Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji28][emoji28]Nahisi huu uzi kichwapanzi katia timu......ukienda ikirudi unaendelea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28]Nahisi huu uzi kichwapanzi katia timu......ukienda ikirudi unaendelea tu
Ila anachapaaaa acha anaitwa boss mtto mwenzangu kwa mwili ule ata kama ana mihela ntakula nae tu kuliko mwili wa lemutuz unajambiwa jambiwa ata 100 hupat na mahotpots juu ya misosomoro unampikia [emoji28][emoji28]hivi ule ni mwili gani simsomagi yule jamaa
kixchwapanzi kajaa tele sio lazima apost kila saaKichwa panzi kakamatwa mamaaa!!anasubiri mashtaka huko Finland
Si bado hajaenda mahakamani au kashawekwa ndani hivi ni kweli kichwapanzi ndo uyo emma anaemsema mangeKichwa panzi kakamatwa mamaaa!!anasubiri mashtaka huko Finland
ila sipati picha ya vibamia kwa hao jamaaIla anachapaaaa acha anaitwa boss mtto mwenzangu kwa mwili ule ata kama ana mihela ntakula nae tu kuliko mwili wa lemutuz unajambiwa jambiwa ata 100 hupat na mahotpots juu ya misosomoro unampikia [emoji28][emoji28]
The king of all bongo sociall network [emoji28][emoji28]Jamani le mutuzi Ni mtu Wa aina gani mbona kila Kona nakutana Na matusi yake tu?
tunasubiri maana kwa maelezo ya mange wameandika statementsSi bado hajaenda mahakamani au kashawekwa ndani hivi ni kweli kichwapanzi ndo uyo emma anaemsema mange
hivi unamuamini mange ? emma angekuwa kp mange asingeacha kumuandika kila sikuSi bado hajaenda mahakamani au kashawekwa ndani hivi ni kweli kichwapanzi ndo uyo emma anaemsema mange
wewe,le mutuz ana radio na tv ukiondoa kwa sasa yeye ndio promoter wa events zilizoshiba bongoIla anachapaaaa acha anaitwa boss mtto mwenzangu kwa mwili ule ata kama ana mihela ntakula nae tu kuliko mwili wa lemutuz unajambiwa jambiwa ata 100 hupat na mahotpots juu ya misosomoro unampikia [emoji28][emoji28]
Vibamia haihusu miss sbbu ana hela na anil anaupenda sana mwili wakeila sipati picha ya vibamia kwa hao jamaa
si waende gym?
Ngoja tuonehivi unamuamini mange ? emma angekuwa kp mange asingeacha kumuandika kila siku
Au we ndo nasra international shoga amekudanganya hivyo [emoji28][emoji28]hizo radio na tv za davis mosha ye ana hisa asilimia moja sijuiwewe,le mutuz ana radio na tv ukiondoa kwa sasa yeye ndio promoter wa events zilizoshiba bongo
Personality ya Le mutuz ndio itazifanya hizi station zichanganye na sio huyo Mosha-hapo nadhani umenielewa-hiyo asilimia moja inaweza geuka 50 overnightAu we ndo nasra international shoga amekudanganya hivyo [emoji28][emoji28]hizo radio na tv za davis mosha ye ana hisa asilimia moja sijui
Ngoja tuone japo hata mie sitaki akamatwa maana Mange atajiona Mungu mtuHivi gen una uhakika gani jamani na hayo uyasemayo?
Mimi bado siamini kama KP kakamatwa.
Mange itabidi yeye na wanae maisha yao yote yaishie Marekani.Duh, huyu Mange bado anaendeleza vituko? Atulie kwa heshima ya wanae jamani. Huwezi jua wakikua watachukulia hizi beef kama upumbavu au ushupavu kutegemeana na personalities zao.
Assume mmoja wapo atake kugombea au kuongoza high office pahala, security clearance inagusa hadi wazazi.
More popcorn please....
kakamatwa kivipi mbona yupo daily?Hivi gen una uhakika gani jamani na hayo uyasemayo?
Mimi bado siamini kama KP kakamatwa.
Natamani huyo Emma awe sio KP amfungulie mashtaka ya kudhalilishwa.Kakamatwa kwa kosa gani? Mambo mengine kujipalia mkaa wa moto jamani. Mange hii move inaweza kuback fire ikamtia ndani vile. Any way, who am I to judge.
Inawezekana ikawa sio kwn nakumbuka kuna kipindi alidai pia kuwa amemkamata na kesi iko polisi, kipindi hicho alidai ni Safina, lkn bado kp aliendelea.kapoa siku hizi nasikia
ndio maana kamtafuta mpk kampata
ndo yy KP kakamatwa