Jitu zima linashindwa kupambana na watu wazima wenzie linatukana watoto.Kwamfano mtoto wa Hoyce alimtukana tena kwa kashfa za uongo ili iweje?
Sasa Dar akikanyaga na hizo kesi atafikiawapi
Weeee sasa muongo Mange na Serena wapi na wapi?punguza fix utaumbuliwa ukubwaniNilikuwa nakaonaga pale Serena most of the time maana my ofisi iko opposite. Kalikuwa kanajiuza masikini. Ukikaona kama mbilikimo Fulani hivi. Anatembea kwa kuvizivizia tu
Nasikia Hoyce hii kesi anaiendesha kimyakimya,akitua bongo tu kaisha.Jitu zima linashindwa kupambana na watu wazima wenzie linatukana watoto.Kwamfano mtoto wa Hoyce alimtukana tena kwa kashfa za uongo ili iweje?
Sasa Dar akikanyaga na hizo kesi atafikia wapi
ampe huyo aliyemtaliki.....ngoja na usubiri AJE ! aje akupe yako aje ,aje akujibu aje ! aje usimkimbie ajeeeeeeee !
Wewe mtoto wa Kiislam huu mwezi ungejipinda kufanya ibada ingekuwa bora zaidi kwako muda wa kusoma japo Quran Aya moja unakosa, huu muda kwa mwezi wa toba siyo wa kushinda kujadili huu upuuzi wa kina Mange, nakuhusia wewe na Waislam wengine ambayo wananisoma humu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona wewe ulikuwa unasoma umbea wakati wa mwezi mtukufu badala ya kusoma Quran?Wewe mtoto wa Kiislam huu mwezi ungejipinda kufanya ibada ingekuwa bora zaidi kwako muda wa kusoma japo Quran Aya moja unakosa, huu muda kwa mwezi wa toba siyo wa kushinda kujadili huu upuuzi wa kina Mange, nakuhusia wewe na Waislam wengine ambayo wananisoma humu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona wewe ulikuwa unasoma umbea wakati wa mwezi mtukufu badala ya kusoma Quran?
Watu wengine sijui mkoje.
#DoubleStandards
Nifah jamani huna taarifa za Da jane?! Nimemmisi sana jamani au alikula life ban? Tujulishane jamani kama Da jane unaona huu wito jitokeze hata kwa salamu tu.Wambea wenye viwango vyetu [emoji108].
Hajui kwamba hakuna siri duniani,aibu yake.