Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,679
mkuu ni kweli kabisaNitake radhi wewe Lindi hakuna watu wasiokuwa na kazi mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ni kweli kabisaNitake radhi wewe Lindi hakuna watu wasiokuwa na kazi mjini
Kwani mange amepitia magumu gani hasa mpaka kuwa hivi alivyo?kama ni kweli Mange kaachika kuna watakaofanya sherehe. huyu dada amedhalilisha watu wengi mno mitandaoni jamani. Viongozi, watu wa kawaida na kadhalika. Akirudi bongo huyu wallahi watamdaka, hata kwa kumsingizia kesi. hafai katika jamii. muda mwingi yuko mitandaoni kudhalilisha watu, kuwatukana kupita maelezo. hata kama una data, kuna kiwango jamani. maisha ya ajabu uliyopata wakati unakua yasikufanye umalizie hasira wasiohusika.
anapenda malumbano na wivu uliopitiliza. ukitaka kumkomesha, usijibizane nae. Alimchokonoa sana Zari wa Diamond, lakini Zari akawa kimya akabaki na aibu. ndio dawa ya huyu kichaa wa kipare.
Hahahahaaaa katika picha inayonichekeshaga jamani ni ile ya Mange akiwa kavaa dira huku kapakata laptop uwani kwake.Thubutu yake...shoga ana crop ile internationale yani wakuda tunashindwa hata kuongeza imagination zetu kwa mbele! Lakini wacha tu acrop mana kwa misakafu ile iliopasuka pasuka ya mwaka 47 waiii hata kwetu sitimbi kuna hadhi sio kwa mipasuko ile... akajambe mbele(in her voice[emoji3] )
Uwiiiiii jamani Mange huyu?Huyo Mzungu alirogwa vby sana na mganga qa Chanika mpaka akatangaza ndoa. Alimuoa Mange kwa madawa haikuwa akili zake. Unaambiwa kwa huyo mganga kumejaa picha za wazungu.
Unakumbuka alivyofanikiwa kurudi Marekani baada ya makasheshe yale alivyotukana?Mhh namuonea tu huruma aiseh maana kurudi bongo haiwezekani maana wauza unga wata mpiga risasi za tako.
Email Gani??au ndoo Maana Mange ana Bifu Kali Na Mwanvitaa..kumbukaa Alipomaliza Chuo Dubai Mwanvita alikuwa Bega to Bega Mange..What happened..tunaombenj ubuyu Wanawake Wa Dar....Maana Ubuyuu mtamu pilipilii kwa Mbali.I used to.like Mange kiukweli..but Baada ya Mashambulizi kwa Lowassa kipindi kile nilimtapikaaaMange hapo alichemsha kwa kweli,unamwaminije mtu kiasi hicho mpaka unamtumia email ya hivyo?
Shoga hata mimi ile LA inanikatishaga mno tamaa pale migombani utadhani kijijini kwao KAHE khaa ndo mana hayupo huru kutuonyeshaHahahahaaaa katika picha inayonichekeshaga jamani ni ile ya Mange akiwa kavaa dira huku kapakata laptop uwani kwake.
Nachekaga sana kila nikiiona,ile ndio LA yenyewe ilivyo jamani?
Mhhhhhhh!
Ni kama alivyoelezea mwasu na nimeona umelike.Email Gani??au ndoo Maana Mange ana Bifu Kali Na Mwanvitaa..kumbukaa Alipomaliza Chuo Dubai Mwanvita alikuwa Bega to Bega Mange..What happened..tunaombenj ubuyu Wanawake Wa Dar....Maana Ubuyuu mtamu pilipilii kwa Mbali.I used to.like Mange kiukweli..but Baada ya Mashambulizi kwa Lowassa kipindi kile nilimtapikaaa
Da zenat si alikuwa ka Dada ake VP tena waligombanaa tena. Anagombana Na kila.MTU tena Wa karibu yakee wotee kweli Awekwe kwenye Genius Book or Black bookDa Zenat alikuwa na usongo wa pesa zake, kumbe alikuwa anapiga picha chupi. IG ilinimazia sana bundle!!!!
Yule atakuwa haishi LA,nina mashaka sana.Shoga hata mimi ile LA inanikatishaga mno tamaa pale migombani utadhani kijijini kwao KAHE khaa ndo mana hayupo huru kutuonyesha
Yule angewin bingo la Klinn wa Mengi tungerudi vijijini kwa usafiri wa chai maarage mana yule kutumia pesa ana qualified certificate sema midolare ndo hana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha... nifah una kilo kama ngapi vile... maana mange ana 55Hapo tu sithubutu kumcheka.
Hata kama niko nyuma ya keyboard lakini ukweli utabaki kuwa nami ni mwembamba japo Mange wa sasa kanizidi.
Hapo kwa Mwele umekosea kidogo..mwelee alikuwa mke Wa baba ake Mange..so ni mama mdogoMatatizo ya Mange ni kupenda watu ukaribu na watu walio juu na wenye majina. Mwami alisoma Kifungilo na Sophia Byanaku, lakini bi dada aliweza kuvunja ule urafiki ili awe karibu na Mwami mtoto wa then RC.
Alimganda Mwele kwasababu mambo super na ametoka familia poa, akajipachika umama na mtoto.
Alimnyanyasa Shamim kwasababu Dar wakuja,
Kiki alichoka baada ya kuona design zake zote ndio zilianzisha bongolicious.
Nifah, ebu tupia hiyo email,naona nilipitwa hapo.Uwiiiiii jamani Mange huyu?
Ila Lance ile issue ya e-mail ilimchanganya sana.
Anaonekana alimpenda Mange masikini!
Maana alianza kutokujijali muda sana.
Yule kaka mwanzo alikuwaga smart hadi raha.
Lakini sasa hivi ukimuona kama mzungu pori,ile midevu khaaaaa!
Mhhhhhh chaumbea ushafika?Hahaha... nifah una kilo kama ngapi vile... maana mange ana 55
Najua hautonijibu..
Haha.. asante nifah wanguMhhhhhh chaumbea ushafika?
Last time napima nilikuwa na 55 na ilikuwa miezi minne iliyopita.
Kwa sasa nimeongezeka,nitakuwa na 57/8.
Nadhani nimekujibu vyema.
Nifah nipee ubuyu hapoo ilikuwajee Mdada Wa DarMwenzangu sio kwa chupi zile za ukoko.
Nilicheka wiki nzima!
Hahahahaaaa