TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

Nilikuwa uwanjanii mimi. Pale nyerere square na ukae ukijuaaa mabango yale yaliaanza kugaiwa kabla ya show haijaanzaa kwa kuguswa na mtu wa hapa hapa dodoma kupoteaa

Sasa ulitaka wapaze saut kivp bila kuwa na mabango usipende kuwa na akili za kukopaaa roma ni msanii mkubwa na wao wamemtumia sana kwenye matamasha sasa ww ulitaka wakae kimyaa kuhusu kutekwa kwa roma
 
nadhan nawewe ni Bashite, huna unachokifikiria hv piga picha angekuwa amepotea baba yako nadhan ndo ungeujua uchungu. Those are Roma`s fans ujue hicho kitu na wanafanya vile kuishinikiza serikali imtafte, acha kufuka ww. PERIOD.
 
Sasa hapa unamaanisha uchonganishi ni nini? Kuulizwa kwa serikali aliko Roma si ndo sahihi? Ulitaka aulizwe nani?
 
Nyie wengine mko Duniani kwa Bahati mbaya!
 
ILA KUNA WATU MNA MAUDHI SANA... HIV KABISA MNAONA HATUNA FAHAM ZA KUJUA KINACHOENDELEAAAA????
 
Hivi hata kuinua bango nao ni uchonganishi kumbe!
Wangeinua ya kumsifia jpm hapo ndio ungekenua meno mpaka magego yaonekane!

Najaribu kuwaza sijui utakuwa unafananaje we jamaaa!
 
Ulitaka waadike karbu naibu waziri sio? Mpumbafu sana nyie mnaroho za kishetani nyie,sjui mnafaidika nn na kupotea kwa wenzenu
 
Yaaani umekaa ukafikiria kuandika uzi eti. Umeumia wananchi kuonesha hisia zao kuwa roma aachwe huru,ww unataka iweje?
 
Mleta mada unahoja za msingi, ila muda sio mrefu zitaelezeka.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…