Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

Waarabu waliteka watumwa,wakawa wanawaua.Mtumwa mmoja mweusi akasema mm ni mwislam.Yule mwarabu akampiga risasi akamwambia slave has no Allah
 
Kwa nini usihamie huko ukaendelee kuwasifu
Kwa sabau kule kuna baridi kali kipindi cha baridi.

In shaa Allah napanga kwenda kujifundisha wanavyo sindika "preserve" vyakula bila madawa, hakuna anayewapata duniani kwa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…