Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali

Hivi huwa kwa nini jamii fulani huwa wanaona mila na gesturi zao ni bora kuliko zingine??,wao kama jamii wameona huo ndio utaratibu nzuri kwa nini wewe mtu wa nje uone ni mbaya????
Kwa nini watu wa magharibi na wafuasi wao waone tamaduni zao ndio bora kuliko zingine.
 
 
Eti Rais wetu mama Samia, nyinyi si kila siku munamtukana Mama Samia mpaka munamwita bi maushungi mnataka aachie wazi nywele zake aache kujisitiri atembee kama wazungu ndio atakuwa huru.
 
Huko ndiyo kunamfaa FaizaFoxy. Ukimpeleka FaizaFixy, ndani ya wiki moja tu watakuwa wameshamkata kichwa.
 
Kwanza pole sana kwa mawazo yako hasi juu ya maono yako hayo

Mungu ndio kasema mwanamke mwili wake wote ni uchi kasoro viganja vya mikono na uso,sasa kama nyinyi hamumuamini mungu na sheria zake ni tatizo lenu na sio.letu
Achana na huyo mungu wa aina hiyo.
 
Utamaduni huwa haulazimishwi kwa viboko na kifungo.
Pia kuna Utamaduni mbovu kama kukeketa wanawake, ndoa za utotoni au kuwazuia wasiende shule kusoma.
 
Halafu utadikia wakijinasibu "DINI YETU INAMHESHIMISHA MWANAMKE" Labda kumgandamiza wao wanatafsiri ndio kumheshimisha. OGOPA dini ambayo mtoto hata awe na miaka 7 akiota matiti tuu wanamuoa. OGOPA dini ambayo wanaoa watu wa damu moja
 
Wataliban nimewaelewa sasa maana uhuru umezidi wanawake watatembea uchi wa mnyama sasa huku kwetu kila mwanamke anavaa suruali body tight skin jeans, vibukta/vinjunga, maziwa nje matiti nje kisingizio uhuru human rights, kumbe prostitution tu ukimtamani hela yako tu utajibiwa, mnaenda kuzini na anauza kwa wengine bila aibu.
 
Nikija kwa hoja yako kwamba mwanamke nywele zake ni urembo ni sahihi lkn kwa mume wake na ndugu zake wa karibu ambao hawawezi kuingia katika vishawishi,kwahiyo mapambo y mwanamke ni kwa ajili ya mumewe tu
Wewe ukiona nywele au kichwa wazi tu cha mwanamke unaweza kuanza kumtamani kingono??
Basi utakuwa na matatizo.
 
Inabidi ufanyike mpango wanaume wa aina yako wahamishiwe Afghanistan na Iran halafu wale wanawake wa kule wasiokubaliana na hizo sheria wahamishwe nchi zilizo na uhuru kwa wanawake.
 
Wako sahihi. Mwanamke anatakiwa afiche maungo yake. Kuwaiga wazungu wanaovaa vichupi hata mbele ya watoto wao wa kiume ni upuuzi mtupu
 
Mbona peponi kwa Allah wanawake hawavai kitu na ni weupe hadi bone marrow unaona misambwanda na wapo soft sana.. yaani kwa sasa Allah anawalainisha tu kila mwanaume muislam anaanzia 70.. cha kushangaza Peponi ni Allah pekee ndie anavaa Hijab according tu Mtume wake Mohammad... Taliban ni mataahira
 
Niwacheni nakuka darsa la wasiooneka kutoka kwa Arsis. Unamjuwa Arsis wewe?
Nakuka ndio lugha ipi hiyo.. au upo peponi ushalewa pombe kwenye mito ya peponi ulioahidiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…