Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Muosha naye huoashwa. Ila I can not imagine jinsi gani mzungu atamnyang'anya watoto. Hivi lakini niombeni mtusaidie kisa cha ndoa kuvunjika ni nini? Nimeona kule facebook picha za watoto alishaziondoa. Huwezi ku expose wanao kihivyo kwa social media. Hata akina Prince William na Kim K hafanyi hivyo. Yaani huyu ni wa kule uswazi kabisa mashauri sasa amevuna laana za walioteswa naye.
 
Jitu zima linashindwa kupambana na watu wazima wenzie linatukana watoto.Kwamfano mtoto wa Hoyce alimtukana tena kwa kashfa za uongo ili iweje?

Sasa Dar akikanyaga na hizo kesi atafikia wapi
 
Jitu zima linashindwa kupambana na watu wazima wenzie linatukana watoto.Kwamfano mtoto wa Hoyce alimtukana tena kwa kashfa za uongo ili iweje?
Sasa Dar akikanyaga na hizo kesi atafikiawapi

I'm sure ni mjinga lakini sio mjinga kiasi cha kutaka kurudi Bongo, kwa kesi alizonazo hawezi rudi.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Mkuu huyu Dar hawezi kanyaga, ana kesi ambazo hawezi pata hata dhamana.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Nilikuwa nakaonaga pale Serena most of the time maana my ofisi iko opposite. Kalikuwa kanajiuza masikini. Ukikaona kama mbilikimo Fulani hivi. Anatembea kwa kuvizivizia tu
Weeee sasa muongo Mange na Serena wapi na wapi?punguza fix utaumbuliwa ukubwani
 
Jitu zima linashindwa kupambana na watu wazima wenzie linatukana watoto.Kwamfano mtoto wa Hoyce alimtukana tena kwa kashfa za uongo ili iweje?

Sasa Dar akikanyaga na hizo kesi atafikia wapi
Nasikia Hoyce hii kesi anaiendesha kimyakimya,akitua bongo tu kaisha.

Mimi ananikera sana kumtukana dada wa watu bila kosa.
Mange hata utu wala aibu.
Acha watu washangilie yeye kufikwa mabaya.
 
Watu na mafekero yao full kutoa maevidence. Ukute ni shogaake wa karibu [emoji30][emoji30]
 
Nifah

Wewe mtoto wa Kiislam huu mwezi ungejipinda kufanya ibada ingekuwa bora zaidi kwako muda wa kusoma japo Quran Aya moja unakosa, huu muda kwa mwezi wa toba siyo wa kushinda kujadili huu upuuzi wa kina Mange, nakuhusia wewe na Waislam wengine ambayo wananisoma humu.
 
Wewe mtoto wa Kiislam huu mwezi ungejipinda kufanya ibada ingekuwa bora zaidi kwako muda wa kusoma japo Quran Aya moja unakosa, huu muda kwa mwezi wa toba siyo wa kushinda kujadili huu upuuzi wa kina Mange, nakuhusia wewe na Waislam wengine ambayo wananisoma humu.

Hhhhaaaaaaaaaa
 
Acheni kumuongezea u~popular huyu , sipendi mtu ambaye anakula kwa kuwaumiza wengine, sikumpenda toka mara ya kwanza naona mtu mmoja anaangalia profile yake anasifia. Sijui hata kawaje popular kwa anachopost, watanzania tuuache kusupport watu kama huyu. Hawa ndo ulimbukeni, kakanyaga US anajiona on top of the world.

Huyo Agnes sijui nani, kwa nini asingeshitaki Instagram awatumie email na maelezo ya u~bully wa huyu mdada, watu kama watatu aliowabully kwenye profile yake wangemshtaki, Instagram wangemfutia account yake fasta sana na kumpa permanent ban juu ya kutokurudi tena.
 
Wewe mtoto wa Kiislam huu mwezi ungejipinda kufanya ibada ingekuwa bora zaidi kwako muda wa kusoma japo Quran Aya moja unakosa, huu muda kwa mwezi wa toba siyo wa kushinda kujadili huu upuuzi wa kina Mange, nakuhusia wewe na Waislam wengine ambayo wananisoma humu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona wewe ulikuwa unasoma umbea wakati wa mwezi mtukufu badala ya kusoma Quran?
Watu wengine sijui mkoje.
#DoubleStandards
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona wewe ulikuwa unasoma umbea wakati wa mwezi mtukufu badala ya kusoma Quran?
Watu wengine sijui mkoje.
#DoubleStandards

Dada uliyajuaje haya hadi kuleta uzi huu? Mwenye alibisha maskini na ukaonekana mzushi.

Asante kwa hii kumbushia.
 
Wambea wenye viwango vyetu [emoji108].

Hajui kwamba hakuna siri duniani,aibu yake.
Nifah jamani huna taarifa za Da jane?! Nimemmisi sana jamani au alikula life ban? Tujulishane jamani kama Da jane unaona huu wito jitokeze hata kwa salamu tu.
 
Back
Top Bottom