Tamasha La Harmonize Arusha, nimesikitika Sana

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu, Jana kuna kitu nimejifunza kwanini Diamond kwenye burudani anasumbua anajiandaa vya kutosha na ukilipaa pesa utapata kulingana na pesa yako.
.....
Nimehudhuria matamasha mengi ya Diamond ukitoaa milioni Moja au Laki5 utapata hospitality ya kutosha.
.....
Wakuu Jana nimehudhuria Tamasha La Harmonize Arusha hiyo meza ya Laki5 kesho mtu anaweza asishawishike kwenda Kwenye Matamasha Yao, Jamaa Wana poor Hospitality Sana Wakuu, Sikutegemea Nilichokikuta Kwa Kweli.

 
Sasa na wewe unaendaje Kwa wasanii vilaza kama hao , angalia Tu hata video za wasanii wake jinsi zilivyo poor ndo utajua jamaa anaunga unga Sana , video ya Attitude walichukua zile carpet draft nyesui na nyeupe wakagongomelea na mlingoti pamoja na mbao reject 🙂
 
Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???

Tusimkufuru mwenyezi Mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.

Hio 500,000/= ni mtaji tosha hata wa kuanzisha biashara ya M-Pesa au TigoPesa na kujikomboa na umasikini.
 
Daaah Nilipatwa na Hasira Sana, Nikaondoka kwenda The Don's na hiyo ni saa 8 usiku
 
[emoji1787][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Dunia hii haijawahi kuwa na usawa..

Lakini bado hiyo 500k ni kwa meza ya watu 8.
 
Ya Kaisari Mwachie Kaisari...,
 
Sema basi hiko ulichokutana nacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…