Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yaani WEWE akili zako unazijua mwenyeweUtalii.
Huelewi kuwa Tanzania ipo kwenye promotion ya kuongeza namba ya watalii?
Hivi hujawahi kuisikia Royal Tour?
Hakika Tanzania adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Naona sasa anaemfatia kwa haraka sana ni roho mbaya.