Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Khataree... sasa mbona mnamnyonyoa mwenzenu bila hata maji ya moto au samli?😡The law of ethics "Utilitarianism" The greatest happiness for the greatest number.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khataree... sasa mbona mnamnyonyoa mwenzenu bila hata maji ya moto au samli?😡The law of ethics "Utilitarianism" The greatest happiness for the greatest number.
University zingine hawajali credential all they need is moneyIle University of walonga longa ilimuenroll kwa credential zipi??
Kumbe na wewe ni mbea mkuu?....Kumbe na wewe ni mchokozi Nifah...
Kumbe na wewe ni mbea mkuu?....
Nakumbuka shoga angu,hadi michepuko ya yule baba ikaanikwa hadharani....Mange anatamani sana kurudi bongo, ila ndio hawezi anaogopa kuchekwa maana alivyowananga waliokuwa mashoga zake, ataishi kwa shida sana, nakumbuka kuna siku alifungua uzi kwenye blog yake kumtukana Naky mtoto wa mama kilango kuwa mwaname kamuacha ila bi dada kang'ang'ania nyumba eti kwa kuwa iko uzungungu, mwanaume kaondoka na sanduku siku dada nae kasafiri kurudi kakuta mwanaume kaweka kufuli nyingine getini ila daa asiingie ndani, Mange aliirusha kwa mbwembwe vibaya sana, leo yamemkuta yeye?! Kweli Mungu si mzungu.
Haya!Umbea ni afya kama hujui. Wambea wanaishi miaka mingi hawana stress.
Namkumbuka ila jina lake limenitoka kidogo
Loooh,ile ilikuwa hatari.
Ila yule alimkomesha,alijidai kafa bi mkora akafuta posts zote!
Kuja kushtuka keshaliwa.
Uwiiii....alikuwa anajua kweli picha inapigwa? Da Zenat kiboko yake...Haya jamani picha ya Mange hii hapa japo nimeipata ikiwa imeunganishwa.
Mange akiwa uwani kwake LA kulia,na kushoto kitanda chake alichokichafua kwa P.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
cc Khantwe Evelyn Salt Charity Diva Beyonce Ayanda85 Heloo Sky Eclat mwasu brenda18 nsalu Dinazarde n.k View attachment 339482
Nifah hiyo picha itakuwa kwao Lindi
Nifah hiyo picha itakuwa kwao Lindi
Ha ha ha!hakuna cha kuonyesha ukiona hivyo!Akienda Lindi hatuonyeshi.
Mange anamtukanaga sana Sintah lakini nadhani kwa sasa kamshinda huyo Mange.
Kwanza blog yake ina wadhamini kibao japo haiko hot kivile.
Mange naamini sasa ni kichaa.
Kwa kumtukana kule January na bado Lowassa alidhani watamuacha?
Hivi unaanzaje kumtukana boss wako?
Sio siri kipindi kile alichokuwa anamdhalilisha Mzee wa watu machozi yalikuwa yananitoka.
I HATE YOU MANGE!