Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Taleban wengi ni Kabila la Pashtun na asili yao kubwa yassmekana imetokea middle east yasemekana ni one of tribe ya 12 lost tribes of Israel.. hawatoweza kuangamia and one day watarejea Kuungana na ndugu zao
 
Taleban wengi ni Kabila la Pashtun na asili yao kubwa yassmekana imetokea middle east yasemekana ni one of tribe ya 12 lost tribes of Israel.. hawatoweza kuangamia and one day watarejea Kuungana na ndugu zao
Hao ni mchanganyiko wa Waajemi na Wamedi na wana mchanganyiko kidogo na watu wa Pakistan. wala usichanganye lost tribes na hao jamaa. kitu pekee kinachofurahisha ni kwamba, tangu enzi za Babeli hadi leo, Wayahudi pamoja na kuchangamana na wanadamu wengine, wamehifadhi identity yao na wanajuana wao kwa wao, wote. na wamehifadhi hadi dini yao hadi leo. ukienda taifa lolote they know each other na wanasaidiana wao kwa wao, jaribu kutafiti maana ya lost tribes of israel utaelewa, sio hao. hao ndio waliowatumikisha sana waisrael enzi hizo, pamoja na watu wa iran na iraq.
 
Wanaotaka marekani wabaki Afighanistan wasema Sasa marekani ibaki Hadi lini?

Miaka 20 haitoshi.?

Mnaotaka marekani ibaki kule sio kwamba mnaona ukoloni mamboleo ni sahihi.

Was afighanstan kwa miaka 20 walisaidiwa kuunda serikali,jeshi wakapewa vifaa vya kujilinda vya kisasa still wameshindwa kupambana hao Taliban

No aidha hao waarabu ni wavivu,wapumbavu how comes miaka 20 mnashindwa simama wenyewe ?

Mnataka wanajeshi wamarekani wabaki Hadi lini kule au wafe wanajeshi wangapi ili mseme Sasa basi !?

Namuunga mkono Biden hakuna mwanajeshi wa marekani anaepaswa kufa kwa ajili ya raia wa nchi ingine ikiwa raia hao wamekaa kizembe zembe .

Hao hao was afiganistan vijana wao wanaenda jiunga huko taliban so ni matatizo yao wenyewe

To hell with problems Kama hakuna interests zozote no sahihi marekani kuondoa majeshi yao

Tatizo conservative ex-military generals wa marekani wanapush hii kitu ionekane kazi yao kule imeenda bure

Walipaswa wajue hata wangebaki vipi Taliban hawatoweza kuisha maana wanatoka miongoni mwa hao hao wa afighanistan.

So acha wapambane na matatizo yao wenyewe .

Familia kibao za marekani zimepoteza wapendwa wao huko afighanistan can you compasate their losses.

Biden amefanya uamuzi sahihi kwa wakati sahihi
 
Hapa nimeshindwa kukuelewa!
Wazanzibar ni Waunguja (siyo Wapemba, Pemba ni kisiwa tu katika Zanzibar) na lugha yao siyo kiunguja ni tofauti.
Yaani ni hivi: huwezi kuwaita Iranians wote kuwa ni Washirazi, they are more than that! Ni sawa na kusema Wazanzibari wote ni wa Unguja au Wakenya wote ni Wamombasa.....
 
USA hakuna vita duniani alipigana na akashinda peke yake
Kutamba kote lazima waje wazee wengine kuokoa jahazi

Kila sehemu anaaibika tu ila kama ni kuiba ameiba sana duniani
Uchumi unaendeshwa kwa ujanja ujanja
Middle East hawataondoka kwani wanasema wanawachunga Sunni dhidi ya Iran
Na huku wakichuma kila kona
Sasa naona mashamba ya Afghan yamechoka hayatoi mazao mengi wameamua kuacha
 
Aibu ya nn sasa vita ya Afghanistan hailipi alichokuwa anakitafuta alishakipa ndo maana ameamua kuondoka jeshi jiulize mbona Iraq haondoki pamoja na serikali kuomba waondoke... USA sio mjinga kama unavyofikiria ni swala la mahesabu tu....
Iraki ameshaanza kuondoka kwa sababu anashambuliwa sana na plani yake aondoke ameshatangaza
 
Yaani ni hivi: huwezi kuwaita Iranians wote kuwa ni Washirazi, they are more than that! Ni sawa na kusema Wazanzibari wote ni wa Unguja au Wakenya wote ni Wamombasa.....
Je nikisema Waunguja na Wapemba ndio Wazanzibari nitakuwa nimekosea? Je vipi nikisema Washirazi wote ni Waajemi lakini Waajemi wote sio washirazi?
Ok sasa iko hivi Washirazi ni Waajemi na ndio waliotoka huko Shirazi (ndani ya Uajemi - Persians) kuja kuishi katika mwambao wa bahari ya hindi. Sijui tumeelewana?
Wameitwa washirazi kutokana na kuwa wametokea katika eneo la Shirazi.
Ni sawa na Bara Wazanzibari wanaotokea Pemba wanajulikana kama Wapemba lakini pia ni Wazanzibari.
 
Je nikisema Waunguja na Wapemba ndio Wazanzibari nitakuwa nimekosea? Je vipi nikisema Washirazi wote ni Waajemi lakini Waajemi wote sio washirazi?
Ok sasa iko hivi Washirazi ni Waajemi na ndio waliotoka huko Shirazi (ndani ya Uajemi - Persians) kuja kuishi katika mwambao wa bahari ya hindi. Sijui tumeelewana?
Wameitwa washirazi kutokana na kuwa wametokea katika eneo la Shirazi.
Ni sawa na Bara Wazanzibari wanaotokea Pemba wanajulikana kama Wapemba lakini pia ni Wazanzibari.
Mimi nimefahamu tangu hapo awali muheshimiwa. Kiswahili ni lugha yangu ya asili sina nyengine
 
Talibans are known to be strict followers of Sharia Law.

Je, watawalinda wanawake na kuwapa nafasi ama? View attachment 1895904View attachment 1895907
IMG_20210816_215509.jpg
View attachment 1895905
 
Mimi nimefahamu tangu hapo awali muheshimiwa. Kiswahili ni lugha yangu ya asili sina nyengine
Basi pia elewa Waunguja na Wapemba ndio Wazanzibar, Waunguja ni Wazanzibari na Wapemba ni Wazanzibari lakini Wapemba sio Waunguja na wala Waunguja sio Wapemba.
Hivyo pia Washirazi ni Wairani lakini Wairani sio Washirazi, lakini pia Waajemi ni Wairani lakini Wairani sio Waajemi. Tambua pia Waajemi na Washirazi ni Wairani.
 
Back
Top Bottom