Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Mi kaniacha hoi pale anaposema huyo Beatrice anagawa papuchi bila condom[emoji15] [emoji15] ...kwi kwi kwi, mi nakwambia huko aliko bite, anajiharishia asee..
 
ile namba nyingine yule anamwaga siri zako hadharani!
 
Na asilogwe aje bongo huyu zama za magu ataisoma number atawekwa ndani cku anaachiwa atakua bibi bhoke, atakua kashamletea mjukuu. Naona kwa kàmpeni aliaidiwa cheo kwa ajili ya kutukana naona hawakumpa naona kawageuzia kibao.
 
Na asilogwe aje bongo huyu zama za magu ataisoma number atawekwa ndani cku anaachiwa atakua bibi bhoke, atakua kashamletea mjukuu. Naona kwa kàmpeni aliaidiwa cheo kwa ajili ya kutukana naona hawakumpa naona kawageuzia kibao.
Yule siku akirudi bongo walioumizwa watanyang'ana vipande vya nyama ya mange ka mbwa mwitu...watu wana hasira nae mbayaa
 
Maskini mi yule Beatrice namuonea hadi huruma yaani hadi Leo kaamka nae asee..kichambo anachopewa atajiona useless duniani[emoji24] [emoji31] [emoji26]
 
Hiyo mistari miwili ya mwisho nimecheka hadi nimelia..yaani yeye hapo anaona hajamchamba kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nafwaz
Haaa haaa mange ni shida huo wokovu wake ni balaa....asa Leo umeona mwendelezo? Anamwambia huyo Bite eti kavaa mchupi Mkubwa hajui hata bikini 2016[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji16] [emoji16] ...ha ha ha nimecheka hadi mbavuu zangu zinaumaaa
 
Haaa haaa mange ni shida huo wokovu wake ni balaa....asa Leo umeona mwendelezo? Anamwambia huyo Bite eti kavaa mchupi Mkubwa hajui hata bikini 2016[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji16] [emoji16] ...ha ha ha nimecheka hadi mbavuu zangu zinaumaaa
Watu wanaomchokonoa sijui huwa wanajiamini vipi aisee
 
Watu wanaomchokonoa sijui huwa wanajiamini vipi aisee
wapumbavu tu wenzao wanaokuja na I'd fake tunapenda...??
Haaa haaa mange ni shida huo wokovu wake ni balaa....asa Leo umeona mwendelezo? Anamwambia huyo Bite eti kavaa mchupi Mkubwa hajui hata bikini 2016[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji16] [emoji16] ...ha ha ha nimecheka hadi mbavuu zangu zinaumaaa
Ila kamuambia ana churrraaa nimecheka balaa
Hiyo mistari miwili ya mwisho nimecheka hadi nimelia..yaani yeye hapo anaona hajamchamba kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nafwaz
kaokoka jamani looohh
Leo asubuhi anamuambia siongei na wenye nyusi kama hizi
Maskini mi yule Beatrice namuonea hadi huruma yaani hadi Leo kaamka nae asee..kichambo anachopewa atajiona useless duniani[emoji24] [emoji31] [emoji26]
Ndo akome tena washike adabu zao mi hapa[emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3]
sina habari
 
Yaani leo nimecheka hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…