Taliban wadai Wamechoka kukaa ofisini wanataka kupigana vitašŸ˜…

Taliban wadai Wamechoka kukaa ofisini wanataka kupigana vitašŸ˜…

Tatizo lao kukataa umagharibi na kulinda thamani ya mwanamke? Au vipi?

Wewe unaona raha kuwa kama Tanzania ilivyo sasa? Hakuna maadili hata kidogo, pengine hapo ulipo kila mwanamme anayeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko!

Kama si tatizo hilo ni nini?
Mbona wewe umejifungia huko Canada?! Au Canada sio miongoni mwa nchi za magharibi.
 
Vita zao hao jamaa huwa haziishi.
Usiombee ukachokozana nao hao huwa hawamalizagi ugomvi.
Israel sawa yake Gaza ama Palestina hao hapana aisee hawafai.
Israel anajua kuongea lugha moja na magaidi. Iwe Palestine, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran ukiingia anga zake anakubamiza
 
Vyombo vya habari vya magharibi haviwezi kuandika lolote jema kuhusu Afghanistan. Wameona jamaa wametulia wanaanza kuwaletea chokochoko. Taliban walikuwa watu wa mwanzo kutoa wito Russia na Ukraine kumaliza mambo yao kidiplomasia badala ya vita. Kusema Taliban wana hamu ya vita ni uongo uliokubuhu.
 
Aisee hawa wanaume nawaaminia kichizi
Walimvua chupi supa powa wa mashoga US, pia ni walewale waliomfurusha Soviet
Sema njiani, kumejaa waarabu machoko walioolewa na US, kama Iraq, Jordan na Saudi
Wangepewa njia hawa vidume wangefika Gaza bila ishu

1724286582670.png
 
Mateso zaidi ya dada zako kutembea nusu uchi na kujiuza kona bar?
Ukivaa kimini na kichwa kikiwa wazi mwili unapata hewa, viungo vinapumua huku unapata vitamin D. Ukivaa jeans kama wowowo lipo Mashallah.
 
Tatizo lao kukataa umagharibi na kulinda thamani ya mwanamke? Au vipi?

Wewe unaona raha kuwa kama Tanzania ilivyo sasa? Hakuna maadili hata kidogo, pengine hapo ulipo kila mwanamme anayeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko!

Kama si tatizo hilo ni nini?
Zilipendwa
 
Jamaa wamezoea kulipukiwa na mabomu halafu wanawapa kazi za kudeal na makaratasi ofisini. Wanaona ni kazi ya uduanzi hiyo..

Lazima watatafuta adui wa kupigana naye walau wachangamshe mwili.
Wamechoka kuandika Barua za utambulisho na Kujaza formu za leseni za biashara🤣🤣
 
Back
Top Bottom