Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Khataree... sasa mbona mnamnyonyoa mwenzenu bila hata maji ya moto au samli?😡
Hahahahaaaaa mbona yeye hunyonyoa wenzie?
Huu mwaka ni wake.
Instagram Kichwapanzi huku JF moto.
Lazima akae.....
 
Mange anatamani sana kurudi bongo, ila ndio hawezi anaogopa kuchekwa maana alivyowananga waliokuwa mashoga zake, ataishi kwa shida sana, nakumbuka kuna siku alifungua uzi kwenye blog yake kumtukana Naky mtoto wa mama kilango kuwa mwaname kamuacha ila bi dada kang'ang'ania nyumba eti kwa kuwa iko uzungungu, mwanaume kaondoka na sanduku siku dada nae kasafiri kurudi kakuta mwanaume kaweka kufuli nyingine getini ila daa asiingie ndani, Mange aliirusha kwa mbwembwe vibaya sana, leo yamemkuta yeye?! Kweli Mungu si mzungu.
Nakumbuka shoga angu,hadi michepuko ya yule baba ikaanikwa hadharani....
Ni kiasi cha muda tu,kila kitu kitakuwa wazi.
 
Siku zote asilimia 99 ya wazungu wanaoa vikaragosi au hawkers,ulitaraji vibaya kuwa mke wa mzungu atakuwa ni mrembo wa asili,ni sawa na kutaraji kumpata malaya asiye bandia kwenye urembo wake.
Si bora hiyo,hivi FaizaFoxy angemuona hapa angesemaje?
uploadfromtaptalk1460907347016.JPG
 
Kuna yule dada alitukanwa mpaka aliforge kifo chake, nani anamkumbuka?
Namkumbuka ila jina lake limenitoka kidogo
Loooh,ile ilikuwa hatari.
Ila yule alimkomesha,alijidai kafa bi mkora akafuta posts zote!
Kuja kushtuka keshaliwa.
 
Namkumbuka ila jina lake limenitoka kidogo
Loooh,ile ilikuwa hatari.
Ila yule alimkomesha,alijidai kafa bi mkora akafuta posts zote!
Kuja kushtuka keshaliwa.

Yaani alimuanika mpaka furniture ya sitting room ya China, kumbe yeye hata hiyo ya China hana, ana sofa moja du kichwapaziii mshenzi.
 
Huyu mwanamke kiyasi yamkute, anawananga wenzie sana nakutukana Mpaka familia zao, alimtukana Mdada sijui anaitwa Nani akasema ni HIV Positive Na sijui changu ilimradii kashfaa tele, Sasa yamemkutaa atangaze Na Yake Kama yeye mbea...
 
Mange anamtukanaga sana Sintah lakini nadhani kwa sasa kamshinda huyo Mange.
Kwanza blog yake ina wadhamini kibao japo haiko hot kivile.
Mange naamini sasa ni kichaa.
Kwa kumtukana kule January na bado Lowassa alidhani watamuacha?
Hivi unaanzaje kumtukana boss wako?
Sio siri kipindi kile alichokuwa anamdhalilisha Mzee wa watu machozi yalikuwa yananitoka.
I HATE YOU MANGE!

Yani umenitonesha kidonda Nifah! Nimedevelop chuki kali sana kwa Mange sababu ya Lowassa, kile kipindi nlikua nalia sana Mange alizidisha kejeli jamani! nikimuona Lowassa kasimama jukwaani kwa upole bila jazba pamoja na kejeli zote baba wa watu asee i was crying!! Mange utapata shida sana wewe mwanamke ogopa mtu mkimya utaadhirika mdogo mdogo mwishoe ujiue!! Ulilipwa bilioni ngapi kumdhalilisha kiasi kile baba wa watu?
 
Back
Top Bottom