MabatiBeiNafuu
Member
- Aug 24, 2021
- 72
- 65
Wakuu hii Simba ukiangalia ni mbovu sana hairidhishi hata kuiangalia. Hata tuliposhinda kule Botswana wala sikufurahia jinsi timu ilivyocheza. Hii timu haionekani hata ikitafuta ushindi.
Tulicheza vibaya sana na timu ilionekana kuelemewa basi tu bahati ilikuwa kwetu. Kocha ameshindwa hata kutengeneza combination inayoeleweka.
Nakiri tumesajili kwa muhemko wa kuuza baadae baada ya kuuza Miquissone na Chama, kuna mdau aliniambia bodi inataka iuze wachezaji tena inufaike baadae kwa hiyo imesajili wchezaji kwa kigezo cha umri. Hili nakubali, je kwa Wachezaji gani?
Huyu Sadio Kanoute hamna kitu mule, yuko slow na hana kasi, kumbuka aliachwa kule Libya.
Huyu Peter Banda si mchezaji wa kukupa matokeo bado sana kwa umri na stamina yake.
Huyu Duncan Nyoni yuko na Stamina ila hatumpi nafasi.
Pappe osman Sakho ni mchezaji wa level za kawaida.
Tumeuza wachezaji wawili Quality tumesajili rundo lisilo na Quality.
Tulicheza vibaya sana na timu ilionekana kuelemewa basi tu bahati ilikuwa kwetu. Kocha ameshindwa hata kutengeneza combination inayoeleweka.
Nakiri tumesajili kwa muhemko wa kuuza baadae baada ya kuuza Miquissone na Chama, kuna mdau aliniambia bodi inataka iuze wachezaji tena inufaike baadae kwa hiyo imesajili wchezaji kwa kigezo cha umri. Hili nakubali, je kwa Wachezaji gani?
Huyu Sadio Kanoute hamna kitu mule, yuko slow na hana kasi, kumbuka aliachwa kule Libya.
Huyu Peter Banda si mchezaji wa kukupa matokeo bado sana kwa umri na stamina yake.
Huyu Duncan Nyoni yuko na Stamina ila hatumpi nafasi.
Pappe osman Sakho ni mchezaji wa level za kawaida.
Tumeuza wachezaji wawili Quality tumesajili rundo lisilo na Quality.