Taliban wavamia Theme park Kabul na kuanza kula bata kama watoto.

Taliban wavamia Theme park Kabul na kuanza kula bata kama watoto.

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210

46753465-9899151-image-a-80_1629157046364.jpg


Hawa wataliban wanaocheza na hivi vigari wanaendana kinyume kabisa na Taliban asili. Kwasababu Taliban hata kusikiliza mziki na kucheza ni marufuku unachinjwa. Hii Taliban ya sasa ni tofauti ndo maana wanataka diplomasia na mataifa mengine na China na Urusi imefungua mlango. Hii ni Taliban tofauti na ya akina Mullah Omar Muhammad.

ENJOY WHILE THE ELECTRICITY LASTS!
 
malugaluga hayajaona izo mavitu kwa 20 good years. si ukute karibia wote wamegeuzana wao kwa wao na wengine kuathirika kwa puchu, manake kuishi msituni miaka yote hiyo na hakuna wanawake, walikuwa wanaishije.
Vipi wale wanajeshi waliojisalimisha, nao walikuwa wakiishi porini?
 
Ukiskia ule msemo wa "RAHA JIPE MWENYEWE" au "BAADA YA SHIDA NI FARAJA" ndio hio sasa.

Ukikutana nao hao usiku halafu wanaendesha hizo gari, unaweza ukajua ni mizimu.
 
Ila wamarekani maslahi yao yakiisha hawana time na wewe. Nikikumbuka Jinsi walivyowa dump wakurd
 
Ukiwaambia watoke hapo wanaanza kulia-lia kuwa yanunuliwe wakayachezee nyumbani
 
Back
Top Bottom