Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Ngoja nikatege mingo kwenye hyo Hotel kuna singo maza huwa ni pisi hatari [emoji39][emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahofia sana tusiyoyajua yaani fear of unknown....Katika pitapita zangu huko mitaa-ndooni, nilikutana na tangazo la kuwalika "Single Mothers" kwenye event. Sio dhambi kukusanyika lakini why only Single Mothers?! Wanataka wawafundishe Nini au wajadili nini??
Kuna group la Whatsapp la Single Mothers, wanajiita Single Mothers Tanzania, hawajawahi kujadili jambo lolote la msingi zaidi ya kufundishana ujinga mtupu na kuponda Wanaume na Ndoa kwa ujumla.
Tusikubali hii sumu iendelee kuenezwa kwa speed hii, hatutaweza ila pia hatutashindwa kuokoa baadhi ya Ndoa, kumbuka wanaoumia ni Watoto.
Tusiruhusu Mwaka huu 2023 kuwe na matamasha kama haya Tena!
Wimbo: Born to Suffer by Lucky Dube
Sasa unafikiri utaona umuhimu wa kuoana ilhali umelelewa mazingira ya single parent, like mother like son ndo hii yakoHamna lolote sio heshima mnayotafuta kwenye ndoa...mnataka tuu kuhudumiwa mule hela zetu. Hapa sasa ni mwendo wa mizagamuano baada ya hapo kila mtu akasake hela zake.
[emoji23][emoji23]Ngoja nikatege mingo kwenye hyo Hotel kuna singo maza huwa ni pisi hatari [emoji39][emoji39][emoji39]
HahahaSie twendeni hotelini hapo ili wakimaliza kikao tupate japo kuwasindikiza home salama inapobidi.....😀
Usipooa utaolewa!Kijana kataa ndoa ndoa Ni wizi
kijana kaa mbali na single mothers
kijana kaa mbali na ndoa.
Ah wapi ni mtazamo tuu, wapo wengi wamelelewa na single parent lakini wameahaoa na wana enjoy ndoa zaoSasa unafikiri utaona umuhimu wa kuoana ilhali umelelewa mazingira ya single parent, like mother like son ndo hii yako
Usipooa utaolewa karibu kundiniAh wapi ni mtazamo tuu, wapo wengi wamelelewa na single parent lakini wameahaoa na wana enjoy ndoa zao
Ah wapi ni mwengo wa kugegeduana tuu na kuenjoy mbususu.Usipooa utaolewa karibu kundini
Muda si mrefu nawe utageuzwa mbususu utafunwe uolewe upate heshima ya mke wa mtuAh wapi ni mwengo wa kugegeduana tuu na kuenjoy mbususu.
Wacha tusake hela
Kweli kabisa
Hilo mbona halina tabu sii mwendo wakupeana maraha ya dunia tuu ila ndoa hapana🤣🤣🤣🤣Muda si mrefu nawe utageuzwa mbususu utafunwe uolewe upate heshima ya mke wa mtu
Umenikumbusha ya Joyce Kiria.Mwanamke anaeponda ndoa ikiwa ye hana hiyo ndoa basi ni mbinu ya kujifariji na upweke au kuhusiana na waume za watu,
Ndoa zina changamoto lakini hatuwezi kukataa kuwa ndipo panamuheshimisha na kumthaminisha sana mwanamke(hasa Afrika)
Katika pitapita zangu huko mitaa-ndooni, nilikutana na tangazo la kuwalika "Single Mothers" kwenye event. Sio dhambi kukusanyika lakini why only Single Mothers?! Wanataka wawafundishe Nini au wajadili nini?
Kuna group la Whatsapp la Single Mothers, wanajiita Single Mothers Tanzania, hawajawahi kujadili jambo lolote la msingi zaidi ya kufundishana ujinga mtupu na kuponda Wanaume na Ndoa kwa ujumla.
Tusikubali hii sumu iendelee kuenezwa kwa speed hii, hatutaweza ila pia hatutashindwa kuokoa baadhi ya Ndoa, kumbuka wanaoumia ni Watoto.
Tusiruhusu Mwaka huu 2023 kuwe na matamasha kama haya Tena!
Wimbo: Born to Suffer by Lucky Dube