Taliban hawana pesa ya kuendesha Serikali

Taliban hawana pesa ya kuendesha Serikali

Wewe hata kama ni kafiri lakini usibezi upande mmoja,,, unajuwa fiika ni propaganda za mabeberu, unajuwa fiika marekani ndiye sababu yakuvuruga amani nchi za kiisilamu,,,,,, lakini mnajitoa ufahamu, na chuki imewajaa moyoni mnatamani waisilamu kote duniani waangamizwe mubaki ninyi tu,,,,hilo musahau [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]


Kuna baadhi ya wakristo wanajitambua, nawanachukizwa na vitendo vya westerns + Israel dhid ya islamic state na baadhi yanchi za kiafrika. Wabarikiwe.
Hizo dini zote ni mapokeo mmesahu mila na destur za kwenu mmebaki mnaita waafrika wenzenu makafiri [emoji22][emoji22],huu ni msiba
 
Taliban na mbwembwe zote zile Sasa hv wanamlilia Tena US awasaidie kuendesha nchi. Saudia kanyuti Kama hawajui

=======

Taliban took Afghanistan but face cash squeeze​

View attachment 1934407

By JOSH BOAK

WASHINGTON (AP) — The Taliban face a frontal challenge in cementing control of Afghanistan: Money.

Despite their dominant military blitz over the past week, the Taliban lack access to billions of dollars from their central bank and the International Monetary Fund that would keep the country running during a turbulent shakeup. Those funds are largely controlled by the U.S. and international institutions, a possible leverage point as tense evacuations proceed from the airport in the capital of Kabul. Tens of thousands of people remain to be evacuated ahead of the United States’ Aug. 31 deadline to withdraw its troops from the country.

But the Taliban also do not currently have institutional structures to receive the money — a sign of the challenges it might confront as it tries to govern an economy that has urbanized and tripled in size since they were last in power two decades ago. The shortfall could lead to an economic crisis that would only fuel a deeper humanitarian one for the roughly 36 million Afghans expected to stay in the country.

“If they don’t have jobs, they don’t get fed,” said Anthony Cordesman, who advised the U.S. government on Afghan strategy and works at the Center for Strategic and International Studies. “The Taliban has to find an answer.”

The stranded funds are one of the few potential sources of pressure that the U.S. government has over the Taliban. But Cordesman added, “To have a pressure point, you have to be willing to negotiate in ways the Taliban can accept.”

As of now, the Taliban government cannot access almost all of the Afghanistan central bank’s $9 billion in reserves, most of which is held by the New York Federal Reserve. Afghanistan was also slated to access about $450 million on Aug. 23 from the International Monetary Fund, which has effectively blocked the release because of a “lack of clarity” regarding the recognition of a new Afghan government.

While the money would make it easier for the Taliban to govern, government officials have indicated that it’s unclear who would be the points of contact within Afghanistan on financial issues. President Joe Biden conceded that he doesn’t know whether the Taliban want to be part of the broader global economy — which means it might be comfortable going without any funds.

“I think they’re going through sort of an existential crisis about do they want to be recognized by the international community as being a legitimate government,” Biden told ABC News Wednesday. “I’m not sure they do.”

Even if the Taliban could get money from the IMF, Douglas Rediker, a fellow at the Brookings Institution, said the process “would take, I think, months at the earliest, if at all.” But he also anticipates that the United States would find a way to block the release of any money through the IMF system.

“The U.S. still retains a lot of political heft in the global, political and economic systems to twist some arms,” Rediker said. “The Taliban are not going to be popular.”

When the Taliban last ran Afghanistan two decades ago, the average Afghan survived on less than a dollar a day. Per capita gross domestic product has increased nearly three-fold during the war, according to the World Bank. Afghanistan gained mobile phones, Coca-Cola and Airbnb listings — all of which need access to global economic institutions. The war effort also left the country highly dependent on trade with imports of $8 billion annually, almost 10 times more than what was being exported.

The extent of the problem could be seen at the shuttered Afghan money exchange market. Currency trading stopped Sunday when the Taliban took control of Kabul. Without the ability to exchange or the backing of dollars flowing into the country, the value of the Afghan currency could collapse, inflation could accelerate and the mix of violence and chaos could be prolonged.

Aminullah Amin, a currency changer, said Friday there are concerns about looters and the structure of the new government. That sense of insecurity felt by Afghans would flow through the economy like a virus.

“We have not decided to reopen the markets yet.” said Amin, who witnessed the looting of a district police headquarters in northern Kabul after the seizure of the capital by the Taliban.

Taliban spokesman Zabihullah Mujahid on Thursday reaffirmed that the group wants good relations with other countries and will not allow Afghanistan to be a base for attacks. But he said the Taliban would not tolerate any threat to “our principles and our independence.”

Laurel Miller, director of the Asia program at the Crisis Group, an international think tank, said Afghanistan remains “a very poor country suffering a complex set of humanitarian issues and challenges.”

The Taliban still have access to revenue streams that sustained the insurgency, but that won’t be enough for a centralized government that can assert fuller control on the country. The movement has to balance its image globally with maintaining support among their own rank-and-file, the ultraconservative Muslim fighters who brought them to power.

“There are reasons to think that when push comes to shove the internal dimensions of this are going to be prioritized over the external dimensions,” Miller said.

The Taliban could have more success with other nations eager to project influence in the region. China wants stability in Afghanistan and also maintains close relations with neighboring Pakistan, which itself has long worked to shape events there. A 2010 U.S.
government report estimated that Afghanistan contained about $1 trillion worth of metals and minerals, including lithium and rare earths that are valuable in an increasingly computerized world.

“I think a real question mark in the financial picture is what is China going to do,” Miller said.

Source: AP
Ndio maana nawaambia watu siku zote Marekani sio nchi yakuchezea labda tu niwaambie hapa Tz siku mmarekani ataacha toa mabilion yake kwenye secta ya Afya take my words watu watakufa kama wamepata ugonjwa wa mdondo. Mfano tu doz ya ARV kwa mgonjwa mmoja it cost up to usd 4600 na kwa taarifa tu ninkwa msaada wa serikali ya marekani aka mabeberu. Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi maana sisi ni matajiri ila bado misaada tuna itaka kama haki yetu... That is why i say always this nation need genius not bulidoza... End
 
Tafadhali naomba urejee hilo lililoandikwa kwenye hiko kimoja kuhusu kuchinja wasiomuamini mungu wao, nna nia ya kufahamu na mimi...
Screenshot_20210912-135313.png
 
Hiyo misahafu wanasoma wao tu?

Unaonaje ukifutika wewe kama kero imekua nzito sana kwako?
Kero Wala sio nzito kwangu maana kibongobongo (ukitoa wachoma makanisa,uamsho,Hamza,Kibiti,alshabab mtwara) hawasumbui sana...Kero kubwa IPO huko wanakosumbua hata nchi zao wenyewe Ni Kero Tu...we hujaiona clip watu wanazikimbia Hizo Kero wako radhi warukie ndege Kwa nje?
 
Lazima alikuwepo. Kwani mtume wa waislamu aliwaambia wavae mabomu wajiripue?
Mtaje.
Mtume wa waislam hakutaja mabom kwasababu hayakuwepo lakin kupitia Quran alisema waislam watumie silaha yoyote Na wahakikishe wanapata silaha kubwakubwa ili wamwage damu vizuri
 
Kero Wala sio nzito kwangu maana kibongobongo (ukitoa wachoma makanisa,uamsho,Hamza,Kibiti,alshabab mtwara) hawasumbui sana...Kero kubwa IPO huko wanakosumbua hata nchi zao wenyewe Ni Kero Tu...we hujaiona clip watu wanazikimbia Hizo Kero wako radhi warukie ndege Kwa nje?
Huruma yako ni njema utawasaidiaje sasa au ulitakaje labda
 
Tulia mzee, kwanza hiyo source imekaa ki US sanaaa, mkanda haujaanza mbona we tulia ucheki muvi. Dunia hii kuna watu wanatucontrol kama ving'amuzi vya DSTV.
 
Huruma yako ni njema utawasaidiaje sasa au ulitakaje labda
Mambo ya kufanya Ni mengi..ukiona mwenzako ananyooewa zako Tia maji....nachofanya/unachotakiwa kufanya Ni Donate /hamasisha watu wadonate kusaidia wakimbizi/au watu wanaoonewa/kukandamizwa Hizo nchi....Na pambana Hizo ideology zisifike bongo Na Kuwa mainstream Kwa kuwafanya vijana wawe aware na yanayoendelea duniani Na kukemea upotoshaji/propaganda ambazo hii Dini inafanya kuwatetea ISIS, Taliban,Al Shabaab,Boko Haram and the likes
 
Taliban na mbwembwe zote zile Sasa hv wanamlilia Tena US awasaidie kuendesha nchi. Saudia kanyuti Kama hawajui

=======

Taliban took Afghanistan but face cash squeeze​

View attachment 1934407

By JOSH BOAK

WASHINGTON (AP) — The Taliban face a frontal challenge in cementing control of Afghanistan: Money.

Despite their dominant military blitz over the past week, the Taliban lack access to billions of dollars from their central bank and the International Monetary Fund that would keep the country running during a turbulent shakeup. Those funds are largely controlled by the U.S. and international institutions, a possible leverage point as tense evacuations proceed from the airport in the capital of Kabul. Tens of thousands of people remain to be evacuated ahead of the United States’ Aug. 31 deadline to withdraw its troops from the country.

But the Taliban also do not currently have institutional structures to receive the money — a sign of the challenges it might confront as it tries to govern an economy that has urbanized and tripled in size since they were last in power two decades ago. The shortfall could lead to an economic crisis that would only fuel a deeper humanitarian one for the roughly 36 million Afghans expected to stay in the country.

“If they don’t have jobs, they don’t get fed,” said Anthony Cordesman, who advised the U.S. government on Afghan strategy and works at the Center for Strategic and International Studies. “The Taliban has to find an answer.”

The stranded funds are one of the few potential sources of pressure that the U.S. government has over the Taliban. But Cordesman added, “To have a pressure point, you have to be willing to negotiate in ways the Taliban can accept.”

As of now, the Taliban government cannot access almost all of the Afghanistan central bank’s $9 billion in reserves, most of which is held by the New York Federal Reserve. Afghanistan was also slated to access about $450 million on Aug. 23 from the International Monetary Fund, which has effectively blocked the release because of a “lack of clarity” regarding the recognition of a new Afghan government.

While the money would make it easier for the Taliban to govern, government officials have indicated that it’s unclear who would be the points of contact within Afghanistan on financial issues. President Joe Biden conceded that he doesn’t know whether the Taliban want to be part of the broader global economy — which means it might be comfortable going without any funds.

“I think they’re going through sort of an existential crisis about do they want to be recognized by the international community as being a legitimate government,” Biden told ABC News Wednesday. “I’m not sure they do.”

Even if the Taliban could get money from the IMF, Douglas Rediker, a fellow at the Brookings Institution, said the process “would take, I think, months at the earliest, if at all.” But he also anticipates that the United States would find a way to block the release of any money through the IMF system.

“The U.S. still retains a lot of political heft in the global, political and economic systems to twist some arms,” Rediker said. “The Taliban are not going to be popular.”

When the Taliban last ran Afghanistan two decades ago, the average Afghan survived on less than a dollar a day. Per capita gross domestic product has increased nearly three-fold during the war, according to the World Bank. Afghanistan gained mobile phones, Coca-Cola and Airbnb listings — all of which need access to global economic institutions. The war effort also left the country highly dependent on trade with imports of $8 billion annually, almost 10 times more than what was being exported.

The extent of the problem could be seen at the shuttered Afghan money exchange market. Currency trading stopped Sunday when the Taliban took control of Kabul. Without the ability to exchange or the backing of dollars flowing into the country, the value of the Afghan currency could collapse, inflation could accelerate and the mix of violence and chaos could be prolonged.

Aminullah Amin, a currency changer, said Friday there are concerns about looters and the structure of the new government. That sense of insecurity felt by Afghans would flow through the economy like a virus.

“We have not decided to reopen the markets yet.” said Amin, who witnessed the looting of a district police headquarters in northern Kabul after the seizure of the capital by the Taliban.

Taliban spokesman Zabihullah Mujahid on Thursday reaffirmed that the group wants good relations with other countries and will not allow Afghanistan to be a base for attacks. But he said the Taliban would not tolerate any threat to “our principles and our independence.”

Laurel Miller, director of the Asia program at the Crisis Group, an international think tank, said Afghanistan remains “a very poor country suffering a complex set of humanitarian issues and challenges.”

The Taliban still have access to revenue streams that sustained the insurgency, but that won’t be enough for a centralized government that can assert fuller control on the country. The movement has to balance its image globally with maintaining support among their own rank-and-file, the ultraconservative Muslim fighters who brought them to power.

“There are reasons to think that when push comes to shove the internal dimensions of this are going to be prioritized over the external dimensions,” Miller said.

The Taliban could have more success with other nations eager to project influence in the region. China wants stability in Afghanistan and also maintains close relations with neighboring Pakistan, which itself has long worked to shape events there. A 2010 U.S.
government report estimated that Afghanistan contained about $1 trillion worth of metals and minerals, including lithium and rare earths that are valuable in an increasingly computerized world.

“I think a real question mark in the financial picture is what is China going to do,” Miller said.

Source: AP
Wauze bangi na opium kwani miaka yote walikuwa wanaendeshaje
 
Hii nchi inaonekana imekuwa ikitegemea zaidi misaada kutoka kwa mataifa ya magharibi, sasa kwa kuwa wameondoka ghafla hawa Taliban hawana njia mbadala.

Na kwa kuzingatia kwamba pesa zao nyingi zimezuiliwa nje hawana namna itabidi wawapigie wamarekani magoli maanake hawana ujanja.
 
Hizo dini zote ni mapokeo mmesahu mila na destur za kwenu mmebaki mnaita waafrika wenzenu makafiri [emoji22][emoji22],huu ni msiba

Maana ya 'kafiri' ni kila asiekuwa Muislamu. Kama kuna mtu anakereka na kukwazika kwa kuitwa kafiri, njia ya kuepukana na hilo awe Muislamu
 
Kiongozi unaamini hawa wapuuzi wataweza kendesha uchumi wa nchi?

Kwanini uwaite wapuuzi, wamekukosea nini mkuu. Wamekanyaga ardhi yako kukupiga au kuiba madini!!!! Na kwanini washindwe kuendesha uchumi, sema wameikuta nchi katika hali mbaya ya kiuchumi,,,,ili irudi kwenye hali yake lazima wapate sapoti kutoka nchi za kiarabu,,,,na naamini arab countries zitawasapoti. Nchi ilikuwa kwenye vita 20 years chini ya mmarekani, ujerumany n.k na vibaraka wake waliowapachika na kuiacha nchi ikiwa imechoka, so unategemea uchumi utapanda kwa haraka ivyo!!!!
 
Silaha ni fedha chafu ya mihadarati waliikuwa wanafanya
Taleban kwani nani alikuwa anawapa silaha? Wanasupport Iran [emoji1130], Russia [emoji635] na China [emoji630]......na hao Arab's countries zinazo jificha ficha
 
Mtaje.
Mtume wa waislam hakutaja mabom kwasababu hayakuwepo lakin kupitia Quran alisema waislam watumie silaha yoyote Na wahakikishe wanapata silaha kubwakubwa ili wamwage damu vizuri
Una hakika na unayoyasema au umekaririsha aya moja ukaiongezea tafsiri unayopenda mwenyewe? Kufanya tafsiri ya Qurani ni kwamba unatakiwa uelewe context ya hiyo aya, na pengine huwa imeunganishwa na aya zilizoko kwenye sura nyingine ili kuleta maana kamili. Sasa nyinyi wenzetu huwa munafanyiwa 'quote' ya aya moja halafu na tafsiri ndiyo munakuja kuleta maneno mengi hapa.
 
Hjanielewa, nasema rejea kwenye quran, tena iwe ya swahili iwe manufaa kwa kila mtu, surah ipi? rejea hapa mkuu... tukisoma tukaelewa tuje tu confirm kile ulichokisema uislamu umeamrisha wafuasi wake waingie barabaran kuchinja wasiomuamini Mungu wao wewe mahakamani unafeli vibaya sana kwa uwezo wako wa kujenga hoja...


acha janja janja... msiwe mnasikia story za kwenye gahawa... ukiambiwa kuleta ushahidi unaanza ku google... weka mind free kujifunza na kutafakari na sio kupinga tu hoja kisa uonekane mshindi haliyakuwa upo wrong...
 
Hela watoe wapi, labda mwarabu wa juu kule wawape booster ila nao pia watachoka tu. Sasa hapo ndipo mzungu anapojichekea moyoni kwani anajua tu lazma kuna mtu atakubali masharti yake bila hivyo awe mpenzi mtazamaji
 
Back
Top Bottom