Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipo mkamata lemma, lissu , Nay , yule mbunge hatukuona??!?K mbichi wewe huna jipya, kampeni mbovu za kueneza chuki zimefeli. Ya Maxence Melo tulikua pamoja lakini kwenye hili la kutuvurugia amani yetu kamwe hamtashinda. We love our country na sio nyie nyambaf
Kwa nini asitekwe mbowe au mashinjiWanaoteka watu eanajulikana ni serikali ya CCM. Hata juzi hapa ney wamitego alitekwa morogoro, Dr.ulimboka nae alitekwa. Wanaodhulimiana wanapelekana Polisi. Hii style ni ya CCM kabisa nabinajulikana nchi nzima wanawateka wanaokosoa serikali na kuwaua kama walivyomfanya Ben saa 8
Mbowe kesi mlizombambikia za kuuza madawa ya kulevya zamtosha.hata hivyo mnaanza na hawa wafuasi wake kwanza. Hii nitabia yenu CCMKwa nini asitekwe mbowe au mashinji
WaambieMlipo mkamata lemma, lissu , Nay , yule mbunge hatukuona??!?
Mlivyovamia Clouds hatukuona!?!
Mlivyo wakimbiza watoto wa udom kama mbwaa hatukuona!?!?
Leo mnapata uwezo wapi wakukataa hamjamkata ROMA!?!?
Halafu mnajifanya mnaipenda nchi yenu!!!
Lissu, lemma, mawazo, Nay wao sio watanzania!?!? Na wao hawaipendi hii nchi kama mnavyojifanya nyie ndo mlio ipewa na MUNGU!?
Acha ujinga
We limwanamke hivi una mme kweli wewe muda wote kushinda humu kuandika uharo mtupu.
cocochanel hakuna kisichopangwa , hili siyo tukio la siri unanishangaza unaposhangaa mabango yamekua arranged kwanini hujaulizia press conference iliyofanyika leo? Open up your mind honey.
Kwani ni nani anatuma watu huku kwenye mitandao kushinikiza serikali imwachie huyo kijana.?Hiyo press conf. kama ulisikiliza wewe fine, nimeona uzi wake sijausoma. Mimi sio wakufatilia hawa wasanii nachofatili ni juu ya suala hili, ni uongo unaotungwa na watu. Hata nyimbo zao ukiniuliza sizijui, kama nimezisikia barabarani basi siwezi kusema hata ndio wao.
Haya narudi kwa hayo nani aliwapa hayo makaratasi kuyashikilia huko Dodoma? Familia yake? Nani?
We limwanamke hivi una mme kweli wewe muda wote kushinda humu kuandika uharo mtupu.
Piga mti mkeo utaona uptdate mkuu!!Uzi wako haujakamilika ninaitaji uthibitisho
Kwani ni nani anatuma watu huku kwenye mitandao kushinikiza serikali imwachie huyo kijana.?
OMG you let me down totally. Sisi tunauza madawa huku kwenye mitandao? Wewe si mzima .nimekutumia Ujumbe kwenye PM nenda ukausome.Mitandaoni siwezi kuongelea, kwasababu najua asilimia kubwa ni watu wa madawa na upinzani. Ila wale wa makaratasi na kuandikwa kisawa wana watu waliwatuma.
View attachment 492515
View attachment 492516
View attachment 492517
Oneshwa ulipo nyooshwa Malaya wewe !nenda zako kahabaWatu waendelee kunyooshwa tu.
Mmeipptezea issue ya uchaguzi wa EALA😀😀😀Waacheni waendelee na viburi vyao watakiona cha moto 2020.
Waacheni waendelee na viburi vyao watakiona cha moto 2020.