Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

The lady sick jamani, mnajazana chumba kimoja na watoto ili mradi uonekane umelala hoteli ya gharama[emoji38]
 
Mange ana stress za talaka maana anamu attack kila aliyemzidi kimaisha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe kule kujikondesha ilikua ni sababu apate bwana mpya ndio kile kibabu wameunganishwa picha si kitamfia kifuanii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kile kibabu sio kweli bwana, ni mfano tu.
Uwiiiiiiii kichwapanzi hafai!
 
Kumbe mlikuwa hamuamini eeeh?
Wenzenu tuliona mbali kitambo sana.
Chezea wambea wenye PhD zetu wewe?[emoji4]
Ila Lance alijua kuvumilia jamani, mwanamke gani muda wote yupo mitandaoni day n nit, alafu awe anafanya la maana basi, full ku bully watu.
 
Ila Lance alijua kuvumilia jamani, mwanamke gani muda wote yupo mitandaoni day n nit, alafu awe anafanya la maana basi, full ku bully watu.
Lance alikuwa anaambiwa mama anafanya research ya business, since mke wa tajiri aliturn kuwa international business woman.
 
Nina maana ya kuonyeshwa kila kinachoendelea kwenye maisha yake, hata hivyo kichwapazii amemuumbua, alituaminisha yeye anaishi kama Biyonce.
Alafu lile jiko tunalooneshwaga kila siku i bet sio lake, kama sio la wakwe basi la friend, alafu poor bhoke ndio alikuwa kama mama wa nyuma maana kazi zote alikuwa anafanya, sijui hua anasomaga saa ngapi jamani.
 
Alafu lile jiko tunalooneshwaga kila siku i bet sio lake, kama sio la wakwe basi la friend, alafu poor bhoke ndio alikuwa kama mama wa nyuma maana kazi zote alikuwa anafanya, sijui hua anasomaga saa ngapi jamani.
Usiombe kugombana na mtu wa karibu yako, Mapya2 mbona alimwaga yote, Mange hajui kupika, tangu da Zenat aondoke Bhoke ndiye mpishi. Akikasirika anapiga watoto ovyo, Lance alimwambia marufuku kupiga wanae, kama anataka mtoto wa kupiga ampige Bhoke.
 
Lance alikuwa anaambiwa mama anafanya research ya business, since mke wa tajiri aliturn kuwa international business woman.
Hahahaaaa umenichekeshaa, ila kichwapanziiiiiii huyu mpaka nimetamani kumjua yaani hajambakiza kitu
 
Mange sijui anaziona hizi post jaman ama kachambwa bibi wa watu ila mda mwingine ukome we mange una toho ka unaandaliwa kuwa mrithi wa shetani lol...
 
Mkuu hivi unajua hata anaekaa Manzese kwa mfuga mbwa ana confidence ya kusimama akasema anaishi kinondoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa uliza ni kino ipi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] majangaaaa
 
kichwapanzi natamani nikuone jamani kweli malipo ni duniani nikikumbuka alivyorudisha nyuma harakati za mabadiliko nimeamini mungu analipa kwa wakati hii story ni kama ya daudi na goliati mange anastaili alichokipata
 
kichwapanzi natamani nikuone jamani kweli malipo ni duniani nikikumbuka alivyorudisha nyuma harakati za mabadiliko nimeamini mungu analipa kwa wakati hii story ni kama ya daudi na goliati mange anastaili alichokipata

Kichwapanzi ana stahili award ya ujasiri. Au award ya kiboko cha uchafu Mange kamkomeshaaa na alikuwa na muda lazima alitukanwa na yeye.
 
Tusubiri Monday mpaka aombe msamaha kwa kila mtu. Tena public Kama alivyo wadhalilisha wenzake. Na watoto mzungu anachukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…