Wakiamua kuvuana nguo wanavuana ndo madada wa mjini tenanaona picha wanafanana?
kipindi cha usichana walikuwa mashosti na mange walikuwa wanakula bata mapoja wanaunganishiana mabuzi nini sema mange si unajua marafiki zake ndo maadui zake? ndo hivo wanajuana wale
ila rachel nampenda kitu kimoja yupo real unajua kwa nini alianza ugomvi wake mapema tu na mange na mange angejirekebisha enzi zile angekuwa salama chain isingekuwa kubwaWakiamua kuvuana nguo wanavuana ndo madada wa mjini tena
Na Ile sura? Pua [emoji28]mdomo[emoji28]Afu anamwita flora baboon wakati baboon ambaye kwake[emoji23] [emoji23]Mtoto anarangi yetu sisi waafrika bwana tena super tall kama Frank Machozi.
No comment, yule ni malaika, lakini Mange kabla ya kwenda Dubai jamani alikuwa duu.Na Ile sura? Pua [emoji28]mdomo[emoji28]Afu anamwita flora baboon wakati baboon ambaye kwake[emoji23] [emoji23]
Pole yake mange sa nyingne unamuonea hurumaila rachel nampenda kitu kimoja yupo real unajua kwa nini alianza ugomvi wake mapema tu na mange na mange angejirekebisha enzi zile angekuwa salama chain isingekuwa kubwa
rachel alikuwaga anamponda hana kitu sijui ka rachel kalijuaje aisee mange akajifanya kumchamba kweli oooh hajaolewa sijui mimi tajiri sasa ukweli umejulikana alifanya mabeef na mdada wa watu na ndugu zake ili iweje ?
sana ujue kama angeendelea na ile blog yake kwa adabu angekuwa bilionea etiPole yake mange sa nyingne unamuonea huruma
Nikiweka Picha ya Beyonce hapa nitakuwa queen bey? [emoji12]ms licolin wewe ni tempe? au recho?
Mhuu...Halaf ata mm sijui kwa nn namuhisig ni rachel dada anachamba yulee
ahahaa aya bna yaisheWeeeee mie muislam khaswaaa mpenzi.
Mwanzo nilivyomuona nilidhani Gigy.View attachment 393050mwisho wa dunia umefika uyo mdada jamaani
Kwa hiyo Nyari sio malaika? [emoji23]No comment, yule ni malaika, lakini Mange kabla ya kwenda Dubai jamani alikuwa duu.
Nyari is a grown up woman.Kwa hiyo Nyari sio malaika? [emoji23]
nyari anahamia dubai hivihivi usimtaje nina wivu mimi acheni tuKwa hiyo Nyari sio malaika? [emoji23]
mimi nipo kama kajala ila nataka kuongeza chura wangu kidogo kidunchu nimeshindwa mazoezi hivi zile dawa za mitishamba za insta ni za kweli? ahahaaAlifanya ya kupunguza mashavu na juu ya macho.
Sijui nyusi zikae vizuri...
Alinikera sana.
Hakuna malaika wakubwa? Akina Gabriel watoto?Nyari is a grown up woman.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] don't dare to use those herbals!!mimi nipo kama kajala ila nataka kuongeza chura wangu kidogo kidunchu nimeshindwa mazoezi hivi zile dawa za mitishamba za insta ni za kweli? ahahaa
ahahaaaa kausha mamy thanks[emoji2] [emoji2] [emoji2] don't dare to use those herbals!!