Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyu dada ana "negative energy" kubwa sana. It is just a matter of time-if it is not happening, it is bound to do. Action and reaction are equal but opposite. Nguvu kubwa anayotumia kuwahukumu na kuwaharass watu itamrudia yeye au familia yake.
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Cc Nifah

Ukuda ukudani. Kumbe ukikosea njia na kuingia choo cha kike hautoki bure
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Pole bibi bomba.
Kumbe na wewe huwa unaumia ukisemwa?
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Unasema jf Ni moja ya mitandao itakayofungiwa, umeandika kwenye ig page yako, MangeKimambi una hakika Na hili.....!???
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Hahahahahaaa
Excuse me, huna ubavu wa kuniibia bwana mama.
Mimi nawe ni ardhi na mbingu,huingii kwangu hata robo!
Pamoja na mimake up yako,surgery na hizo diet unazohangaika kufanya mimi mwenzio ni English figure orijino...heheheee

Usichanganye madesa,sio kila jukwaa humu ni GT.
Huku ni kwenye gossip, udaku na yote yahusuyo celebrities.
Lipo jukwaa la Great Thinkers....upo bibi?
Sasa wewe umelazimisha weeee hadi tumekujua.
Kwanini tusikujadili?
Halafu ujue wewe ni celebrity wa mabaya tu,huna jema mama watatu!
Kwanini wewe tu Mange?

Halafu kumbe nimekukuna namna hii hadi umeshindwa kuvumilia ukaamua kuja huku?
Si wewe ulikuwa unajitapa unapenda ukiongelewa na hawakupunguzii chochote?
Kwa mara ya kwanza umeamua kuingia JF!
Means vichambo vimekukuna hadi kumoyo.
Punguza kujisikia,huna lolote wanakucheka watu.
Hasidi mwenye damu ya kunguni!
You are nothing but a loser.
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Muke ya mzungu pole sana, Leo ndo imekua ndoa sio kila kitu makubwa....
Mpare haachiki mbona baba bhoke alikuacha?
 
Jamani jamani huyoo Zenati si alikuwa anajidaii ni Dada Ajee...lol kweli mbabe ana wababe wake!!.after all.....INA Maana lilee jumba si kweli kina maswiming pool sijui nini Na nini....Here heeeee wonders shall never cease to Mangeee...Manger Angekuwa mzuriiii kama Linda Tusingetembea...Ivii..twende mbele turudi nyumaa..inawezekanaje kila Best friend wake At the end iwe vibaya..si ndugu si marafiki. Si wanasiasa wenziee si Akina Shamimu...si Akina Nifah....Ataenda wapi....Wotee tuna mapungufu lakini mwenzetu lol!!!! Labda Atamuweza Lara 1 tu..Maana ndoo Shogaake........by the Way Nifah Mi sina Uvavu Wa kugombana nawe hukunielewa..Warumi huu ubuyuu hujui kiundani aje aunganishe??
Mhhhhhhh Nyumba ya Mange ina swimming pool?
Hivi si tungekoma kwa picha?Maana angejiloweka 24/7 kama kiboko.
Sijawahi kuona shoga,labda lipo tusubiri akina Sky Eclat watuambie.

Wala hatuwezi gombana shoga,hapa umbea tu.
Maugomvi tumuachie MangeKimambi aliyegombana na dunia nzima.
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Haaa haaa this is not a great thinker forum, it is a celebrities forum, anyways kama haujaachika hongera sana n all the best kama umeachika pole pia , thats life!But being real is one point na kuweka akiba ya maneno pia kunajenga, maneno yako yanaacha maswali mengi kuliko majibu , anyways thats you , bahati mbaya you cant block people here
 
Kama ndoa sio kila kitu sasa mbona haishi kuwahadaa watu ooh flani kazaa hajaolewa akafie mbele huko na diet mavi hakuna cha diet mambo magumu life halieleweki anajikondea tu anajifanya diet
Hahahahaaa anadanganya watu anafanya diet wakati life imempiga.
Kakongoroka macho yamesinyaa kama kizee cha miaka 70!
Kabaki fuvu la kichwa tu.
Ile picha aliyopiga akiwa supermarket nilihisi atadondoka!
Sio kwa kukonda kule.
 
Hahahahahaaa
Excuse me cougar, huna ubavu wa kuniibia bwana mama.
Mimi nawe ni ardhi na mbingu,huingii kwangu hata robo!
Pamoja na mimake up yako,surgery na hizo diet unazohangaika kufanya mimi mwenzio ni English figure orijino...heheheee

Usichanganye madesa,sio kila jukwaa humu ni GT.
Huku ni kwenye gossip, udaku na yote yahusuyo celebrities.
Lipo jukwaa la Great Thinkers....upo bibi?
Sasa wewe umelazimisha weeee hadi tumekujua.
Kwanini tusikujadili?
Halafu ujue wewe ni celebrity wa mabaya tu,huna jema mama watatu!
Kwanini wewe tu Mange?

Halafu kumbe nimekukuna namna hii hadi umeshindwa kuvumilia ukaamua kuja huku?
Si wewe ulikuwa unajitapa unapenda ukiongelewa na hawakupunguzii chochote?
Kwa mara ya kwanza umeamua kuingia JF!
Means vichambo vimekukuna hadi kumoyo.
Punguza kujisikia,huna lolote wanakucheka watu.
Hasidi mwenye damu ya kunguni!
You are nothing but a loser!
You are welcome........Old bitc*.
She is nothing at all like i said before she cant argue, she cant stand on her own n she cant do anything, ile blog kama sio ufadhili wa vodacom ambao Mwamvita ndio aliusimamia then hakuna kitu m telling na kwa kugombana kwake na kila mtu na upstairs ile there is nothing she can do
 
Mhhhhhhh Nyumba ya Mange ina swimming pool?
Hivi si tungekoma kwa picha?Maana angejiloweka 24/7 kama kiboko.
Sijawahi kuona shoga,labda lipo tusubiri akina Sky Eclat watuambie.

Wala hatuwezi gombana shoga,hapa umbea tu.
Maugomvi tumuachie MangeKimambi aliyegombana na dunia nzima.
Siku akiweka picha ya nyumbani kwake nitag ha ha ha make mashauzi yake ni restaurant na kwenye nyumba za watu, huko atachangamka kupiga picha fasta fasta tena picha za kutosha, kakonda kweli kabakiza fuvu na nyonyo tu ndo halijakonda
 
Haaa haaa this is not a great thinker forum, it is a celebrities forum, anyways kama haujaachika hongera sana n all the best kama umeachika pole pia , thats life!But being real is one point na kuweka akiba ya maneno pia kunajenga, maneno yako yanaacha maswali mengi kuliko majibu , anyways thats you , bahati mbaya you cant block people here
Hahahahaaa kule Instagram page yake huwa napita kama upepo,namchora tu.
Halafu hata kwa kina kichwapanzi sicomment wala kulike maana najua ataniblock nisijekosa kujionea mabalaa yake.
Huku kajileta tutamchaaaamba na hana cha kutufanya.
Huwa anajidai mjuaji sama,eti hii ndio GT....
Hahahahahaaaaa
 
Siku akiweka picha ya nyumbani kwake nitag ha ha ha make mashauzi yake ni restaurant na kwenye nyumba za watu, huko atachangamka kupiga picha fasta fasta tena picha za kutosha, kakonda kweli kabakiza fuvu na nyonyo tu ndo halijakonda
Kama ameshaingia kwenye madeni tu sahauni kumwona akirudi hapa nchini maana ukishakuwa na madeni tu USA ndio utabeba maboxi, kuosha vyoo, kufanya kazi mahotelini na kazi kama hizo.Ile Bongo nini sijui ilikuwa inamlipa na wateja wake wote wa maana kagombana nao sasa sijui atanunua nani?Yaani before hajangombona na mtu hata kufanya CBA anashindwa and then amefanya MBA, i doubt
 
She is nothing at all like i said before she cant argue, she cant stand on her own n she cant do anything, ile blog kama sio ufadhili wa vodacom ambao Mwamvita ndio aliusimamia then hakuna kitu m telling na kwa kugombana kwake na kila mtu na upstairs ile there is nothing she can do
Huyu nilikuwa namtetea juzi kuwa pamoja na mabaya yake lakini kichwani yuko njema.
Ajabu leo anasema eti namchukia.
Mange achukiwe kwa kipi jamani?
Angekuwa mzuri angesema tunamuonea wivu.
Mali hana sawa na mimi tu hapa.
Achukiwe kwa lipi?
She is nothing.... Indeed
 
Back
Top Bottom