Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Ila Mange ana mashauzi asee...hivi kuzaa na mzungu tule tutoto tuwili anajiona top of top...masikini mi namuoneaga huruma tu huyo Bhoke utadhani sio mwanae, yaani kageuka unemployed photographer!?![emoji15] [emoji15] [emoji15]
Bhoke hiyo siku aligomaaaa [emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaje?
Eti alivyogoma kumpiga picha akamuambia "I won't buy you stuffs anymore "
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu tuwe wa kweli nyie wadada , hivi kwa id zenu za ukweli na picha zenu halisi kuna anayeweza kuchambana na Mange pale insta? ...bado nampa mange maksi maana anatumia account halisi na bado anawatoa watu nishai balaa!! .....
Kwahyo ulikua unatakaje ata ww tunaweza kukuchamba ukatoka bila kuaga
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji8] [emoji8] [emoji8]

ngoja namie niende

nimekugawanya

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

nimeonaaa

kiboko ya mange

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji15]



yaaani!siwawesi

mmhhhh!!
[emoji8][emoji8]
 
....mafans wake Leo wamempa live kuwa wanamunfollow, coz walikuwa wanafurika kwa ajili ya udaku tu, asa Leo anaambulia vicomment 20- 25... Yaani ni no mvutoo asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee?Atajutraaa anafikiri ni wote wanaopenda mashauzi yake?
 
Ile video ya mashauzi library vepeeee?
Eti wanaargue wanajirekodi wanaweka Insta...
Mange ni kichaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikuja mwenzangu!
duuuhh!pole mange si mvumilivu hata kidogo!!
Hebu tuwe wa kweli nyie wadada , hivi kwa id zenu za ukweli na picha zenu halisi kuna anayeweza kuchambana na Mange pale insta? ...bado nampa mange maksi maana anatumia account halisi na bado anawatoa watu nishai balaa!! .....
hahaaa!poleee!!
Mbele ya chips mbuzi acha tu nife.
Umemuona huyo kilaz.a anayetaka kutuharibia mood hapa?
Hebu mie nitarudi baadae.
mmmmhhh!!
 
Bhoke hiyo siku aligomaaaa [emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaje?
Eti alivyogoma kumpiga picha akamuambia "I won't buy you stuffs anymore "
[emoji23][emoji23][emoji23]
Haaa haaa ....yani mange hanaga behind the scene!....afu nifah ujue yale mashauzi ya library siku ile ulikuwa ni mpango? Sema yule Bhoke anajielewa afu ni mpole maskini, na inaonesha hapendi midrama ya bi Mkubwa sema atafanyaje na Los Angeles anaipenda[emoji23] [emoji23] [emoji23] ... Chezea kurudishwa kwa Frank Gonga Kinondoni...
 
Haaa haaa ....yani mange hanaga behind the scene!....afu nifah ujue yale mashauzi ya library siku ile ulikuwa ni mpango? Sema yule Bhoke anajielewa afu ni mpole maskini, na inaonesha hapendi midrama ya bi Mkubwa sema atafanyaje na Los Angeles anaipenda[emoji23] [emoji23] [emoji23] ... Chezea kurudishwa kwa Frank Gonga Kinondoni...
Ndio ni mpango ule. Eti wanabishana huku wanajirekodi,yani nilichekaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Nyie naona Mange huwa anaumiza kichwa sana akiwaza apost nini Insta.
Ndio maana anafanya mambo kama kichaa.
 
Ndio ni mpango ule. Eti wanabishana huku wanajirekodi,yani nilichekaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Nyie naona Mange huwa anaumiza kichwa sana akiwaza apost nini Insta.
Ndio maana anafanya mambo kama kichaa.
tatizo hajakubaliana na hali!!anataka kuonekana bado yuko juu!kumbe [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
tatizo hajakubaliana na hali!!anataka kuonekana bado yuko juu!kumbe [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Yeah,tatizo ndio hilo.
BTW Leo kasema kauaga umasikini na umbea,tusubiri mashauzi.

Kwaherini wambea wenzangu,nalala mie.
 
Weee! ....hivi mange angepata bwana mwenye vidola vya kubadilisha mboga na wigi si tungejiharishia?!?!....apate bwana mwenye hela amfiche fiche hivoo looh! Hilo danga lake hata gari halina[emoji593][emoji777] ....sema kapata wassup ma men, pale hamna kitu trust me, na kamwe hatamwonesha huyo Rolex, mwaja niambia[emoji87]
 
....Mr.Rolex kamwe hataermege in public, y?..so simple answer ili cku hata Mangenita akimwagwa msijue coz hatumjui, ataendelea na mashauzi yake atamwita hata mwanaume yeyote amrecord then aturushe roho insta atwambie my Bae Rolex kumbe kamwagwa zamani...hapana chezea kile kichwa.
 
....Mr.Rolex kamwe hataermege in public, y?..so simple answer ili cku hata Mangenita akimwagwa msijue coz hatumjui, ataendelea na mashauzi yake atamwita hata mwanaume yeyote amrecord then aturushe roho insta atwambie my Bae Rolex kumbe kamwagwa zamani...hapana chezea kile kichwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una akiliiiii
Kweli naona hii ndio trick ya Mange sasa hivi.
Atadate nao hata 10,tutajuaje?

Period
 
Back
Top Bottom