Tamasha la WCB Mtwara ladhihirisha Uchumi unazidi kuimarika! Watanzania wana pesa mifukoni

Tamasha la WCB Mtwara ladhihirisha Uchumi unazidi kuimarika! Watanzania wana pesa mifukoni

Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.

Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.

Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!

Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?

Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.
tusiende burudani
 
Ukiwasikia nyumbuu wanavyotaharuki unaweza kudhani nchi ipo kwenye Vita kumbe nchi imetulia tuli full Aman.. kila siku nawaambia Kama Wana uwezo waandamane au waitishe maandamano Kama watapata support!?

True walahi
Fyeeekelea mbali michadrama walahi
 
kwahiyo hao uliowaona ndio watanzania wote... yaan had babu yako alikuwa anawashangilia wasafi sio..!!!
 
Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.

Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.

Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!

Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?

Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.
Wewe hela uliyokuwa nae kabla 2015 leo unayo?
 
chakutisha zaidi mtu kama huyu atapewa udc au urc .....kweli tz kichwa cha mwenda wazimu kuruhusu akili ndogo kutawala akili kubwa .......
 
wakereketwa wengi wa ccm ni janga la kibara. sio kitaifa tuu mnaitia afrika aibu
 
ule utafiti was TWAWEZA ulibainisha aina ya watu, kiwango cha elimu, uchumi wa watu na maeneo ambayo CCM inapendwa.
kwa hii thread nimeamini utafiti ule.
 
Tangu wanasiasa walipotoa povu kushinikiza Rais atangaze janga la njaa na sikuiona, wakipiga kelele ndio kwanza naenda bar kumimina moja baridi moja moto.
 
Back
Top Bottom