Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Ilikuwa ni mchapo anampa mwenzake mwamvita makamba, jinsi alivyo enjoy wakati anachepuka na boyfriend wake wa zamani kabla ya ndoa na mzungu wake, so called Albert jinsi alivyo mfikisha ikabaki nusu tu ampe TIGO, alimwambia walahi vile tu wamekuta tena wote wako kwenye ndoa bila hivyo... halafu anataka kumuacha mume mambo yake kifedha yakiwa safi, eti hampendi hata unyumba hampi miezi hata 4 mpaka mzungu wa watu alalamike wee, ndio anampa lakini huo mchepuko ndio unamfikishaaa, mambo yake yakiwa fiti anasepaaa, sasa ikavuja mzungu kaiona..ikala kwake,
cc Matoo
Ilikuwa hivyo.
 
Mhhhhhh chaumbea ushafika?
Last time napima nilikuwa na 55 na ilikuwa miezi minne iliyopita.
Kwa sasa nimeongezeka,nitakuwa na 57/8.
Nadhani nimekujibu vyema.
Kuwa na kilo 55 sio mbaya kama inaendana na urefu wako...

Kuna kipimo wanakiita body mass index "BMI".. ambacho kinakokotolewa kwa kuangalia mlinganyo wa urefu na kilo zako..

Kwa mfano urefu wako ni sentimita 155... inabidi uwe na kilo 55.... yaani hapo unatoa mia..

Kama una sentimita 165 basi inabidi uwe na kilo 65..
 
Kuwa na kilo 55 sio mbaya kama inaendana na urefu wako...

Kuna kipimo wanakiita body mass index "BMI".. ambacho kinakokotolewa kwa kuangalia mlinganyo wa urefu na kilo zako..

Kwa mfano urefu wako ni sentimita 155... inabidi uwe na kilo 55.... yaani hapo unatoa mia..

Kama una sentimita 165 basi inabidi uwe na kilo 65..
Mhhhhhhh mbona mimi ni 170cm+ lakini huwa nacheza kwenye 55 kg still niko gud tu?
Haya mambo mengine complications tu.
Najua kuhusu hilo anyway, just najikubali nilivyo.
 
Mange ua depressed ndo mana huishagi kuwasemea marafiki zao vibaya it seems ulikua na high expectation na huyo mzungu ila life limekua virse versa. Achana na fekero life lakufurahisha wakusifiayo ulinichosha hasa ulivokuwa wamzalilisha lowasa Mara mgonjwa sijuii nini kina shamimu kina mwamy naona hyo ni chuki tu wamekuzidi kila kitu aisee. Kwahali uliyo nayo una tisha you need help mweeeh jifunze malipo hapa hapa
 
Nakusubiliaa Hapa..silali mpaka unijibu..huyo Dada walikosanajee
Hahahahahaaa unanichokoza huku ubuyu unataka.
Anyways,mbea hana kiburi....lol

Huyo alikuwa baby sitter wake,kamlelea sana watoto na family yake,sasa akawa hamlipi bwana.
Ana kazi ya kumpa nguo na kumpiga picha kisha kutuma bongo ili watu waone anaishi vizuri.
Sasa dada akawa anafua nguo hadi za ndani za Mange.
Bibi yule kwa uchafu kumbe underwear zilikuwa zinagandiana ukoko,Da Zenat akawa anazipiga picha.
Kurudi bongo ndio kayaanika yote.
Hadi kwenye uchochoro aliokuwa analala na watoto!
Ilikuwa zaidi ya aibu!
Uuuuuuuuph nadhani umeridhika sasa.
 
Mange ua depressed ndo mana huishagi kuwasemea marafiki zao vibaya it seems ulikua na high expectation na huyo mzungu ila life limekua virse versa. Achana na fekero life lakufurahisha wakusifiayo ulinichosha hasa ulivokuwa wamzalilisha lowasa Mara mgonjwa sijuii nini kina shamimu kina mwamy naona hyo ni chuki tu wamekuzidi kila kitu aisee. Kwahali uliyo nayo una tisha you need help mweeeh jifunze malipo hapa hapa
Jamani leo nimenuonea hadi huruma,sio kwa kulia kule!
Uso umesawijika sababu ya stress,sio makeup wala foundation zote hazikai!
Tusubiri na tuone mwisho wa hizi jeuri zake.
 
Hahahahaaa Mange kafuta ile picha anayolia jamani!
Nani alikuambia upost?
Si umesema sio vibaya kushare huzuni zako kama unavyoshare ukiwa na furaha?
Wambea tulishanyaka screenshots zamaaaaani,pole!
Stress zitakuua mama,rudi nyumbani tu.
2ade5ce25f5d86cc0eb627ad9b6b64c5.jpg
wabongo bhana fanya kazi,siku nzima unafatilia mtu kapost nn... duh tunasafari ndefu kuondokana na umaskini
 
wabongo bhana fanya kazi,siku nzima unafatilia mtu kapost nn... duh tunasafari ndefu kuondokana na umaskini
Sasa wewe ambaye hufuatilii that means ni tajiri... ..
Utajiri wako utanisaidia nini?
Haya unatakiwa uwaambie unaowapa kula ili waepukane na kuwa tegemezi kwako.
Nawaonea huruma maana unaonekana una gubu hatariiiiii!
 
Jamani leo nimenuonea hadi huruma,sio kwa kulia kule!
Uso umesawijika sababu ya stress,sio makeup wala foundation zote hazikai!
Tusubiri na tuone mwisho wa hizi jeuri zake.
Ndo itabidi ajifunze kiugumu ana hali mbaya kakonda had hela ya mkorogo hana macho yameingia ndani ana shida had watoto. Tatizo huwa anajifanya hashauriki akisifiwa na watu wenye mafekero hao alioo wa bully ka wamemtia nuksi. Yani katisha. Apunguze kiherehere
 
Porojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.

Miguu kaa fito zisizo na ubora.

Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.

Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
ila faiza umekosea hapo kwenye tumiguu hakupenda kuwa hivyo ni uumbaji tu...hayo mengine ni ufake kweli...
 
Absolutely!
Imagine baada ya kuweka post hiyo ya machozi kafuta fasta!
Aachane na hizi mambo za ego,akubali tu kushindwa.
afu huo mmakeup wake anajisiliba sana...hivi haiwezekani kujipaka simple makeup sio mpaka ujulikane umejipakaa mmakeup huo hapendezi wala....I love shamim make up yake simple mwenyewe.....
 
Jamani,naomba tuwe tunaheshimiana.
Watu kama nyie ndio mnaovunja ndoa za watu.
Mimi kusema humu kuwa nakaa ubungo kipindi kile cha kampeni isiwe sababu ya kujidai unanijua sana.
Na wala hakuna mwanaJF yeyote anayepajua kwangu,usiniletee balaa.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] anataka kutuvunjia ndoa huyu fala......
 
Hahahahaaaa
Sasa hivi yuko na option ya kupata kibabu cha kizungu kimsaidie kulea watoto.
Hebu tusubiri kama hii ikifeli....huenda akarejea.
si kibabu cha kwanza kilimkimbia date ya kwanza tu katangaza shida.mzungu kaona ya nini yote hii.....alikuwa anamcheka shoga ake killy na babu ake mwenyewe
 
Da Zenat alikuwa na usongo wa pesa zake, kumbe alikuwa anapiga picha chupi. IG ilinimazia sana bundle!!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] da zenat kamaliza kazi yani anakupa habari na ushahidi wa kipicha utadhani alijua bdae hali ingekuwa hivi...insta inatumalizia bando haswaa
 
Back
Top Bottom