Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Aiseee umbea kipaji haswa. Huyo Mange ana Tija gani kwa Taifa hili hadi awe topic kihivyo?
 
Hahahaha kazi imeanza,jibu la mange linakuja soon ,lemutuz nae bwana anajiingiza kwa yasiyomuhusu, dozi yake soon inakuja
Heeeee..le mutuz katekenywa takoo, katokea wapi au ndo usuper friend?!?! hili lizee mbwiga tuu...walahi cku haipiti linanyooshwa na Mrs Rolex ,
 
hivi nifah unakumbuka ile ya le mutuz kula hotpot zima halafu nduki chooni anawaachia harufu nyumba nzima anaaga haachi hata mia?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wakome nao kuhangaika na mamishion town.
Le Mutuz anaonekana sio mhudumiaji yule.
 
Bado yupo nae mama mpk picha anapiga yupo kitandani kwa lemutuz downtown na location juu [emoji28][emoji28]ila watu wana moyo si kwa mwili ule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…