Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

Yes, muislam ndugu yake ni muislam ila sio MUARABU, usituchanganyie habari kama wote ni Watoto hapa.

Uislam ni Uislam na uarabu ni uarabu, ndio maana huwezi kukuta au kama wapo basi ni ⅒ ya hao unaowaabudu wamezaa na Waafrika.

Kama mnashindwa hata kuoana na kuzailiana na hao unaowaita Ndugu, huo Uislam na undugu unaingiaje hapo?

Mbona wapo Waarabu wakristo pia? Sijawahi kujua kuwa una akili ndogo kiasi hiki Rafiki
 
Upo huru na mawazo yako. "depression" yangu mimi uumie wewe? Sasa jifikiria ni nani hapo mwenhye "depression"?

Tena hiyo yako ni "anxiety depression". Waswahili wanasema "nyani haoni kundule".

Pole sana. Anza kusali kwa kusujudu kama Yessu alivyosali..
 
we bi faiza hivyo vifaa walipewa na wamarekani ili kuja kuchapana na IRANI adui wa ISRAEL sio kwamba waliteka uongo mtupu .....wewe marekani akuachie uteke vifaa vyote hivo alafu bado vipyaa ishiiiiii...
 
hakoo kabibi kameziba maskio hakatakuelewaa.....
 
we bi faiza hivyo vifaa walipewa na wamarekani ili kuja kuchapana na IRANI adui wa ISRAEL sio kwamba waliteka uongo mtupu .....wewe marekani akuachie uteke vifaa vyote hivo alafu bado vipyaa ishiiiiii...
hawakupewa wewe, jionee walivyokuwa wnaviharibu ili Taliban, wasiweze kuviumia. Hivyo bvimetekwa wewe, serikali nzima iliyopandikizwa na Marekani imetoka nduki. Jionee:



Ndiyo vya kupewa hivyo?

Vijana mpo finyu na "general knowledge", dunia kiganjani lakini naona vijana wengi sana wa Ktanzania ipo kwenye masaburi.
 
Hahahaahahahah Faiza hebu relax, twende Mdogo mdogo, najua hujapona bado baada ya John Magufuli kukutenda, Bado uko Kwa Panic Mode.

Mimi sijawahi kuwa Mtumwa wa Dini yoyote, ndio maana huwezi kukuta kwenye andiko langu nikiponda Imani ya MTU. Mimi ni MTU huru kifikra.

Unalo la kujifunza
 
Magufuli usimsingizie kitu, hajanitenda lolote. Namshukuru Mungu, kmchukuwa katuwachia Mama Samia.

Wewe tafadhali jibu mada, kama huna cha kujibu, wachana na mimi.

Una dini, huna dini, hayo nimajaaliwa ya kila mtu duniani. I don't give a damn.
 
Magufuli usimsingizie kitu, hajanitenda lolote. Namshukuru Mungu, kmchukuwa katuwachia Mama Samia.

Wewe tafadhali jibu mada, kama huna cha kujibu, wachana na mimi.

Una dini, huna dini, hayo nimajaaliwa ya kila mtu duniani. I don't give a damn.
Wewe siwachani na wewe ni bampa Kwa bampa, ulikimbia jukwaa, ulikimbia kwakua hukua msafi, kwahio huna Chochote Cha kusema ukaaminika tena. Niko paleeeee nimekaa.

Halafu hebu relax, relax, relax huu mchezo hautaki hasira, usipaniki! Narudia usichanganye uarabu na Uislam. Sisi sio wajukuu zako wakutudanganya!
 
wewe mama udini umekujaa hadi kwenye makalio
 
Kwa hiyo kati ya yemen na saudi nani kafir?
 
Taliban wameiosha dunia kuwa USA na washirika wake wa NATO si lolote si chpochote linapokuja suala la kupambana uso kwa uso.

Wao wana uwezo wa kutuma mambomu kwa mbali tu, Afghanista wakaionesha dunia kuwa jichimbieni chini, wapige weeee, wakiona kimya lazima waje kutazama tuewamaliza wangapi, wakija mnajitokeza mnawafyeka wao.

Ndicho kilichpofanyika Ghaza na ndicho kinafanyika sasa hivi Iraq.
 
Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Ukweli umedhihirika, sasa dunia inabadilika.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa kweli wamependeza na historia iliyoandikwa na kutangazwa kila mwenye akili amejionea mwenyewe jinsi haki isivyoweza kukanyagwa.
Tufani la Alaqsa linaelekea kutoa ushahidi kama huo huko Palestina.
 
Mtanzania mwenzio katekwa ww unaona sw tu , mtu mweusi alinyimwa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…