witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 797
- 1,739
Yaani Hawa jamaa ni shida sana Tena sana.unaambiwa sheri za kiislam mke akiwa amelala na mumewe alaf akitaka kujigeuza ni lazima amuombe mumewe ruhusu ya kugeuka, kwaiyo unamwamsha mumeo kisha unaomba ruhusa ya kugeuka .
[emoji4][emoji4] hawa jamaa sijui wapo ulimwengu gan. mke kwao ni chombo cha starehe na kuwalelea watoto wao tu.