Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

Upo wromg kabisa. Kitu unachoshindwa kukielewa ni mafunzo ya Uislam.


Waulize Waislam wanaposema Muislam ndugu yake Muislam wanamaanisha nini?

Au muulize Nyerere, alipata api mafunzo ya kusema Watanzania tusiitane,Mr., boss, tuitane "ndugu".

Afghanistan Hoyee.
Yes, muislam ndugu yake ni muislam ila sio MUARABU, usituchanganyie habari kama wote ni Watoto hapa.

Uislam ni Uislam na uarabu ni uarabu, ndio maana huwezi kukuta au kama wapo basi ni ⅒ ya hao unaowaabudu wamezaa na Waafrika.

Kama mnashindwa hata kuoana na kuzailiana na hao unaowaita Ndugu, huo Uislam na undugu unaingiaje hapo?

Mbona wapo Waarabu wakristo pia? Sijawahi kujua kuwa una akili ndogo kiasi hiki Rafiki
 
Nakuzungumzia wewe sizungumzii nchi yoyote, una depression kubwa sana Rafiki.

Ukiona Kila mara MTU anazungumzia au Kila kitu anajitambulisha Kwa social status yake ujue ana tatizo!

Wewe ni mtanzania Wala sio Msaudi, hizo ni Dini za watu, wewe ni muabudu sanamu na miti na mawe tu. Acha ushabiki maandazi
Upo huru na mawazo yako. "depression" yangu mimi uumie wewe? Sasa jifikiria ni nani hapo mwenhye "depression"?

Tena hiyo yako ni "anxiety depression". Waswahili wanasema "nyani haoni kundule".

Pole sana. Anza kusali kwa kusujudu kama Yessu alivyosali..
 
Upo huru na mawazo yako. "depression" yangu mimi uumie wewe? Sasa jifikiria ni nani hapo mwenhye "depression"?

Tena hiyo yako ni "anxiety depression". Waswahili wanasema "nyani haoni kundule".

Pole sana. Anza kusali kwa kusujudu kama Yessu alivyosali..
we bi faiza hivyo vifaa walipewa na wamarekani ili kuja kuchapana na IRANI adui wa ISRAEL sio kwamba waliteka uongo mtupu .....wewe marekani akuachie uteke vifaa vyote hivo alafu bado vipyaa ishiiiiii...
 
Magaidi, ugaidi na hao wote mlioaminishwa ni maadui kupitia MEDIA na propaganda zote hizo ni njama tu za kijinga za kudanganya ulimwengu na hizo zote ni deals+projects za watu.

Hao wataliban pamoja na magenge yote yanayojulikana kupingana na USA mala nyingi huwa ni projects zao wenyewe wanazofanya zinazowapa faida za kisiasa, kiuchumi na kipropaganda.

Wazungu sio wajinga waondoke wawaachie siraha na kila aina ya dhana za kivita eti kisa kuwakimbia raia ambao wangeweza kuwasambaratisha kwa Fast jet moja isiyo na ruban[emoji23].

Huwa nashangaa sana kuona eti kakundi kadogo ka watu wanaosemekana ni magaidi ambayo hayawezi hata kuunda SMG zaidi ya kupora au kuhongwa na wafadhiri et wayasumbue mataifa yenye nguvu ambayo ndiyo wazalishaji wa siraha, mbinu za kivita, dhana za kukinga mashambulizi ya siraha za kivita, technolojia ya ndege hatari zinazokwenda kwa kasi zaidi ya kasi ya sauti na ufanisi mkubwa wa mashambulizi, matumizi ya siraha zisizozuilika kiurahisi na zenye kasi kubwa(hypersonic missile), matumizi ya Radar na satellite kudetect vifaa vya maadui na siraha zao, pia location za maadui.

Hayo yote yanawezekana kuwafuta hao wanaosemekana ni magaidi kwa muda mfupi tu kama wanavyofanya huko Ukraine wanakotuonesha ufanisi wa siraha zao.

Jiulize hizo siraha zitumikazo Ukraine ushawai ziona zikitumika kupambana na hawa tunaoaminishwa ni maadui wa USA ama wanaoitwa magaidi?[emoji23][emoji23].

Majibu mnayo ni kuwa ni ngumu kuwamaliza hawa tulioaminishwa ni wabaya maana waliundwa ama walitengenezwa kwa sababu maalum na kamwe hawatosambalatishwa labda wagawanywe tu lkn sio kuangamizwa kabisa.

Hizo ni projects za watu, hivyo vyovyote mlivyoaminishwa sivyo ilivyo

huwa tunasema ni ngumu kwa hii dunia ya sasa kupata unachokitaka bila kutumia Akili na mifumo danganyifu

Ukitaka kutawala ni lazima uwe na mifumo miwili ya kutawala 1)direct rule huu ndio mfumo wa utawala unaokubalika dunia nzima kutawala kwa sheria na taratibu za maeneo ya mipaka unayohusika nayo tu,

2)indirect rule hapa ndipo ulipo mfumo wa kutawala maeneo fulan nje ya mipaka yako kupitia migongo wa vibaraka+mifumo kandamizi, vikundi vya kigaidi na vikundi vinavyoaminika kupigana na serikali za nchi kwa kudai haki fulan nchin, au kuibuka kwa makundi ya kigaidi yanayojinyakulia maeneo nchini na kuanza kuunda makambi na tawala zao, huu nao ni mfumo wa utawala wa mataifa katika mataifa mengine, kwahiyo basi hata hao mlioaminishwa ni maadui wa taifa fulan ama magaidi fulan karibu wote ni hawa hawa waliundwa tu kucontrol maeneo na mikapaka ya nchi fulani fulan , huku ktk MEDIA tukiaminishwa kuna mizozo(WHICH IS NONSENSE).

soon mtayagundua haya pale hao wataleban watakapoanza kufuata swaga za USA kupambana na mahasimu wake huko mipakan kama vile IRAN, na tyr kilinuka, wao kuacha siraha hawakuwa wajinga, kukaa muda mrefu huko hawakuwa wajinga, walikuwa wakiyaimarisha hayo makundi kwa faida zao za baadae(muda huu).

HAYA MAMBO UTAYAGUNDUA TU UKIWA SI MSHABIKI WA SIASA WALA MTUMWA WA KIFIKRA.
hakoo kabibi kameziba maskio hakatakuelewaa.....
 
we bi faiza hivyo vifaa walipewa na wamarekani ili kuja kuchapana na IRANI adui wa ISRAEL sio kwamba waliteka uongo mtupu .....wewe marekani akuachie uteke vifaa vyote hivo alafu bado vipyaa ishiiiiii...
hawakupewa wewe, jionee walivyokuwa wnaviharibu ili Taliban, wasiweze kuviumia. Hivyo bvimetekwa wewe, serikali nzima iliyopandikizwa na Marekani imetoka nduki. Jionee:




Ndiyo vya kupewa hivyo?

Vijana mpo finyu na "general knowledge", dunia kiganjani lakini naona vijana wengi sana wa Ktanzania ipo kwenye masaburi.
 
Upo huru na mawazo yako. "depression" yangu mimi uumie wewe? Sasa jifikiria ni nani hapo mwenhye "depression"?

Tena hiyo yako ni "anxiety depression". Waswahili wanasema "nyani haoni kundule".

Pole sana. Anza kusali kwa kusujudu kama Yessu alivyosali..
Hahahaahahahah Faiza hebu relax, twende Mdogo mdogo, najua hujapona bado baada ya John Magufuli kukutenda, Bado uko Kwa Panic Mode.

Mimi sijawahi kuwa Mtumwa wa Dini yoyote, ndio maana huwezi kukuta kwenye andiko langu nikiponda Imani ya MTU. Mimi ni MTU huru kifikra.

Unalo la kujifunza
 
Hahahaahahahah Faiza hebu relax, twende Mdogo mdogo, najua hujapona bado baada ya John Magufuli kukutenda, Bado uko Kwa Panic Mode.

Mimi sijawahi kuwa Mtumwa wa Dini yoyote, ndio maana huwezi kukuta kwenye andiko langu nikiponda Imani ya MTU. Mimi ni MTU huru kifikra.

Unalo la kujifunza
Magufuli usimsingizie kitu, hajanitenda lolote. Namshukuru Mungu, kmchukuwa katuwachia Mama Samia.

Wewe tafadhali jibu mada, kama huna cha kujibu, wachana na mimi.

Una dini, huna dini, hayo nimajaaliwa ya kila mtu duniani. I don't give a damn.
 
Magufuli usimsingizie kitu, hajanitenda lolote. Namshukuru Mungu, kmchukuwa katuwachia Mama Samia.

Wewe tafadhali jibu mada, kama huna cha kujibu, wachana na mimi.

Una dini, huna dini, hayo nimajaaliwa ya kila mtu duniani. I don't give a damn.
Wewe siwachani na wewe ni bampa Kwa bampa, ulikimbia jukwaa, ulikimbia kwakua hukua msafi, kwahio huna Chochote Cha kusema ukaaminika tena. Niko paleeeee nimekaa.

Halafu hebu relax, relax, relax huu mchezo hautaki hasira, usipaniki! Narudia usichanganye uarabu na Uislam. Sisi sio wajukuu zako wakutudanganya!
 
Taliban huko Kandahar Afghanistan wamefanya gwaride la aina ya kipekee duniani, haijawahi kutokea.

Gwaride la kijeshi ambalo. Limehusisha vifaa walivyoviteka tu.
Taliban walivamiwa na majeshi ya Marekani (USA) yakishirikisha majeshi ya nchi 30 za NATO.

Taliban hawakukubali, wakaingia vitani wakipigana na mataifa 30 yanayoaminika kuwa na nguvu kubwa za kivita duniani, yakiongozwa na Marekani, vita iliyodumu kwa miaka 20 mfululizo. Jionee gwaride la kiajabu [emoji1484]



Pia kabla ya hiyo juu Kandahar walionesha vya mji mwengine unaoitwa Khost, jionee [emoji1484]




Hahaha, wanavyotia hasira, wametinga mpaka nguo za jeshi la USA walizoacha kwenye store zilizotekwa. Hawa jamaa si mchezo.

Kweli hivi ndiyo vidume kiboko ya USA.
wewe mama udini umekujaa hadi kwenye makalio
 
Muislam ndugu yake ni Muislam, awe wa Afghanistan au Wamarekani, haijalishi. Waislam wa dunia nzima ni kama Kiwiliwili kimoja.


Muislam hawi na ugomvi na yeyote duniani, tunaruhusiwa kujihami na kurudishia tu tunapoanzwa. Haturuhusiwi kulianzisha.


Wewe siyo Muislam?
Kwa hiyo kati ya yemen na saudi nani kafir?
 
.
tapatalk_1513794795968.jpg
 
Taliban wameiosha dunia kuwa USA na washirika wake wa NATO si lolote si chpochote linapokuja suala la kupambana uso kwa uso.

Wao wana uwezo wa kutuma mambomu kwa mbali tu, Afghanista wakaionesha dunia kuwa jichimbieni chini, wapige weeee, wakiona kimya lazima waje kutazama tuewamaliza wangapi, wakija mnajitokeza mnawafyeka wao.

Ndicho kilichpofanyika Ghaza na ndicho kinafanyika sasa hivi Iraq.
 
Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Ukweli umedhihirika, sasa dunia inabadilika.
 
 
Taliban huko Kandahar Afghanistan wamefanya gwaride la aina ya kipekee duniani, haijawahi kutokea.

Gwaride la kijeshi ambalo. Limehusisha vifaa walivyoviteka tu.
Taliban walivamiwa na majeshi ya Marekani (USA) yakishirikisha majeshi ya nchi 30 za NATO.

Taliban hawakukubali, wakaingia vitani wakipigana na mataifa 30 yanayoaminika kuwa na nguvu kubwa za kivita duniani, yakiongozwa na Marekani, vita iliyodumu kwa miaka 20 mfululizo. Jionee gwaride la kiajabu 👇🏾



Pia kabla ya hiyo juu Kandahar walionesha vya mji mwengine unaoitwa Khost, jionee 👇🏾




Hahaha, wanavyotia hasira, wametinga mpaka nguo za jeshi la USA walizoacha kwenye store zilizotekwa. Hawa jamaa si mchezo.

Kweli hivi ndiyo vidume kiboko ya USA.

Kwa kweli wamependeza na historia iliyoandikwa na kutangazwa kila mwenye akili amejionea mwenyewe jinsi haki isivyoweza kukanyagwa.
Tufani la Alaqsa linaelekea kutoa ushahidi kama huo huko Palestina.
 
Taliban wameiosha dunia kuwa USA na washirika wake wa NATO si lolote si chpochote linapokuja suala la kupambana uso kwa uso.

Wao wana uwezo wa kutuma mambomu kwa mbali tu, Afghanista wakaionesha dunia kuwa jichimbieni chini, wapige weeee, wakiona kimya lazima waje kutazama tuewamaliza wangapi, wakija mnajitokeza mnawafyeka wao.

Ndicho kilichpofanyika Ghaza na ndicho kinafanyika sasa hivi Iraq.
Mtanzania mwenzio katekwa ww unaona sw tu , mtu mweusi alinyimwa akili
 
Back
Top Bottom