asante@nifah njoo
yaah!huyo ndo baba mtoto wake!Woooow Ma Ash Allah.
Kwani huyo ndio baba mtoto?
Maana Lisa alizaa muda kidogo.
hawa wahindi utajua habari zao huko maghorofani shogaa? achana naoWoooow Ma Ash Allah.
Kwani huyo ndio baba mtoto?
Maana Lisa alizaa muda kidogo.
wamependezaaqqWoooow Ma Ash Allah.
Kwani huyo ndio baba mtoto?
Maana Lisa alizaa muda kidogo.
kwambi ni mcuteUligundua nini ulipomsoma?Mwezio hata sijamfollow ujue?
ehee ya nini tena?Kapoleeee.
Japo kalinikera kalipofanya surgery.
Nimeona jamaan wanaona wakisubili wakristo wenzao watazeekajamani Lisa nae kawa muislamu kaolewa na yule mhindi sijui muarabu wake!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ninavyopenda nyama kuninunulia kile kimshikaki ni kunitukana tu.
Sanaaa Miss kumbe we bonge jamaan mbona hufananiii lol kama nakujua sasa [emoji30][emoji30]me kipotabo mwayabora alivokuwa bonge jamani
mabonge tuna raha zetu jamani