Taliban yapiga marufuku wanawake kujiunga vyuo vikuu Afghanistan

Taliban yapiga marufuku wanawake kujiunga vyuo vikuu Afghanistan

Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani
We jamaa kwahiyo kwakuwa uislam unataka basi na dunia yote iwe hivyo?
 
[emoji23][emoji23]Hao ni watu hata papa kuruhusu ushoga sio kwamba ukristo ndo unaruhusu ni tamaa za kibadamu.
Hata kama karuhusu haimaanishi kila aliye chini yake atafata hayo matakwa yake. Hakuna mkristo yeyote asiyefahamu ushoga ni dhambi kubwa sana na chukizo kwa Mungu.
 
Kama unamaanisha, basi fuvu lako hilo limejaa uji. Mnamgeuza mwanamke kuwa chombo cha starehe ya ngono tu eti? Kwingine kote asihusike! Mnakera!
We unawatetea hapa, halafu ukitaka kuoa unaenda kijijini kutafuta wa darasa la saba unaleta mjini...Hao wasomi nani awaoe??

Ndiomaana sikuhizi singlemazas wanazidi kuongezeka.
 
Hata kama karuhusu haimaanishi kila aliye chini yake atafata hayo matakwa yake. Hakuna mkristo yeyote asiyefahamu ushoga ni dhambi kubwa sana na chukizo kwa Mungu.
Yanafuatwa 100% ndo maana ukitaka kufunga ndoa ya jinsia moja lazima uwe mkristo ili ufunge kanisani na wanaruhusu karibia makanisa yote kasoro walokole
 
Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani

Yaan mwanamke kazaliwa kwaajili ya ndoa tu?
 
wanaume wanataka kutomasatomasa uke za wake za watu kwenye vyumba vya kujifungulia
 
unaambiwa sheri za kiislam mke akiwa amelala na mumewe alaf akitaka kujigeuza ni lazima amuombe mumewe ruhusu ya kugeuka, kwaiyo unamwamsha mumeo kisha unaomba ruhusa ya kugeuka .

[emoji4][emoji4] hawa jamaa sijui wapo ulimwengu gan. mke kwao ni chombo cha starehe na kuwalelea watoto wao tu.
 
Allahu akbar, Alhamdullilah, maagizo ya Mtume yameanza kutekelezwa, kidogo kidogo hivi mwishowe dunia nzima itafuata huu utaratibu.

Tumeshaona madhara ya wanawake kusomeshwa, ndiyo hawa maslayqueen, ndiyo hawa mafeminists, ndiyo hawa wanataka 50/50, ndiyo hawa malaya wa badoo.

Dunia nzima itakuja kugundua umuhimu wa kutomsomesha mwanamke ili ndoa ziwe stable, Tujifunze kutoka Afghanistan.

Sharia ya Allah ndio njia pekee ya binadamu kuishi kwa amani hapa duniani

Huwa mko kama mazombi, tangu nisome taarifa za kwamba mohammad alikua anagegeda katoto ka miaka 9, nilidharau sana na hiyo dini yenu ya mwarabu, mna matatizo sana nyie watu...
Wanawake waislamu huonwa kama takataka, huwa nashangaa sana bibi FaizaFoxy akikesha humu kutetea ukatili wa hiyo dini yenu.
 
Yanafuatwa 100% ndo maana ukitaka kufunga ndoa ya jinsia moja lazima uwe mkristo ili ufunge kanisani na wanaruhusu karibia makanisa yote kasoro walokole
Mbona unapenda uzushi na uongo lipo wapi kanisa la katoliki linafungisha ndoa ya jinsia moja, ebu leta hiyo declaration iliyosainiwa na papa na inayoongesha kanisa katoliki limeruhusu ushoga
 
Wanaweka utaratibu wanaoona unafaa kwanza,hiyo taarifa yenyewe chumvi nyingi,Mara idai tangu march mabinti walizuiwa kwenda shule,Mara disemba hii mitihani imefanyika mabinti wanalaumu hawajaenda shule kwa miezi mitatu,Sasa march mpaka disemba ni miezi mitatu!?..niliiona mahojiano ya kiongozi wa Taliban na Al Jazeera na dada mwanaharakati wa elimu kwa wanawake,ilikua dhahiri Taliban Wana mipango ya elimu kwa mabinti,hawataki mwanamke atibiwe na mwanaume huko mbeleni
Ila Sasa nani anawatibu na kuwazalisha
 
Watu wanaamua mambo yao....wanao umiya ni wakristo wa Tanganyika....ya Taliban waacheni Wao wenyewe kila utawala na sheria zake,hakuna maelekezo yeyote katika uislam yanayomkataza mwanamke kusoma kwani amriya kwanza aliyopewa kiongozi wa Waislamu Bwana mtume S.a.w ni kusoma kabla ya kupewa utume....hutakiwi kuwa mjinga kama watu wanayodhani dini ya kiislamu inawanyima haki wanawake huo ni uongo.

Hao Taliban wanatafuta njia ya kuwatenganisha wanawake na wanaume katika mazingira ya kukata elimu....wanawake wasome kivyao na wanaume kivyao.
Mwa hiyo Girita Hawa Taliban wanatumia sharia Gani kukataza wanawake wasisome
 
Mbona unapenda uzushi na uongo lipo wapi kanisa la katoliki linafungisha ndoa ya jinsia moja, ebu leta hiyo declaration iliyosainiwa na papa na inayoongesha kanisa katoliki limeruhusu ushoga
Unabisha!! Andika hata google utaona maana hayo madhehebu yenu sio yote nayafahamu.
 
Pakistan ni nchi yenye vurugu kubwa za kidini, makundi mengi ya itikadi kali za kidini yanapata hifadhi Pakistan, Osama pia alikuwa anahifadhiwa huko.
Huwa kuna matukio mengi ya kigaidi Pakistan
Yes lakini point hapa ni nafasi ya mwanamke
 
Back
Top Bottom