anawaza watoto wake, pesa ya kuwatumia hana.
Kweli,hata mimi nikisikia jina la huyo mama nasonya.Hakuwa mke, ulikuwa mchepuko au nyumba ndogo wakati mzee kimambi akiwa na huyo mkewe wa ndoa, ila Mange kwa kukosa adabu na kumchukia mamake wa kambo akampenda sana Mwele na kufikia wakati mwingine kuishi kwake ili tu mamake wa kambo aumie, lakini mpeuko nao ukawa unaona vyema tu kuwekwa hadharani, elimu ya mwele na upole wake mange alimchafulia cv mbele ya wamama.
Shoga Kily si yuko abroad?Nae mshiriki wa umiss ila sijui ni mashindano yepi ila nae ni muke ya muzungu ila yeye katulia tuli na kibabu chake hapa hapa bongo, hana makeke wala majivuno na ndie rafiki pekee alieweza kuvumilia vituko vya mange.
Hahahahaaaa japo nina shida jamani ila kile kibabu cha Killy?si kibabu cha kwanza kilimkimbia date ya kwanza tu katangaza shida.mzungu kaona ya nini yote hii.....alikuwa anamcheka shoga ake killy na babu ake mwenyewe
Namshangaa Mange na exposure yote anapaka make up kama anaenda kucheza kigodoro.afu huo mmakeup wake anajisiliba sana...hivi haiwezekani kujipaka simple makeup sio mpaka ujulikane umejipakaa mmakeup huo hapendezi wala....I love shamim make up yake simple mwenyewe.....
Weka picha yako tukuone kama hatujatema mate!! Sanamu la michelini kama shogako wa wama...Porojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.
Miguu kaa fito zisizo na ubora.
Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.
Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
Weka picha yako tukuone kama hatujatema mate!! Sanamu la michelini kama shogako wa wama...
Mi kidume rijali kuliko yule mshana unaemshobokea!! Mie ukinipa hiyo tunguu takufanyia kazi hutonisahau japo upo kama sanamu ya michelini...Khasara. Dada unaejiita Lusungo, kwa kukujuza tu, AlhamduliLlah mimi ni 100% orijino.
Wala huna hadhi ya kuona picha yangu mwanadada wewe.
Mi kidume rijali kuliko yule mshana unaemshobokea!! Mie ukinipa hiyo tunguu takufanyia kazi hutonisahau japo upo kama sanamu ya michelini...
Weka picha hiyo we ajuza tukuone!! Ukoko umekujaa hadi machoni.We Dada unajidai mwanamme? Mie miaka yote jinsi uandikavyo nnajuwa ni binti. Kama unasema kweli basi una walakin.
Rijali anajisifu au kuingia kwenye udaku wa kina Mange? Unanchekesha.
Jamani jamani huyoo Zenati si alikuwa anajidaii ni Dada Ajee...lol kweli mbabe ana wababe wake!!.after all.....INA Maana lilee jumba si kweli kina maswiming pool sijui nini Na nini....Here heeeee wonders shall never cease to Mangeee...Manger Angekuwa mzuriiii kama Linda Tusingetembea...Ivii..twende mbele turudi nyumaa..inawezekanaje kila Best friend wake At the end iwe vibaya..si ndugu si marafiki. Si wanasiasa wenziee si Akina Shamimu...si Akina Nifah....Ataenda wapi....Wotee tuna mapungufu lakini mwenzetu lol!!!! Labda Atamuweza Lara 1 tu..Maana ndoo Shogaake........by the Way Nifah Mi sina Uvavu Wa kugombana nawe hukunielewa..Warumi huu ubuyuu hujui kiundani aje aunganishe??Hahahahahaaa unanichokoza huku ubuyu unataka.
Anyways,mbea hana kiburi....lol
Huyo alikuwa baby sitter wake,kamlelea sana watoto na family yake,sasa akawa hamlipi bwana.
Ana kazi ya kumpa nguo na kumpiga picha kisha kutuma bongo ili watu waone anaishi vizuri.
Sasa dada akawa anafua nguo hadi za ndani za Mange.
Bibi yule kwa uchafu kumbe underwear zilikuwa zinagandiana ukoko,Da Zenat akawa anazipiga picha.
Kurudi bongo ndio kayaanika yote.
Hadi kwenye uchochoro aliokuwa analala na watoto!
Ilikuwa zaidi ya aibu!
Uuuuuuuuph nadhani umeridhika sasa.
Kaka Kananga huwa napenda style yakoo we Maneno kimoja tu..sijui we ni mtu Wa Dizaini Gani napenda nikufahamu..Mzee Wa Pamoja tu!!!hutaki Shida ya kuandikaa minenoo miingiInasikitisha....!
Nifah!!!!!! Ac ta Da zenat inaitwaje nikachungulieee Maana makosa Utamu[/QUO
inaitwa mapya2
I know Mwele..Mwendwa..Tully late Ippy and Sunche..nilisema mke ka heshima tu...ila nasikuaga huyoo Mbaba Alijipiga Risasi sijui alijipigia kwake au kwa Mwele Jee chanzoo ulikuwa nini mwenye Ubuyu huu..wapi Dinazarde..Nifah The boss..warumi....I'm waiting....Hakuwa mke, ulikuwa mchepuko au nyumba ndogo wakati mzee kimambi akiwa na huyo mkewe wa ndoa, ila Mange kwa kukosa adabu na kumchukia mamake wa kambo akampenda sana Mwele na kufikia wakati mwingine kuishi kwake ili tu mamake wa kambo aumie, lakini mpeuko nao ukawa unaona vyema tu kuwekwa hadharani, elimu ya mwele na upole wake mange alimchafulia cv mbele ya wamama.