Tamasha la Kizimkazi lina manufaa gani kwa taifa?

Tamasha la Kizimkazi lina manufaa gani kwa taifa?

Mbona mzee
Akina Mwijaku na machawa wenzie wote...vyombo vya habari na waandishi wake...baadhi ya watendaji wa serikali. Wamejaa huko kwa kugharamiwa mavazi malazi na chakula.

Promo kila redio na TV ni tamasha la Kizimkazi...pesa imelipwa ya matangazo.

HILI LINA FAIDA GANI KWA TAIFA? achaneni na hoja mfu na kivuli eti UTALII...kwani ni nani ametuambia utalii upo chini? Kwamba unahitaji tamasha la kizimkazi kuuboresha?

Wengine wanasema anaenda kuzindua miradi? Mbona haikufanyika namna hiyo kwenye miradi mingine..?
Wako alifanya tamasha Kijiji kwenu unyanyembe ukusema
 
Akina Mwijaku na machawa wenzie wote...vyombo vya habari na waandishi wake...baadhi ya watendaji wa serikali. Wamejaa huko kwa kugharamiwa mavazi malazi na chakula.

Promo kila redio na TV ni tamasha la Kizimkazi...pesa imelipwa ya matangazo.

HILI LINA FAIDA GANI KWA TAIFA? achaneni na hoja mfu na kivuli eti UTALII...kwani ni nani ametuambia utalii upo chini? Kwamba unahitaji tamasha la kizimkazi kuuboresha?

Wengine wanasema anaenda kuzindua miradi? Mbona haikufanyika namna hiyo kwenye miradi mingine..?
Mbuga za wanyama kule Chato zina faida gani kwa Taifa?.
 
Haina tofauti na mambo yaliyo kuwa yakifanyika Chato wakati wa awamu ya Tano
Ushamba wa Madaraka tu!!
Wapi Kuanzia utawala wa Nyerere mpaka Mkapa uliona sherehe za Maraisi Nyumbani kwao?!!
Mkwere alifanyiwa Ile sherehe Chalinze baada ya ustahafu
Tupunguze kuionyesha Dunia ulimbukeni wa Viongozi wa Africa
Ndiyo maana Trampo anatutukana bila kupepesa macho!!
Pesa zingepunza makali zimeenda kuongoza Ukimwi tu pale

Mungu aturehemu tuondoe upofu huu
CHADEMA ikiingia ikulu kila mtu atapajua vizuri Hai alipozaliwa Mbowe, ni masuala ya kawaida sana haya kwa Afrika yetu.
 
Wakati mwingine ujiridhishe kabla ya kukosoa. Hilo tamasha linafanyika kila mwaka Kizimkazi. Mwaka huu limekua maarufu zaidi kwa sababu "CHAWA WA MAMA" wamelitangaza sana ila sio jipya mkuu. Ni Tamasha la Wangazija
 
Hizi sherehe zimeanza miaka mingi sana kabla mama Samia hajawa Rais.

Kumbuka hilo.
Juzi kipindi cha dhalimu ndio huu upuuzi wa viongozi kufanyia mambo kijijini kwao yalianza. Tutajie Nyerere ama Mwinyi walifanya lini ?
 
Juzi kipindi cha dhalimu ndio huu upuuzi wa viongozi kufanyia mambo kijijini kwao yalianza. Tutajie Nyerere ama Mwinyi walifanya lini ?
Tuanze na nyerere, alilifikisha taifa likawa masikini wamwisho duniani.

Mwinyi akaja kuweka mambo sawa, unafikiri angeanza kushughulikia utalii, wakati Watanzania hata kula ya kutosha kawakuta hawana?

Unaijuwa hali ya Tanzania na Watanzania aliyowadchiwa Mwingi? Tuulize tuliokuwepo.

Tuwe tunatumia vichwa vyetu kufikiri japo kiduchu.
 
Tuanze na nyerere, alilifikisha taifa likawa masikini wamwisho duniani.

Mwinyi akaja kuweka mambo sawa, unafikiri angeanza kushughulikia utalii, wakati Watanzania hata kula ya kutosha kawakuta hawana?

Unaijuwa hali ya Tanzania na Watanzania aliyowadchiwa Mwingi? Tuulize tuliokuwepo.

Tuwe tunatumia vichwa vyetu kufikiri japo kiduchu.
Irrelevant.
 
Ni kama Butiama,Chato,Msoga,Lupaso n.k

Wacha lipigwe Promo.

Mimi bila Babalevo nisingejua Bi HNgaya kazaliwa huko
Miaka mingi iliyopita, mzee Momose Cheyo akiwa anatoa hoja kuhusiana na mgawanyo wa rasilimali za nchi hii aliwahi kusema kuwa mahali ilipo dhahabu ndani ya nchi hii, inabidi pafanane fanane kidogo na dhahabu, na pale ilipo Amasi vilevile

Hapa Mzee Mapesa alikuwa anamaanisha kuwa inabidi dhahabu itumike mahali popote pale nchini mwetu ila pia pale inapotoka pasisahaulike na kutoa taswira kama hakuna kitu ambacho huwa kipo mahali pale

Una haja hapa kwamba, pale alipotoka Rais, inabidi pafanane fanane na Rais, na si kusahaulika pakawa pako kimya sawa kama vie kule kijijini kwangu nilikotoka mimi

Kwani hilo tamasha ni chagizo pia la kujenga Ikulu nyingine ndogo huko?
 
Utalii.

Huelewi kuwa Tanzania ipo kwenye promotion ya kuongeza namba ya watalii?

Hivi hujawahi kuisikia Royal Tour?

Hakika Tanzania adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Naona sasa anaemfatia kwa haraka sana ni roho mbaya.
[emoji108]
Kuna watu wanataka kudictate kila maamuzi ya Serikali. Samia mzanzibari, kuna kosa gani akipromote UTALII Zanzibar?
Mbona Mwendazake alipromote Chato na kukenga mpaka ikulu kule kisha kaweka Trafik Light porini kabisa.
See



Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mama anahitaji muda mrefu wa kupumzika na kusikiliza taarabu kabla ya kuanza kuizunguka dunia tena ili kutuletea maendeleo na kujifunza uchawi wanaofanya nchi zingine huko ulaya hadi kuwa na maendeleo kuliko sisi. Jioni ni kula bia ofisi za CCM hapo ZNZ
 
Halina,
Ni swala la kujiinua tu na ndo itakuwa hivyo daima
 
Sio manufaa tu hata mchanganuo na gharama za kuandaa huo upuuzi hauwekwi wazi na pesa ya kugharamia inatoka wapi kama sio kwenye kodi za wananchi.
 
Kiukweli Tamasha la Kizimkazi linatuunganisha zaidi Watanganyika na Wazanzibari

Watu wanafurahi na kusahau matatizo yao

Mlale Unono 😀
 
Kiukweli Tamasha la Kizimkazi linatuunganisha zaidi Watanganyika na Wazanzibari

Watu wanafurahi na kusahau matatizo yao

Mlale Unono 😀
Wanafurahi na kusahau matatizo yao!!! Kumbe wanasahau tu lakini matatizo yapo
 
Back
Top Bottom