Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Hahahahahaaa
Excuse me, huna ubavu wa kuniibia bwana mama.
Mimi nawe ni ardhi na mbingu,huingii kwangu hata robo!
Pamoja na mimake up yako,surgery na hizo diet unazohangaika kufanya mimi mwenzio ni English figure orijino...heheheee
Usichanganye madesa,sio kila jukwaa humu ni GT.
Huku ni kwenye gossip, udaku na yote yahusuyo celebrities.
Lipo jukwaa la Great Thinkers....upo bibi?
Sasa wewe umelazimisha weeee hadi tumekujua.
Kwanini tusikujadili?
Halafu ujue wewe ni celebrity wa mabaya tu,huna jema mama watatu!
Kwanini wewe tu Mange?
Halafu kumbe nimekukuna namna hii hadi umeshindwa kuvumilia ukaamua kuja huku?
Si wewe ulikuwa unajitapa unapenda ukiongelewa na hawakupunguzii chochote?
Kwa mara ya kwanza umeamua kuingia JF!
Means vichambo vimekukuna hadi kumoyo.
Punguza kujisikia,huna lolote wanakucheka watu.
Hasidi mwenye damu ya kunguni!
You are nothing but a loser.