Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Mange ana face a/c nyingi sana.
Ukicomment kwa Kichwapanzi au Da Zenat anakuona kwa fekero anaenda kukublock kwake.
Mimi nilishamshtukia,game zangu ziko smart...
Nawasoma wote kiulaiiiiiini.
 
Kile ni kimeo... fulu plastic, ikatokea unaamka nae akiwa kwenye normal situation, unaweza kuzimia

Ila Mungu kamjaalia maneno na chuki... Ile miguu uswahilini tuasema ana miguu kama miti ya genge
 
Thubutuuuuu!
Hapo kama sio Dubai ni Marekani.
Enzi hizo yuko lindoni kumuwinda mzungu wake pori Lance.
Hili jamaa jinga sana.
Ha ha ha!hapo ndiyo historia inaanza,kabla ya ujeuri,dah watu muna kumbukumbu hatari.
 
Mjinga sana anadhani atapewa cheo kwa kudhalilisha watu.
 
Well said Ben!
 
Ben kaka yangu, 'MUOSHA, HUOSHWA'. Hata muosha maiti pale muhimbili at one stage ataoshwa tu!!! Its our turn. Na bado asubiri kesi yake Bongo... Atabebwa hata kwa Machela from USA to Bongo. Eti sharia za Bongo hazimgusi... Sasa anamsema Kibatala kuwa ni mwanasheria wake na atamtoa asubuhi pale Oysterbay, asichokijua kuwa hiyo kesi inayomkabili hapa Bongo inaongozwa na jopo la wanasheria watatu: Kibatala, Josiah wa Jodi Advocates na Albert Msando. Nimeliona file lake, hatoki huyu bidada.
 
Sio uongo kabisaaa... Mziki kwenda mbele, hakuna simu wala Insta Enzi hizo. Siku hizi watoto wetu wanaishi maisha ya online. Mange ndio kabisa kaathirika na hili. Na wanasema ukitaka many followers eti utukane tu ndio wanakuja kibao.
 
hivi wazungu wanapenda,demu wa kizungu ukimzingua tu anasepa na haitaji kuombwa msamaha
 
Mange kesha haribu tena, piteni jukwaa la habari na hoja mchanganyiko mkajionee tution aliyoitoa kwa wanawake/wasichana, kweli huu mwaka mirembe inamuhusu.
Mbona nimepita sijaona Mwasu,uzi umeandikwa kwa subject gani? umbeya huu jamani...
 
Mbona nimepita sijaona Mwasu,uzi umeandikwa kwa subject gani? umbeya huu jamani...
Mange ametoa darasa la wanawake wasichana kutumia Ass.... ili waweze kuishi poa..haahaa ngoja nikaiangalie usikute ishanyofolewa.nitarudi
 
Mbona nimepita sijaona Mwasu,uzi umeandikwa kwa subject gani? umbeya huu jamani...
Ipo jukwaa hili hili naona mods wali ihamisha kutoka kule "MANGE UNATAKA KUWAFUNDISHA NINI?" hicho ndio kichwa cha habari shoga! wahi kachukue maujuzi kama nawe unataka kutumia kiungo chako cha HESHIMA kujinufaisha kwa njia za KUKIDHARAU.
 
Ipo jukwaa hili hili naona mods wali ihamisha kutoka kule "MANGE UNATAKA KUWAFUNDISHA NINI?" hicho ndio kichwa cha habari shoga! wahi kachukue maujuzi kama nawe unataka kutumia kiungo chako cha HESHIMA kujinufaisha kwa njia za KUKIDHARAU.
Hahaaaaa.....shukrani shoga,ngoja niwahi nikajifunze mie..
 
Mange kaachwa sikuhizi zile mbwembwe za picha akiwa name Baba kenzo wamekumbatiana hazipo hata za dinner sikuhizi hazipo haaaaa haaaa muosha kaoshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…