The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Hakuna watu wapumbavu km warabu duniani
Muwe mnajielimisha jamani kidogo
Google ipo ya bure
Afghanistan sio waarabu
Hao Taliban sio waarabu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna watu wapumbavu km warabu duniani
Halafu wewe unajiona mjanja kweli wakati umechapia, Afghanistan wala sio Waarabu na wala hawapo middle east, wapo eneo jengine Kabisa karibu na India, mavazi na Mila karibia zote zinafanana na wahindi.Hakuna watu wapumbavu km warabu duniani
Kumbe mlifanikiwa kupata picha ya masiha ndiyo mkacopy style ya madevu 🤣🤣Wanamidevu kama yule masia ambae picha zake zinauzwa mitaani
Zipo kibao zinauzwa mitaaniKumbe mlifanikiwa kupata picha ya masiha ndiyo mkacopy style ya madevu 🤣🤣
Hizo picha ndiyo zimewapa hamaza ya kufuga madevu?Zipo kibao zinauzwa mitaani
Hahaha We jamaa naona umeuliza "wepi"wepi?
Yaani COVID-19 ni ugonjwa ambao watu wanaukuza mno hasa hapa TzNaona kama covid imekuwa overrated sana
Wonder if they paid?
Hakuna mtu mpumbavu kama wewe ambaye kwa akili yako iliyojaaa kinyesi ina amini kua Wa Afghanistan ni waarabu,Hakuna watu wapumbavu km warabu duniani
Wao wameamua kufuga ndevu na wewe endelea kung'arisha uso wako,kila mtu afanye akipendacho,Hayo madevu yanaongeza upuuzi walionao
Hebu punguza jazba.Wao wameamua kufuga ndevu na wewe endelea kung'arisha uso wako,kila mtu afanye akipendacho,
Halafu hao sio wapuuzi ila wewe keyboard warrior wa JF ndio mpuuzi.
Jazba ipo wapi hapo? Unataka kuwapangia wanaume kuhusu kufuga ndevu? ndevu za Mwanaume wewe zinakukera nini? Ndio maana nikakushauri,wewe endelea kung'arisha sura yako,ndevu hua ni za Wanaume.Hebu punguza jazba.
Yani unasema kila mtu afanye akipendacho na mimi nimechagua kusema nikipendacho kuhusu hayo madevu ya wana wa Taleban alafu wewe mkazi wa buza unapanic 🤣🤣🤣
Fanya unywe chai aisee.
Yeah!Hizo picha ndiyo zimewapa hamaza ya kufuga madevu?
Ni Persian au Ni Nini Mkuu?Muwe mnajielimisha jamani kidogo
Google ipo ya bure
Afghanistan sio waarabu
Hao Taliban sio waarabu...