Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #201
cc MatooIlikuwa ni mchapo anampa mwenzake mwamvita makamba, jinsi alivyo enjoy wakati anachepuka na boyfriend wake wa zamani kabla ya ndoa na mzungu wake, so called Albert jinsi alivyo mfikisha ikabaki nusu tu ampe TIGO, alimwambia walahi vile tu wamekuta tena wote wako kwenye ndoa bila hivyo... halafu anataka kumuacha mume mambo yake kifedha yakiwa safi, eti hampendi hata unyumba hampi miezi hata 4 mpaka mzungu wa watu alalamike wee, ndio anampa lakini huo mchepuko ndio unamfikishaaa, mambo yake yakiwa fiti anasepaaa, sasa ikavuja mzungu kaiona..ikala kwake,
Ilikuwa hivyo.