Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

The lady sick jamani, mnajazana chumba kimoja na watoto ili mradi uonekane umelala hoteli ya gharama[emoji38]
 
Mange ana stress za talaka maana anamu attack kila aliyemzidi kimaisha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe kule kujikondesha ilikua ni sababu apate bwana mpya ndio kile kibabu wameunganishwa picha si kitamfia kifuanii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kile kibabu sio kweli bwana, ni mfano tu.
Uwiiiiiiii kichwapanzi hafai!
 
Kumbe mlikuwa hamuamini eeeh?
Wenzenu tuliona mbali kitambo sana.
Chezea wambea wenye PhD zetu wewe?[emoji4]
Ila Lance alijua kuvumilia jamani, mwanamke gani muda wote yupo mitandaoni day n nit, alafu awe anafanya la maana basi, full ku bully watu.
 
Ila Lance alijua kuvumilia jamani, mwanamke gani muda wote yupo mitandaoni day n nit, alafu awe anafanya la maana basi, full ku bully watu.
Lance alikuwa anaambiwa mama anafanya research ya business, since mke wa tajiri aliturn kuwa international business woman.
 
Nina maana ya kuonyeshwa kila kinachoendelea kwenye maisha yake, hata hivyo kichwapazii amemuumbua, alituaminisha yeye anaishi kama Biyonce.
Alafu lile jiko tunalooneshwaga kila siku i bet sio lake, kama sio la wakwe basi la friend, alafu poor bhoke ndio alikuwa kama mama wa nyuma maana kazi zote alikuwa anafanya, sijui hua anasomaga saa ngapi jamani.
 
Alafu lile jiko tunalooneshwaga kila siku i bet sio lake, kama sio la wakwe basi la friend, alafu poor bhoke ndio alikuwa kama mama wa nyuma maana kazi zote alikuwa anafanya, sijui hua anasomaga saa ngapi jamani.
Usiombe kugombana na mtu wa karibu yako, Mapya2 mbona alimwaga yote, Mange hajui kupika, tangu da Zenat aondoke Bhoke ndiye mpishi. Akikasirika anapiga watoto ovyo, Lance alimwambia marufuku kupiga wanae, kama anataka mtoto wa kupiga ampige Bhoke.
 
Lance alikuwa anaambiwa mama anafanya research ya business, since mke wa tajiri aliturn kuwa international business woman.
Hahahaaaa umenichekeshaa, ila kichwapanziiiiiii huyu mpaka nimetamani kumjua yaani hajambakiza kitu
 
Mange sijui anaziona hizi post jaman ama kachambwa bibi wa watu ila mda mwingine ukome we mange una toho ka unaandaliwa kuwa mrithi wa shetani lol...
 
Na anajiona mjanja Sana watu tuko huku miaka inaenda 18 analeta dharau eti hakuna mtanzania ana mansion kama yake, jamani that's her mansion ni fedheha ujue na kinyumba chenyewe 3bedrooms 1bath? Ebu angalia gate jamani pembeni sijui ndio storage au Choo cha nje mie nakumbuka sehemu Kama anayoishi huyo dada ni Kama maeneo flani ya wamexico au wale wanugu wandanii ebu angalia nyumba utadhani mtu yuko hood ya Oakliff Dallas shenzi taipu.
Mkuu hivi unajua hata anaekaa Manzese kwa mfuga mbwa ana confidence ya kusimama akasema anaishi kinondoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa uliza ni kino ipi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] majangaaaa
 
kichwapanzi natamani nikuone jamani kweli malipo ni duniani nikikumbuka alivyorudisha nyuma harakati za mabadiliko nimeamini mungu analipa kwa wakati hii story ni kama ya daudi na goliati mange anastaili alichokipata
 
kichwapanzi natamani nikuone jamani kweli malipo ni duniani nikikumbuka alivyorudisha nyuma harakati za mabadiliko nimeamini mungu analipa kwa wakati hii story ni kama ya daudi na goliati mange anastaili alichokipata

Kichwapanzi ana stahili award ya ujasiri. Au award ya kiboko cha uchafu Mange kamkomeshaaa na alikuwa na muda lazima alitukanwa na yeye.
 
Tusubiri Monday mpaka aombe msamaha kwa kila mtu. Tena public Kama alivyo wadhalilisha wenzake. Na watoto mzungu anachukua.
 
Back
Top Bottom