Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Ebu angalieni Aina Ya Meza ilivyo Hapoulieekewa maji ya masafi na juice ya afiya nn mkuu funguka
Daaah Nilipatwa na Hasira Sana, Nikaondoka kwenda The Don's na hiyo ni saa 8 usikuSasa na wewe unaendaje Kwa wasanii vilaza kama hao , angalia Tu hata video za wasanii wake jinsi zilivyo poor ndo utajua jamaa anaunga unga Sana , video ya Attitude walichukua zile carpet draft nyesui na nyeupe wakagongomelea na mlingoti pamoja na mbao reject [emoji846]
Tunawapa Sapoti Tu MkuuHivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki?
Mkuu Nikudanganye Ili Iweje KakaMzee hyo meza ndo 500k?
Wakuu Ebu angalieni Aina Ya Meza ilivyo Hapo
Dunia hii haijawahi kuwa na usawa..Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???
Tusimkufuru mwenyezi mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.
Ya Kaisari Mwachie Kaisari...,Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???
Tusimkufuru mwenyezi mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.
Ilikuwa ukumbi ganiMkuu Nikudanganye Ili Iweje Kaka