Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Ukipenda maisha ya juu kubali kupopolewa.Alipenda sana maisha ya ki posh spice. Sasa anaumbuka.kwa hizo picha chache nimejua kama huyu mama ni mchafu mno.pampers imezagaa,kwapa jeuuuusiii mmmh mola nistiri.maisha ya kisupanyota sitaki ng'oooo
Wewe unaongelea hizo picha za zamani?
Ungeona anazoweka katika page yake ya IG....mbona utachoka?
 
Naona instagram kumechafuka, watu wamefukunyua mpaka wamepata file lake huyu dada la kesi ya ku-dissolve marriage filed on June 6th 2016.
 
ngoja na usubiri AJE ! aje akupe yako aje ,aje akujibu aje ! aje usimkimbie ajeeeeeeee !
 
Screenshot_2016-06-24-15-50-46.png
Divorce finally
 
Kichwapanzi kiboko yake.yaani huyu kichwapanzi ni beast...yeye pekeee ndo aliyemuweza.siri zote nje.
 
Kichwapanzi kiboko yake.yaani huyu mwanamke ni beast...

Hivi hapo unakanusha nini sasa? Maana watu wamelipia kuingia hiyo website kumuumbua alisema hawezi achwa yeye ana pussy power yule mwanamke ni kuliko mwendawazimu! Sasa tuone kama atarudi Bongo au ataanza kubeba box hapa marekani, Sina sympathy na huyu mwanamke kawatukana watu Sana.
 
Hivi hapo unakanusha nini sasa? Maana watu wamelipia kuingia hiyo website kumuumbua alisema hawezi achwa yeye ana pussy power yule mwanamke ni kuliko mwendawazimu! Sasa tuone kama atarudi Bongo au ataanza kubeba box hapa marekani, Sina sympathy na huyu mwanamke kawatukana watu Sana.
Hamnakitu kibaya kama machozi ya mnyonge...yaani kawaliza watu wengi kweli.malipo hapahapa.
Kwanza box lenyewe hata hamna siku hizi, na asivyopenda kujishusha. maisha ya US lazima yampige vibao.
 
Jamani Mange nahisi in kati ya wanawake wanaoishi maisha magumu sanaaaaa duniani sema muonekano wa nje unaficha Mengi lakini moyoni amebeba Mengi..mtu wa kawaida ukikosana na mtu mmoja unakosa amani unatamani muombane msamaha yaishe ..sasa yeye anayechukiwa na watu wengi anaishi maisha gani anaombewa mpaka mabaya yamkute mwisho wake usiwe mwema..laita ingekuwa moyo unafunguka ungekuta moyo wake unalia machozi ya damu ya majutooo..
 
Jamani wanaume wa Bongo Mke huyo hahahaa! Huyu namtabiria ataishia kwa vibabu vya kizungu Hakuna mwanamme wa kitanzania anaweza oa takataka hiyo.
Hata vibabu hapati nakwambia...yaani ataishi maisha ya taabu.Hao wabongo ndo asahau.alijishau wanaume wa kibongo siwataki. ..akakimbilia wazungu...sasa wazungu wenyewe wameandika divorce.
 
Jamani Mange nahisi in kati ya wanawake wanaoishi maisha magumu sanaaaaa duniani sema muonekano wa nje unaficha Mengi lakini moyoni amebeba Mengi..mtu wa kawaida ukikosana na mtu mmoja unakosa amani unatamani muombane msamaha yaishe ..sasa yeye anayechukiwa na watu wengi anaishi maisha gani anaombewa mpaka mabaya yamkute mwisho wake usiwe mwema..laita ingekuwa moyo unafunguka ungekuta moyo wake unalia machozi ya damu ya majutooo..
Well said...
Ila kiburi ndo kinachomsumbua.watu design zake wanaishia kujinyonga tu.
 
Na alivyo hawezi jishusha ndio kwanza anakuja na list ya watu zaidi ya 50 alogombana nap, ni mtu wa aina gani huyo?? Na hapo alisahau Kama 50 wengine, how does she sleep at night honestly?? Na bado anatukana watu kila kukicha sijui hawaonei wanae huruma, maana hata yakimkuta yakumkuta hawezi jua ni nani kamfanyia.


Jamani Mange nahisi in kati ya wanawake wanaoishi maisha magumu sanaaaaa duniani sema muonekano wa nje unaficha Mengi lakini moyoni amebeba Mengi..mtu wa kawaida ukikosana na mtu mmoja unakosa amani unatamani muombane msamaha yaishe ..sasa yeye anayechukiwa na watu wengi anaishi maisha gani anaombewa mpaka mabaya yamkute mwisho wake usiwe mwema..laita ingekuwa moyo unafunguka ungekuta moyo wake unalia machozi ya damu ya majutooo..
 
Back
Top Bottom