Taliban wavamia Theme park Kabul na kuanza kula bata kama watoto.

Taliban wavamia Theme park Kabul na kuanza kula bata kama watoto.

Wonder if they paid?



to whom, everyone fled, the place is deserted [emoji23][emoji23].. yaan utawala wao utakuwa very interesting.. inaonekana wanataka kwenda kidiplomasia ila history inawahukumu ndo maana watu wanawakimbia wakikumbuka utawala wao wa zaman ulivyokuwa
 
Wenzao wamedandia ﹰNdege wakijua moja kwa moja wanafikia ﹰMarekani/Canada, mara ghafla wanajikuta kwa M7.
 
Wao wameamua kufuga ndevu na wewe endelea kung'arisha uso wako,kila mtu afanye akipendacho,

Halafu hao sio wapuuzi ila wewe keyboard warrior wa JF ndio mpuuzi.
Hebu punguza jazba.
Yani unasema kila mtu afanye akipendacho na mimi nimechagua kusema nikipendacho kuhusu hayo madevu ya wana wa Taleban alafu wewe mkazi wa buza unapanic 🤣🤣🤣

Fanya unywe chai aisee.
 
Hebu punguza jazba.
Yani unasema kila mtu afanye akipendacho na mimi nimechagua kusema nikipendacho kuhusu hayo madevu ya wana wa Taleban alafu wewe mkazi wa buza unapanic 🤣🤣🤣

Fanya unywe chai aisee.
Jazba ipo wapi hapo? Unataka kuwapangia wanaume kuhusu kufuga ndevu? ndevu za Mwanaume wewe zinakukera nini? Ndio maana nikakushauri,wewe endelea kung'arisha sura yako,ndevu hua ni za Wanaume.
 
ila mashekhe wanachekesha Sana....alaaniwe muhamad Na mungu aliyemtengeneza Allah
 
wadau hawa ni noma na nusu. After a struggle, they are enjoying what has been achieved
 
Back
Top Bottom