wacha tu wachambwe kwanza adabu washike[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] na ndo wakome kwanza!Sasa huyo dada wanamjua balaa lake sasa wanamchokonoaga wa nini maana hapo atawatukana mbaka familia yake!
kuna mkaka anachambwa tenawacha tu wachambwe kwanza adabu washike[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] na ndo wakome kwanza!
muache achambwe kwanza so anaona raha wanawake wakichambwa eeeh!kuna mkaka anachambwa tena
ahahaaa ila mange siku anifume anichambe yaani hatoamini atalog out milelemuache achambwe kwanza so anaona raha wanawake wakichambwa eeeh!
Mimi page yake huwa napita kupata habari maana anajua kuzipangilia sasa kuna watu huwa wanamchokonoa na yeye huwa hawaach anawapa dozi nzito nda wanakimbilia huku kumkandiawacha tu wachambwe kwanza adabu washike[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] na ndo wakome kwanza!
jitokeze live atakutafuta mpk ukoo wenu woteahahaaa ila mange siku anifume anichambe yaani hatoamini atalog out milele
Mange mchambo wake ni heavy..huyu Beatrice Leo halali. Tehe tehDah eti nyusi kama barabara ya kwenda chato.
[emoji3] [emoji3] dozi heavyyyyy[emoji3] [emoji3]Mimi page yake huwa napita kupata habari maana anajua kuzipangilia sasa kuna watu huwa wanamchokonoa na yeye huwa hawaach anawapa dozi nzito nda wanakimbilia huku kumkandia
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Dah eti nyusi kama barabara ya kwenda chato.
alale wapi?halafu Mange haongeagi uongo haswaa siri za watu za anabwaga so Leo da bite mumew atataka ajue ukweli woteeMange mchambo wake ni heavy..huyu Beatrice Leo halali. Tehe teh
anasema tu huyu Mimi hapa namjambisha humu tu Ila wee yule bwana bulldozer ndo maana kahakikisha anamkamata kichwapanziNdugu wewe unasema hakuna anaejali usije kuomba ukaingia kwenye 18 za mange harafu akapata picha yako huwa anatoa dozi ya uwakika ndo maana unakuta wengi wanaompinga mange wanajificha kwenye fekelo Harafu kwa Tanzania page yake ndio inaongoza kwa kutembelewa na watu sasa kila mtu anaona picha yako pale ukikashifiwa inakuwa noma!
kweli??..utammudu Mange?...hayaaaahahaaa ila mange siku anifume anichambe yaani hatoamini atalog out milele
Halafu alikuwa mchakarikaji mtafuta hela na biashara as hapa na pale na alikuwa akiuza Leo hii naona hakuna tena.ataacha afanye nini?
mange hanaga akili yoyote .mtu unakaa marekani ushindwe hata kuvalisha wazee pampas upige dolar unabaki kutukana serikali mtandaoni ? yeye ni nani
kwenye wanaharakati hayupo
upinzani hayupo
yaani kabaki tu kujiua yule hana mwelekeo wa maisha tena
Halafu kweli bana alikuwa anajua kutafuta mtonyo Mara diamond forever, Cayenne rest etc., .. Asa za hivi cjui kawaje au kalogwaaa?!?Halafu alikuwa mchakarikaji mtafuta hela na biashara as hapa na pale na alikuwa akiuza Leo hii naona hakuna tena.
Mange angekuwa bongo na hivi ameachika ningefanya mchakato nimuoe ili niwe napata ubuyu kitandani kabla haujaingia kwenye media!alale wapi?halafu Mange haongeagi uongo haswaa siri za watu za anabwaga so Leo da bite mumew atataka ajue ukweli wotee
ndo akome!!!
anasema tu huyu Mimi hapa namjambisha humu tu Ila wee yule bwana bulldozer ndo maana kahakikisha anamkamata kichwapanzi
labda amroge[emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mange angekuwa bongo na hivi ameachika ningefanya mchakato nimuoe ili niwe napata ubuyu kitandani kabla haujaingia kwenye media!
Ila yule mdada Mange Kimambi ana kichambo cha kufa mtu. Yaani usiombe uingie ktk 18 zake. Ni balaa. Huko instagram kuna mdada anaitwa Beatrice Condrad amepewa kichambo heavy hadi aibu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndugu wewe unasema hakuna anaejali usije kuomba ukaingia kwenye 18 za mange harafu akapata picha yako huwa anatoa dozi ya uwakika ndo maana unakuta wengi wanaompinga mange wanajificha kwenye fekelo Harafu kwa Tanzania page yake ndio inaongoza kwa kutembelewa na watu sasa kila mtu anaona picha yako pale ukikashifiwa inakuwa noma!
Mkuu yule inatakiwa unapita kwenye page yake unapata habari mengine unamwachia mwenyewe ukijifanya unamchokonoa ndo yanakukuta kama yaliyo mkuta huyo mama!Ila yule mdada Mange Kimambi ana kichambo cha kufa mtu. Yaani usiombe uingie ktk 18 zake. Ni balaa. Huko instagram kuna mdada anaitwa Beatrice Condrad amepewa kichambo heavy hadi aibu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulokole wa mwendokasi[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Huyo Kada wa ccm ashukuru tu mange ameokoka.
Haaa haa we una vitukoo asee[emoji122] [emoji122]Mange angekuwa bongo na hivi ameachika ningefanya mchakato nimuoe ili niwe napata ubuyu kitandani kabla haujaingia kwenye media!