Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

hivi ule ni mwili gani simsomagi yule jamaa
Ila anachapaaaa acha anaitwa boss mtto mwenzangu kwa mwili ule ata kama ana mihela ntakula nae tu kuliko mwili wa lemutuz unajambiwa jambiwa ata 100 hupat na mahotpots juu ya misosomoro unampikia [emoji28][emoji28]
 
Ila anachapaaaa acha anaitwa boss mtto mwenzangu kwa mwili ule ata kama ana mihela ntakula nae tu kuliko mwili wa lemutuz unajambiwa jambiwa ata 100 hupat na mahotpots juu ya misosomoro unampikia [emoji28][emoji28]
ila sipati picha ya vibamia kwa hao jamaa
si waende gym?
 
Ila anachapaaaa acha anaitwa boss mtto mwenzangu kwa mwili ule ata kama ana mihela ntakula nae tu kuliko mwili wa lemutuz unajambiwa jambiwa ata 100 hupat na mahotpots juu ya misosomoro unampikia [emoji28][emoji28]
wewe,le mutuz ana radio na tv ukiondoa kwa sasa yeye ndio promoter wa events zilizoshiba bongo
 
Au we ndo nasra international shoga amekudanganya hivyo [emoji28][emoji28]hizo radio na tv za davis mosha ye ana hisa asilimia moja sijui
Personality ya Le mutuz ndio itazifanya hizi station zichanganye na sio huyo Mosha-hapo nadhani umenielewa-hiyo asilimia moja inaweza geuka 50 overnight
 
Duh, huyu Mange bado anaendeleza vituko? Atulie kwa heshima ya wanae jamani. Huwezi jua wakikua watachukulia hizi beef kama upumbavu au ushupavu kutegemeana na personalities zao.

Assume mmoja wapo atake kugombea au kuongoza high office pahala, security clearance inagusa hadi wazazi.

More popcorn please....
Mange itabidi yeye na wanae maisha yao yote yaishie Marekani.
Kwa ayafanyayo ni ngumu kufanya chochote bongo hii sio yeye wala wanae.

Ni nani ambaye hajaguswa na mdomo mchafu wa Mange?
Katukana hadi wenye nchi yao,huyo atakuwa na maisha gani?
 
Kakamatwa kwa kosa gani? Mambo mengine kujipalia mkaa wa moto jamani. Mange hii move inaweza kuback fire ikamtia ndani vile. Any way, who am I to judge.
Natamani huyo Emma awe sio KP amfungulie mashtaka ya kudhalilishwa.
Ila akiwa yeye aiseee itakuwa mbaya sana.
Kiongozi wetu wa jeshi la Anti-Mange kukamatwa ni zaidi ya msiba [emoji24][emoji24][emoji24]
 
kapoa siku hizi nasikia

ndio maana kamtafuta mpk kampata

ndo yy KP kakamatwa
Inawezekana ikawa sio kwn nakumbuka kuna kipindi alidai pia kuwa amemkamata na kesi iko polisi, kipindi hicho alidai ni Safina, lkn bado kp aliendelea.

Lkn pia kama kesi ipo polisi huko Finland kwnn kila mara anataka watu wajue kuhusiana na hy kesi as if yy ndo hakimu?

Ngoja tuone but ni mapema sana kuhitimisha kuwa yule Emma ndiye kp
 
Back
Top Bottom