malugaluga hayajaona izo mavitu kwa 20 good years. si ukute karibia wote wamegeuzana wao kwa wao na wengine kuathirika kwa puchu, manake kuishi msituni miaka yote hiyo na hakuna wanawake, walikuwa wanaishije.
Vipi wale wanajeshi waliojisalimisha, nao walikuwa wakiishi porini?malugaluga hayajaona izo mavitu kwa 20 good years. si ukute karibia wote wamegeuzana wao kwa wao na wengine kuathirika kwa puchu, manake kuishi msituni miaka yote hiyo na hakuna wanawake, walikuwa wanaishije.
Wonder if they paid?
wepi?Vipi wale wanajeshi waliojisalimisha, nao walikuwa wakiishi porini?
hata haijui kama hiyo ni michezo ya watoto, wanafikiri ndivyo sisi wengine huku duniani ndivyo tulivyokuwa tunaishi. hahahaha.Mijitu imeshinda misitumi kwa miaka yote acha isafishe nyota japo kidooogo π π
Naona kama covid imekuwa overrated sanaMbona hatusikii ripoti za covid 19 huko Afghanistan, au wenyewe wanaishi sayari nyingine
Wanamidevu kama yule masia ambae picha zake zinauzwa mitaaniHayo madevu yanaongeza upuuzi walionao
Taleban mpyaWonder if they paid?