Hahahhh kweli isidingo mana haiishi toka nipo mdogoisidingo the need on fleek
[emoji23] [emoji23] [emoji23]la revencha
Night love n mm nalalatelemundo wapo vizuri sana yaani shost ngoja nilale nipo hoi leo
tukutane kesho hapa kijiweni kwetu
Nasio mbahili kwa mashost anajitolea tu madolarii ukiwa na shida ukimlilia jamaan usiku mwemaMwamy anawatoa udenda mashostito wa mjini....nasikia ukiwa shost ake unakula bata hadi kuku wanaona wivu, na anakutafutia danga la ukweli
yule mtu wa connectionsMwamy anawatoa udenda mashostito wa mjini....nasikia ukiwa shost ake unakula bata hadi kuku wanaona wivu, na anakutafutia danga la ukweli
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] pole sana Ila ipo kwenye blogs hapa ishaletwaga nahis wameiondoaView attachment 394315 Jamani ambao hamjabahatika kuona hiyo email, nimerudi mwanzo wa hii page nikaambulia huu upupu
Asee ni hataree...kama nilihisi vile na mambo ya TIGO yamo humo....mume lazima akumwageee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] pole sana Ila ipo kwenye blogs hapa ishaletwaga nahis wameiondoa
mpuuzi yule nae vtu navyo vya kuandika!!???,kumuandika rafiki samahaniAsee ni hataree...kama nilihisi vile na mambo ya TIGO yamo humo....mume lazima akumwageee
Mkuu eneo sio shida kwn ww waweza kwenda kijiji Beach ukapiga picha kwenye jacuzi kwa siku tofauti na ex wako. Ingekuwa mbaya kama lile eneo lipo ndani ys himaya ya ivanout of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
Na uyu mzimbabwe anaonekana uchizi wake zaidi ya mangeLance nae ana matatizo gani jamani yaani yeye wanawake machizi ndio starehe yake? Hajajifunza kwa Mange shauri yake., huyu nae siku akimzoea akaachia uchizi wake atamlipua mpaka ashindwe hata kudai talaka ajimalize kabisa.
Heee nifah hapo [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] vepeee Le Madam si alisema hataki miugomvii?[emoji80] [emoji80] aibu naona Mimi..Leo hiyo kaishakinukishaaLeta leta umbea Miss [emoji39][emoji39][emoji39]
yule mtu wa connections
anamchamba beatrice au mwingine?gen kaishalipuka tena le madam
UsipitweeNa uyu mzimbabwe anaonekana uchizi wake zaidi ya mange
ataacha afanye nini. Mtu unakaa marekani ushindwe hata kuvalisha wazee pampas upige dolar unabaki kutukana serikali mtandaoni ? yeye ni naniMatusi yake yote yanajulikana eg. Ukimwi, umalaya etc...hakuna MTU anaogopaa tena,....mi Leo nimeshangaa si kasema kaacha matusi na ugomvii???