Taliban yapiga marufuku wanawake kujiunga vyuo vikuu Afghanistan

Taliban yapiga marufuku wanawake kujiunga vyuo vikuu Afghanistan

Inashangaza, pembeni ya Afghanistan kuna Pakistan, nchi ya kiislam lakini mpaka wamewahi kuwa na Prime Minister mwanamke! Tatizo ni Taliban, sio Uislam
 
Ili uendelee kumnyanyasa na kuoa wanawake wengi? Dunia imebadilika ndugu yangu, siku ukiwa na watoto wa kike, wasomeshe mpaka darasa la 7 uwaache.
elimu mpaka darasa la saba mwanamke inamtosha, akitoka hapo akasomee kazi za mikono, zaidi ya hapo ni kujitafutia matatizo

naungana na Taliban na DeepPond kwa hili
 
Pakistan ni nchi yenye vurugu kubwa za kidini, makundi mengi ya itikadi kali za kidini yanapata hifadhi Pakistan, Osama pia alikuwa anahifadhiwa huko.
Huwa kuna matukio mengi ya kigaidi Pakistan
Inashangaza, pembeni ya Afghanistan kuna Pakistan, nchi ya kiislam lakini mpaka wamewahi kuwa na Prime Minister mwanamke! Tatizo ni Taliban, sio Uislam
 
Watu wanaamua mambo yao....wanao umiya ni wakristo wa Tanganyika....ya Taliban waacheni Wao wenyewe kila utawala na sheria zake,hakuna maelekezo yeyote katika uislam yanayomkataza mwanamke kusoma kwani amriya kwanza aliyopewa kiongozi wa Waislamu Bwana mtume S.a.w ni kusoma kabla ya kupewa utume....hutakiwi kuwa mjinga kama watu wanayodhani dini ya kiislamu inawanyima haki wanawake huo ni uongo.

Hao Taliban wanatafuta njia ya kuwatenganisha wanawake na wanaume katika mazingira ya kukata elimu....wanawake wasome kivyao na wanaume kivyao.
 
Wanawake wa Afghanistan wamerudishwa zama za giza..
 
Adriz wanacho fanya taliban ni sahihi au sio sahihi
 
[emoji1787] kuna mda ndugu zangu waislamu mnisikilize dini inawavuruga kichwa.
Huyo mwanamke unayemzuia kusoma mfano udaktari,ukunga na mengine unataka mke wako akizaa azalishwe na mwanaume.maana dini yenu inakataza kuona maumbile ya mwanamke.

kwa kujidanganya sasa Hoo dini yetu ndio imegundua sayansi ! wapi kwenye maandiko pameandikwa toyota Ist !.

Ila mtakaa kimya maana inawachoma.

Dini hizi tumeletewa tu ?
 
Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani
 
"Tafuteni elimu japo kuwa nchi za china"

"Elimu ni faradhi kwa mwanaume na mwanamke" faradhi means ni lazima .

Technically wameenda against na uislamu na hawajafuata matakwa ya uislamu so hapo uislamu hausiki kabisa.
 
Mkeo akienda hospital upo tayari apigwe doko na dokta wa kiume?
Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani
 
Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani
Aisee [emoji848] [emoji848] [emoji848] nyie endeleeni na huo mpango wenu ila kwa sisi wakristo mwanamke atapewa haki zote zinazomstahili...
 
"Tafuteni elimu japo kuwa nchi za china"

"Elimu ni faradhi kwa mwanaume na mwanamke" faradhi means ni lazima .

Technically wameenda against na uislamu na hawajafuata matakwa ya uislamu so hapo uislamu hausiki kabisa.
Lakini siniwaislam hao ama?
 
Msemaji wa Wizara ya Elimu ya Juu amesema uamuzi huo ulifanywa katika Kikao cha Baraza la Mawaziri na agizo hilo litaanza kutekelezwa mara moja.

Hii ni hatua pili baada Machi 2022 Serikali kuzuia Watoto wa Kike kurejea Mashuleni pamoja kuzifunga shule zote za Wasichana muda mfupi baada ya kufunguliwa.

Utawala mpya umelalamikiwa kukandamiza Haki za Wanawake na Wasichana tangu kuchukua Mamlaka Agosti 2021 na kuzuia Wanawake kushiriki katika shughuli nyingi za Kimaendeleo.

====================

The Taliban government has suspended university education for all female students in Afghanistan, the latest step in its brutal clampdown on the rights and freedoms of Afghan women.

A spokesman for the Afghan Ministry of Higher Education confirmed the suspension to CNN on Tuesday. A letter published by the education ministry said the decision was made in a cabinet meeting and the order will go into effect immediately.

Girls were barred from returning to secondary schools in March, after the Taliban ordered schools for girls to shut just hours after they were due to reopen following months long closures imposed after the Taliban takeover in August 2021.

Human Rights Watch criticized the ban on Tuesday, calling it a “shameful decision that violates the right to education for women and girls in Afghanistan.”

“The Taliban are making it clear every day that they don’t respect the fundamental rights of Afghans, especially women,” the rights watchdog said in a statement.

The US condemns “the Taliban’s indefensible decision to ban women from universities,” State Department spokesperson Ned Price said during a Tuesday briefing.

The Taliban’s recent decision, he said, will “have significant consequences for the Taliban and will further alienate the Taliban from the international community and deny them the legitimacy they desire.”

The March closure of secondary schools to girls had a “significant impact” on US engagement with Taliban representatives, Price added.

“With the implementation of this decree, half of the Afghan population will soon be unable to access education beyond primary school,” he said.

US Ambassador Robert Wood, the alternate representative for special political affairs, earlier reiterated those criticisms, telling a United Nations’ Security Council briefing that the “Taliban cannot expect to be a legitimate member of the international community until they respect the rights of all Afghans, especially the human rights and fundamental freedoms of women and girls.”

The Taliban, which ruled over Afghanistan from 1996 until 2001, when the US-led invasion forced the group from power, have historically treated women as second-class citizens, subjecting them to violence, forced marriages and a near-invisible presence in the country.

After seizing power in Afghanistan last year, the Taliban attempted to project a more moderate image to gain international support.

But while it has has made numerous promises to the international community that it would protect the rights of women and girls, the Taliban has been doing the opposite, systematically clamping down on their rights and freedoms.

Women in Afghanistan can no longer work in most sectors, require a male guardian for long-distance travel and have been ordered to cover their faces in public.

They have also imposed limits on girls’ education, banning women from certain workplaces as they stripped away rights they had fought tirelessly for over the last two decades.

In November, Afghan women prevented from entering amusement parks in Kabul as the government announced restrictions on women being able to access public parks, Reuters reports.

CNN
Tukisema uislamu ni tatizo mnakuja juu. Ni nini hiki?
 
[emoji1787] kuna mda ndugu zangu waislamu mnisikilize dini inawavuruga kichwa.
Huyo mwanamke unayemzuia kusoma mfano udaktari,ukunga na mengine unataka mke wako akizaa azalishwe na mwanaume.maana dini yenu inakataza kuona maumbile ya mwanamke.

kwa kujidanganya sasa Hoo dini yetu ndio imegundua sayansi ! wapi kwenye maandiko pameandikwa toyota Ist !.

Ila mtakaa kimya maana inawachoma.

Dini hizi tumeletewa tu ?
Wanaume wanataka kuzichezea kila mahali!! Inasikitisha mno!!
 
Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani
Kama unamaanisha, basi fuvu lako hilo limejaa uji. Mnamgeuza mwanamke kuwa chombo cha starehe ya ngono tu eti? Kwingine kote asihusike! Mnakera!
 
Back
Top Bottom