Tamasha La Harmonize Arusha, nimesikitika Sana

Tamasha La Harmonize Arusha, nimesikitika Sana

500k/8 = 62500@1 ni pesa ya kawaida sana ndo maana mkawekewa sanda mezan🤣🤣🤣🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wakuu, Jana kuna kitu nimejifunza kwa nn Diamond kwenye burudani anasumbua anajiandaa vya kutosha na ukilipaa pesa utapata kulingana na pesa yako.
.....
Nimehudhuria matamasha mengi ya Diamond ukitoaa milioni Moja au Laki5 utapata hospitality ya kutosha.
.....
Wakuu Jana nimehudhuria Tamasha La Harmonize Arusha hiyo meza ya Laki5 kesho mtu anaweza asishawishike kwenda Kwenye Matamasha Yao, Jamaa Wana poor Hospitality Sana Wakuu, Sikutegemea Nilichokikuta Kwa Kweli.View attachment 1809339View attachment 1809340
Hapa walaumiwe waandaaji The next level Arusha na sio Harmonize
 
Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???

Tusimkufuru mwenyezi Mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.

Hio 500,000/= ni mtaji tosha hata wa kuanzisha biashara ya M-Pesa au TigoPesa na kujikomboa na umasikini.

Laki 5 vikindu ama dondwe unapata kiwanja kimenyooka
 
Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???

Tusimkufuru mwenyezi Mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.

Hio 500,000/= ni mtaji tosha hata wa kuanzisha biashara ya M-Pesa au TigoPesa na kujikomboa na umasikini.

Hizi akili zako ni za maskini kaka

Uzipo badilika hela itakukataa,hamna shida yeyote mtu akitumia hela yake kupata furaha SHIDA HAIPO.

Mambo ya umalaya na pombe hizo ni mindset zako wewe acha watu watumie pesa yao wanavyotaka na kutumia kwake 500k watu wameingiza mkono kinywani.Usitaka kukumbatia umaskini
 
Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???

Tusimkufuru mwenyezi Mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.

Hio 500,000/= ni mtaji tosha hata wa kuanzisha biashara ya M-Pesa au TigoPesa na kujikomboa na umasikini.
Unayosema yanaweza kuwa kweli au si kweli kutokana na income classes zilizopo katika jamii husika.

Nadhani hiyo classes uliyoisemea wamepokea vizuri ushauri wako
 
Tusimkufuru mwenyezi Mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.
Unashangaa mtu kulipia kiingilio 500k?
Kama hauna pesa ni wewe, kuna wenzako wanakula milioni 2 mpaka 3 kila weekend kwenye starehe.
Iko hivi, MUNGU hakukuweka hapa duniani ili uteseke.
Kwanza yashike maagizo ya MUNGU, kisha tafuta pesa na uzitumie upendavyo.
 
Unashangaa mtu kulipia kiingilio 500k?
Kama hauna pesa ni wewe, kuna wenzako wanakula milioni 2 mpaka 3 kila weekend kwenye starehe.
Iko hivi, MUNGU hakukuweka hapa duniani ili uteseke.
Kwanza yashike maagizo ya MUNGU, kisha tafuta pesa na uzitumie upendavyo.
Pale Diamond Jubilee Kuna Club Moja Kiingilio Tu 500k Tena una-swap Kadi Tu Unakuwa Mwendo Umeumaliza, Unaingia Zako Ndani Maisha Yanaendelea
 
Wakuu, Jana kuna kitu nimejifunza kwa nn Diamond kwenye burudani anasumbua anajiandaa vya kutosha na ukilipaa pesa utapata kulingana na pesa yako.
.....
Nimehudhuria matamasha mengi ya Diamond ukitoaa milioni Moja au Laki5 utapata hospitality ya kutosha.
.....
Wakuu Jana nimehudhuria Tamasha La Harmonize Arusha hiyo meza ya Laki5 kesho mtu anaweza asishawishike kwenda Kwenye Matamasha Yao, Jamaa Wana poor Hospitality Sana Wakuu, Sikutegemea Nilichokikuta Kwa Kweli.View attachment 1809339View attachment 1809340
Ulitegemea mtu kama jembe aweze kumtoa mwanamziki,wakti yeye club imekufa,band yke imekufa amebakiza redio inasuasua tu....mziki haufanywi kwa mashindano,harmo hana management nzuri atafeli mapema kwa huyo muuza sura
 
Anyway. Hakuna mgogo mwenye akili.

Siku nyingine hiyo 62500 saidia ndugu zako ombaomba.

Show iliandaliwa na Next level Arena hao wasanii walikuwa watoa burudani tu.

Sioni kwa namna yoyote kama walihusika na uandaaji wa tamasha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti "hakuna mgogo mwenye akili" aiseee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu, Jana kuna kitu nimejifunza kwa nn Diamond kwenye burudani anasumbua anajiandaa vya kutosha na ukilipaa pesa utapata kulingana na pesa yako.
.....
Nimehudhuria matamasha mengi ya Diamond ukitoaa milioni Moja au Laki5 utapata hospitality ya kutosha.
.....
Wakuu Jana nimehudhuria Tamasha La Harmonize Arusha hiyo meza ya Laki5 kesho mtu anaweza asishawishike kwenda Kwenye Matamasha Yao, Jamaa Wana poor Hospitality Sana Wakuu, Sikutegemea Nilichokikuta Kwa Kweli.View attachment 1809339View attachment 1809340
Ungehudhuria kanisani na hiyo hela Mungu angekubaroki na kukuongezea zaid, endelea kumtumikia SHETANI na mawakala wake ,ma FREEMASON.
 
Wakuu, Jana kuna kitu nimejifunza kwa nn Diamond kwenye burudani anasumbua anajiandaa vya kutosha na ukilipaa pesa utapata kulingana na pesa yako.
.....
Nimehudhuria matamasha mengi ya Diamond ukitoaa milioni Moja au Laki5 utapata hospitality ya kutosha.
.....
Wakuu Jana nimehudhuria Tamasha La Harmonize Arusha hiyo meza ya Laki5 kesho mtu anaweza asishawishike kwenda Kwenye Matamasha Yao, Jamaa Wana poor Hospitality Sana Wakuu, Sikutegemea Nilichokikuta Kwa Kweli.View attachment 1809339View attachment 1809340
Hiyo meza na huo mkono kulishika tiketi vimeendana sana. Sijaona kosa la waandaaji...
 
Hivi kwa jinsi hela ilivyo ngumu na ajira hakuna, bado watu wanakimbizana kwenye matamasha ya muziki???

Tusimkufuru mwenyezi Mungu sijui Oh Mbona sipati ajira au mbona sipati hela wakati mtu unakwenda kumuunga mkono shetani (Muziki, Ulevi, Umalaya n.k) kwenye matamasha kwa kiingilio cha Sh 500,000/=, hio ni laana.

Hio 500,000/= ni mtaji tosha hata wa kuanzisha biashara ya M-Pesa au TigoPesa na kujikomboa na umasikini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeandika kwa uchungu sana. Ukweli mchungu ni kuwa maisha yetu hayawezi kufanana kama vidole vyako mkononi, wakati wewe unawaza kupata 500K ufungue tigopesa/ mpesa ..wenzako hiyo ni bajeti ya ku refresh akili weekend moja.
 
Mi najuwa huko huenda Watoto na Wanyoa viduku tu, Kumbe hata JF members Mko huko !
 
Wakuu, Jana kuna kitu nimejifunza kwa nn Diamond kwenye burudani anasumbua anajiandaa vya kutosha na ukilipaa pesa utapata kulingana na pesa yako.
.....
Nimehudhuria matamasha mengi ya Diamond ukitoaa milioni Moja au Laki5 utapata hospitality ya kutosha.
.....
Wakuu Jana nimehudhuria Tamasha La Harmonize Arusha hiyo meza ya Laki5 kesho mtu anaweza asishawishike kwenda Kwenye Matamasha Yao, Jamaa Wana poor Hospitality Sana Wakuu, Sikutegemea Nilichokikuta Kwa Kweli.View attachment 1809339View attachment 1809340
Yeye anaalikwa kupiga show anabeba mpunga anaenda waandaji hao ni wamiliki wa hotel ndiyo wamefeli😂😂
 
Back
Top Bottom