Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Lazima tujue ni masilahi gani hayo na Ni Nani??
 
Aibu sana kwa Marekani!

Rais Biden hata haelewi anachokifanya.
Aibu ya nn sasa vita ya Afghanistan hailipi alichokuwa anakitafuta alishakipa ndo maana ameamua kuondoka jeshi jiulize mbona Iraq haondoki pamoja na serikali kuomba waondoke... USA sio mjinga kama unavyofikiria ni swala la mahesabu tu....
 
Acha kujifanya unajua kuliko USA ushashiba makande yako unaongea ongea ujinga unafikir USA hajui anachofanya ila wewe wa mbezi Luis ndo unajua?
 
Acha kujifanya unajua kuliko USA ushashiba makande yako unaongea ongea ujinga unafikir USA hajui anachofanya ila wewe wa mbezi Luis ndo unajua?
 
Acha kujifanya unajua kuliko USA ushashiba makande yako unaongea ongea ujinga unafikir USA hajui anachofanya ila wewe wa mbezi Luis ndo unajua?
 
Aibu sana kwa Marekani!

Rais Biden hata haelewi anachokifanya.
Serrikali ya Trump na Pompeo ndio waliofanya makubaliono na kiongozi wa magaidi wa Taliban kuondoka Afghanistan na mpango wa Trump ilikuwa kuondoa majeshi mwezi May, Biden ameuchelewesha tu kwa miezi mitatu.
 
kwa lugha moja mashirazi ni waarabu, unajua wakatoliki, wa-TAG-, Walutheri, wa anglikan wote ni WAKRISTO , ndivyo ilivyo kwa wa-afghanstan ni WAARABU.

duniani sisi tunatambua ,
1. WAZUNGU.
2. WAAFRIKA
3. WAARABU
4. WA-ASIA.
Hakuna Race ya wa- Asia duniani. Asia ina watu Tofauti sana. Wachina, Waarabu, Wahindi, Waturuki, Washirazi, Wazungu wa Ki-slavs, Wajapan n.k wote wako Asia ila ni jamii tofauti sana kati ya mmoja na mwingine
 
Hakuna Race ya wa- Asia duniani. Asia ina watu Tofauti sana. Wachina, Waarabu, Wahindi, Waturuki, Washirazi, Wazungu wa Ki-slavs, Wajapan n.k wote wako Asia ila ni jamii tofauti sana kati ya mmoja na mwingine
sawa.
 
Serrikali ya Trump na Pompeo ndio waliofanya makubaliono na kiongozi wa magaidi wa Taliban kuondoka Afghanistan na mpango wa Trump ilikuwa kuondoa majeshi mwezi May, Biden ameuchelewesha tu kwa miezi mitatu.
Haijalishi!

Kuna mangapi ya Trump ambayo Biden aliyafuta baada ya kuingia madarakani?

Hii blunder Biden anawajibika moja kwa moja.

Hakulazimishwa na mtu ayaondoe majeshi yake kwa namna alivyoyaondoa.
 
Yasemekana USA waliazimwa nchi kuijenga na kuweka miundombinu.... thuma kuwarejeshea wenye haki (wazawa wananchi) !!
 
Pamoja na marekani kuwa na homeless wengi,Marekani huchangia 55% ya mashirika mbalimbali ya umoja wa mataifa karibu dola trilion 1.5. Kwanini isingetumia hiyo pesa kuwajengea nyumba watu wake. Endelea kushangaa na hilo.
 
Pamoja na marekani kuwa na homeless wengi,Marekani huchangia 55% ya mashirika mbalimbali ya umoja wa mataifa karibu dola trilion 1.5. Kwanini isingetumia hiyo pesa kuwajengea nyumba watu wake. Endelea kushangaa na hilo.
Of course! Nitaendelea kushangaa sana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…